Mpenzi wangu amekiri kunisaliti, ameomba msamaha natafakari maamuzi ya kufanya

Mpenzi wangu amekiri kunisaliti, ameomba msamaha natafakari maamuzi ya kufanya

Aaah, kwanza kabisa usihalalishe kosa kwa kosa.

Then, kumsamehe ni lazima maana ulimwahidi kua akisema ukweli utafanya hivyo, so hakukua na haja ya kuomba siku nne kufikiri.
Asante mkuu kwa ushauri
 
silaha ya mwanamke especially age hiyo ni kulia ila bro haita ishia hapo niaminii....maoni ni bora utafute mwinginee ila huyo ipo siku utajicomit alafu atakufanyia maajabu utajutaa
Asante kwa ushauri wako mkuu
 
Hamekusaliti vipi wakati bado hujamuoa, ndoa ndio sehemu pekee kwenye kiapo cha kutosalitiana

Lakini kwenye mahusiano we msamehe tu maana yupo kwenye kipindi cha kuchagua yupi sahihi kwake inawezekana huyo jamaa ndio akaja kumuoa

Mapenzi usiyachukulie serious sana maana utaumia kila siku
asante kwa ushauri wako wa mwishoni.

lakini usaliti sio hadi hatua ya ndoa,pia upo hata kweny uhusiano wa kimapenz au uchumba
 
Sasa kama ameshakiri hafai. Bora angegoma mpaka kifo.
 
Mbona rahisi hiyo! Endeleeni tu jino kwa jino. Anayekamatwa anamwomba msamaha mwenzie, anasamehewa, maisha yanaendelea...
Umri wa huyu dada ni miaka 22, mimi 27 mi mwenyewe pia namsaliti mara kibao na nina wanawake wengine wawili na ashanifuma mara moja akanisamehe. Nimeongea haya ili niwape picha kamili ili mtoe ushauri kulingana na yeye na mimi pia.
 
kwanini hafai kwa kuwa kakiri kosa,unaweza fafanua hapo
Imekaa kisaikolojia zaidi. Wanahitaji kuachana kwanza kila mtu akamove on, kama watarudiana mbeleni kuna nafasi ya kudumu kuliko akimsamehe now.
 
Imekaa kisaikolojia zaidi. Wanahitaji kuachana kwanza kila mtu akamove on, kama watarudiana mbeleni kuna nafasi ya kudumu kuliko akimsamehe now.
ko tuachana afu turudiane badae
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kama kulia kwa demu kuna uhusiano na msamaha wako,,, hapo unajidanganya...

Huyo ataendelea kuliwa hadi milele..... Na kusamehe hilo moja ndio ticket yake...

Hata kama unamsamehe hakikisha umempa hekaheka... Only kama una future naye...

Sishauri UOE,, endelea kuchakata papuchi tu,,, zipo kwa ajili yetu...

Thank me later
 
Back
Top Bottom