Umemaliza kila kitu hapa. Nakazia.Hamekusaliti vipi wakati bado hujamuoa, ndoa ndio sehemu pekee kwenye kiapo cha kutosalitiana
Lakini kwenye mahusiano we msamehe tu maana yupo kwenye kipindi cha kuchagua yupi sahihi kwake inawezekana huyo jamaa ndio akaja kumuoa
Mapenzi usiyachukulie serious sana maana utaumia kila siku
Kwa sababu hicho kitu hakitokutoka akilini na moyoni nashauri umwache au uendelee tu kubutua ila malengo yabadilikeNina malengo nae
Hapa ndo penyewee sasa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mi mwenyewe pia namsaliti mara kibao na nina wanawake wengine wawili na ashanifuma mara moja akanisamehe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dem ananisikiliza na kuniheshimu,vip apo niendelee nae?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawezi kukuelewa hata.Labda nichangie kidogo.
Inategemea mna malengo gani.
1. Ikiwa ni urafiki wa kufurahishana na kukata mihemko ya ujana msamehe maisha yaendelee
2. Ikiwa mnapanga kuoana mnajitesa bure wote mmeharibu.
Ndoa na mapenzi ya dhati msingi wake ni uaminifu na ninyi wote 2 mmeutikisa huo msingi.
Mkilazimisha mtateseka bure.
Ikiwa jibu lako ni namba 1. Msamehe muendelee kila mmoja akisubiria mwenza sahihi.
Ikiwa jibu lako ni 2.
Msamehe lakini anza kujipanga kujionfoa taratibu kwenye kifungo hicho utafute mwingine.
Uchumba hausuluhishwagi mkuu ukilazimisha mnajimaliza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahKusamehe inawezekana ila shida inakuja kila ukiwa unamla akikata mauno na kugugumia ule utamu unapata flashback mbaya sana.
Kwa suala la mahusiano,wewe ndo wakuamua! Unatakiwa uskilize moyo wako tuh. Mpaka hapo huyo mwenzako anaonekana sio mtu wa kukumbushia makosa! Coz nmeona hapo umesema na wewe tayari kumsaliti Mara mbili Ila mliongea labda yakaisha easy,na wewe umemwambia kua muachane kisa amekusaliti but anaomba tuh msamaha Hilo ni sahihi pia. Kwenye suala la mahusiano ukiamua "kuingia" we "ingia" na ukiamua "kutoka" we "toka" yani shikilia msimamo wako.Nipo kwenye mahusiano na huyu dada kwa almost mwaka mmoja.
Wiki ilopita kaenda site nje ya mkoa na wafanyakazi wenzie maana nature ya hiyo kazi wengi wanaomzunguka ni wanaume, wanawake wako wawili tu kati ya watu 30.
Okay, alivyorudi niligundua alinisaliti akiwa huko site, aligoma kunambia ukweli lakini nikamwambia tuachane kama anataka turudiane aniambie ukweli, ee bana ee akafunguka ni kweli alinisaliti na mmoja wa wafanyakazi wenzie sababu akanambia alipitiwa tu.
Amelia sana nimsamehe hatorudia tena amekiri kosa na anahitaji msaada wangu. Nimempa siku nne nmefikirie namsamehe au laa!
Japo huyu dada siishi nae anakaa geto na mwenzie huyo wa kike, na kwa maelezo yake ametembea na huyo jamaa mala mbili tu,ile siku na kabla ya hapo.
Umri wa huyu dada ni miaka 22, mimi 27 mi mwenyewe pia namsaliti mara kibao na nina wanawake wengine wawili na ashanifuma mara moja akanisamehe. Nimeongea haya ili niwape picha kamili ili mtoe ushauri kulingana na yeye na mimi pia.
ASANTENI.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata haelewi nn anataka.Wewe una madem zaidi ya 3, na hakuna kati ya hao uliemuoa sasa huko kuchapiwa kunakuumaje mkuu, yani unataka uwamiliki wote 4 na uwatimizie kila kitu utaweza??
Stress za kijinga namna hiyo huwa mnajitaftia tu, ndio maana nkakwambia kama una malengo nae unaweza kuumia ila kama ni wa kupita unaumia nini sasa??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nawee mpe no za hao mademu wako wawili.amejutia,,japo kagoma kunipa namba ya uyo bwana,vipi hilo swala la kugoma kunipa namba ya bwanake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mapenzi ya moyoni kitu hatari sana![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kanuni hii iko ktk kifungu au ibara gan? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sisi wanaume kuchepuka ni kawaida hiyo ni general rule, ila mwanamke akichepuka hilo kosa kubwa sana halina exception, achana naye huyo
Umejuaje Kama anakuskiliza na kukuheshimu? Unakuta Apo anang'ang'ania usimuache coz anajua vizuri kua Kuna vitu unampatia wewe na kwa mwingine hapati na Kuna anavipata kwa hiyo mwingine na kwako hapati,ko unakuta anaigiza tuh,maaana Hawa washkaji Hawa they are 5 minutes earlier.dem ananisikiliza na kuniheshimu,vip apo niendelee nae?
😂😂 Ni kazi sana kushauri watu wa hivi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata haelewi nn anataka.
Wewe unaonekana Bado haujakomaa kwenye hii platform ya mapenzi. Kikubwa we endelea kuchakata ila suala lakuoa huyo siyo mwanamkeaya sawa, lakini kasema saiv uyo jamaa kahamishwa mkoa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ni kazi sana kushauri watu wa hivi.
mwanamke akisaliti ni mbaya kuliko sie vidume,huenda anampenda huyo jamaa ndo kagoma kunipa namba ya uyo bwana wala hataki kumpigia tukiwa wote ili amwambie kuwa ana mtu anayempendaSasa wote ni wasaliti, na alikufuma akakusamehe kwahyo nawee umsamehe ili iwe sawa sawa,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mungu uwa anakupatia unayeendana na kufanana nae.Nipo kwenye mahusiano na huyu dada kwa almost mwaka mmoja.
Wiki ilopita kaenda site nje ya mkoa na wafanyakazi wenzie maana nature ya hiyo kazi wengi wanaomzunguka ni wanaume, wanawake wako wawili tu kati ya watu 30.
Okay, alivyorudi niligundua alinisaliti akiwa huko site, aligoma kunambia ukweli lakini nikamwambia tuachane kama anataka turudiane aniambie ukweli, ee bana ee akafunguka ni kweli alinisaliti na mmoja wa wafanyakazi wenzie sababu akanambia alipitiwa tu.
Amelia sana nimsamehe hatorudia tena amekiri kosa na anahitaji msaada wangu. Nimempa siku nne nmefikirie namsamehe au laa!
Japo huyu dada siishi nae anakaa geto na mwenzie huyo wa kike, na kwa maelezo yake ametembea na huyo jamaa mala mbili tu,ile siku na kabla ya hapo.
Umri wa huyu dada ni miaka 22, mimi 27 mi mwenyewe pia namsaliti mara kibao na nina wanawake wengine wawili na ashanifuma mara moja akanisamehe. Nimeongea haya ili niwape picha kamili ili mtoe ushauri kulingana na yeye na mimi pia.
ASANTENI.