Teuzi zinawasumbuaWho the he'll are TEC!?? Wewe kweli mkatoliki kobe. Unaifahamu Canon law of infallibility? Kwa ufahamisho tu hizi ni sauti za watanzania milioni 20 wakatoliki. Hili tamko tutalikuta kigangoni jumapili. Ni utii tu.
Unamtazamo duni sana brooHawa watu Huwa wanaleta shida sana pindi Kiongozi akiwa sio wa upande wao.
DP WORLD waje wajenge misikiti kila kitongoji na walete maimam 1000000 hakuna shida. Lakini raslimali zetu kwa mikataba ya kimangungu NoooooppoHakuna kingine wanaogopa influence ya mwarabu,wanajua uislam ulifika Tanganyika kupitia mwarabu,bila ujio wa mwarabu pasingekua na uislam,wanajua mwarabu ana pesa,pesa zitaleta miradi Kama shule na hospital ambazo wao wametumia kuvuna waamini
Hakuna mkataba wa kimangungoDP WORLD waje wajenge misikiti kila kitongoji na walete maimam 1000000 hakuna shida. Lakini raslimali zetu kwa mikataba ya kimangungu Noooooppo
Kuna baadhi ya watu wanasomewa tu maandiko.Jamaa nimemshangaa sana
Mkataba gani uliouona wewe!?Acha uzwazwa kwa mkataba kama ule wa kissenge acha waseme
Usilale ikulu!?..slaa kakonda siku mbili tu,anadai anamwachia Mungu..Mamako halali, Dr. Slaa yuko wapi?
Endelea kuimba tu kama kasuku.
Habari jamii forum.Wanabodi,
Declaration of Interest
Mimi ni Mkatoliki, nimelisoma tamko hili, News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu naulizia, huku sio kuchanganya dini na siasa?.
Mama Samia ameikubali DPW, ameileta, Bunge ambalo ndio wawakilishi halali wa wananchi wameikubali, who the hell is TEC ikatae DPW?
Kufuatia kila rais wa JMT anapokuwa ni Mkristo ni lazima awe Mkatoliki, Nyerere alikuwa Mkatoliki, Mkapa Mkatoliki na Magufuli Mkatoliki, kuna uwezekano Wakatoliki wamedekezwa na sasa wameota pembe na kuthubutu kumgomea Mama kwasababu sio Mkatoliki?.
Kwanini umewaza kwa kiwango cha chini kiasi hiki Kaka. Umekurupuka bila sababu. Ungetulia uje vizuriWanabodi,
Declaration of Interest
Mimi ni Mkatoliki, nimelisoma tamko hili, News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu naulizia, huku sio kuchanganya dini na siasa?.
Mama Samia ameikubali DPW, ameileta, Bunge ambalo ndio wawakilishi halali wa wananchi wameikubali, who the hell is TEC ikatae DPW?
Kufuatia kila rais wa JMT anapokuwa ni Mkristo ni lazima awe Mkatoliki, Nyerere alikuwa Mkatoliki, Mkapa Mkatoliki na Magufuli Mkatoliki, kuna uwezekano Wakatoliki wamedekezwa na sasa wameota pembe na kuthubutu kumgomea Mama kwasababu sio Mkatoliki?.
Tuambiane ukweli, angekuwa ni Magufuli ameileta DPW, TEC wangetoa waraka huu?.
Paskali
Kumbe Mkuu unakuwaga Chawa namna hii?? leo nimeona umeandika kitu cha Kijinga sana leo.Tuambiane ukweli, angekuwa ni Magufuli ameileta DPW, TEC wangetoa waraka huu?.
Paskali
Tuongee ukweli tu bila kupepesa macho hizi kelele zote hizi drama zote toka awali, sababu DP World ni Waarabu.Wanabodi,
Declaration of Interest
Mimi ni Mkatoliki, nimelisoma tamko hili, News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu naulizia, huku sio kuchanganya dini na siasa?.
Mama Samia ameikubali DPW, ameileta, Bunge ambalo ndio wawakilishi halali wa wananchi wameikubali, who the hell is TEC ikatae DPW?
Kufuatia kila rais wa JMT anapokuwa ni Mkristo ni lazima awe Mkatoliki, Nyerere alikuwa Mkatoliki, Mkapa Mkatoliki na Magufuli Mkatoliki, kuna uwezekano Wakatoliki wamedekezwa na sasa wameota pembe na kuthubutu kumgomea Mama kwasababu sio Mkatoliki?.
Tuambiane ukweli, angekuwa ni Magufuli ameileta DPW, TEC wangetoa waraka huu?.
Paskali