Mpenzi wangu amekiri kunisaliti, ameomba msamaha natafakari maamuzi ya kufanya

Umemaliza kila kitu hapa. Nakazia.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawezi kukuelewa hata.
 
Kusamehe inawezekana ila shida inakuja kila ukiwa unamla akikata mauno na kugugumia ule utamu unapata flashback mbaya sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Kwa suala la mahusiano,wewe ndo wakuamua! Unatakiwa uskilize moyo wako tuh. Mpaka hapo huyo mwenzako anaonekana sio mtu wa kukumbushia makosa! Coz nmeona hapo umesema na wewe tayari kumsaliti Mara mbili Ila mliongea labda yakaisha easy,na wewe umemwambia kua muachane kisa amekusaliti but anaomba tuh msamaha Hilo ni sahihi pia. Kwenye suala la mahusiano ukiamua "kuingia" we "ingia" na ukiamua "kutoka" we "toka" yani shikilia msimamo wako.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata haelewi nn anataka.
 
Sisi wanaume kuchepuka ni kawaida hiyo ni general rule, ila mwanamke akichepuka hilo kosa kubwa sana halina exception, achana naye huyo
Kanuni hii iko ktk kifungu au ibara gan? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
dem ananisikiliza na kuniheshimu,vip apo niendelee nae?
Umejuaje Kama anakuskiliza na kukuheshimu? Unakuta Apo anang'ang'ania usimuache coz anajua vizuri kua Kuna vitu unampatia wewe na kwa mwingine hapati na Kuna anavipata kwa hiyo mwingine na kwako hapati,ko unakuta anaigiza tuh,maaana Hawa washkaji Hawa they are 5 minutes earlier.
Iko ivo ndugu. Sema kikubwa usiruhusu mwanamke aitawale akili yako katika umri huu,bado tunasafari ndefu ya kwenda kua focussed tuh.
 
aya sawa, lakini kasema saiv uyo jamaa kahamishwa mkoa
Wewe unaonekana Bado haujakomaa kwenye hii platform ya mapenzi. Kikubwa we endelea kuchakata ila suala lakuoa huyo siyo mwanamke
 
Mkuu,ukichapiwa,ukijua na kuthibitishiwa na kuombwa msamaha samehe.Ila kuhusu kuendelea na uhusiano hakikisha uko tayari kukaa katika uhusiano ambao akichapwa tena na tena na tena na tena na tena na tena na tena na tena bado utakuwa jasiri wa kumasamehe.Pembeni ya hapo ama utamtesa huyo mwenzio kwa sababu ya kuanguka kwake au utateseka wewe kwa kukaa na mtu ambae humuamini.

Mpenzi kutoka nje ni jambo ambalo lipo hata hivyo kumvumilia na kukubaliana na hio hali inahitaji umpende zaidi ya unavompenda sasa hivi
 
Sasa wote ni wasaliti, na alikufuma akakusamehe kwahyo nawee umsamehe ili iwe sawa sawa,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mwanamke akisaliti ni mbaya kuliko sie vidume,huenda anampenda huyo jamaa ndo kagoma kunipa namba ya uyo bwana wala hataki kumpigia tukiwa wote ili amwambie kuwa ana mtu anayempenda
 
Mungu uwa anakupatia unayeendana na kufanana nae.
Huwezi kuwa sokwe ukaoa ng'ombe
 
Hata kama ukimsamehe, Huyo jamaa anae fanya nae kazi ataendelea kumla tu maana mpaka saivi kashamla mara mbili.

Je,unahisi wameishia hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…