Mpenzi wangu amekiri kunisaliti, ameomba msamaha natafakari maamuzi ya kufanya

Mpenzi wangu amekiri kunisaliti, ameomba msamaha natafakari maamuzi ya kufanya

Kutenda kosa ni bahati mbaya ila kurudia kosa ni ujinga... Kafanya nae mara mbili tu...
 
Nipo kwenye mahusiano na huyu dada kwa almost mwaka mmoja.

Wiki ilopita kaenda site nje ya mkoa na wafanyakazi wenzie maana nature ya hiyo kazi wengi wanaomzunguka ni wanaume, wanawake wako wawili tu kati ya watu 30.

Okay, alivyorudi niligundua alinisaliti akiwa huko site, aligoma kunambia ukweli lakini nikamwambia tuachane kama anataka turudiane aniambie ukweli,, ee bana ee akafunguka ni kweli alinisaliti na mmoja wa wafanyakazi wenzie sababu akanambia alipitiwa tu. Amelia sana nimsamehe hatorudia tena amekiri kosa na anahitaji msaada wangu. Nimempa siku nne nmefikirie namsamehe au laa!

Japo huyu dada siishi nae anakaa geto na mwenzie huyo wa kike, na kwa maelezo yake ametembea na huyo jamaa mala mbili tu,ile siku na kabla ya hapo.

Umri wa huyu dada ni miaka 22, mimi 27 mi mwenyewe pia namsaliti mara kibao na nina wanawake wengine wawili na ashanifuma mara moja akanisamehe. Nimeongea haya ili niwape picha kamili ili mtoe ushauri kulingana na yeye na mimi pia.

ASANTENI.
Ukimsamehe utakuwa fala ukimuacha tunammega
 
Imekaa kisaikolojia zaidi. Wanahitaji kuachana kwanza kila mtu akamove on, kama watarudiana mbeleni kuna nafasi ya kudumu kuliko akimsamehe now.
Mmmmmmhmn hivi kweli mtu ambaye alishawahi kuwa mpenzi wako mkishatofautiana halafu muachane then mrudiane utajiskia kawaida kuwa nae....?! Me siwezi.

Nawaza amekutana na madudu magangapi, wamemgeuzaje huko alipokuwa, ameshanyonyeshwa madudu mangapi. Wamemkojolea mara ngapi, katoa ujauzito mara ngapi.

Halafu nije niweke ndani seeeeeeeeee ptuuuuuuuuuuuh [emoji1785][emoji2961]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmmmmhmn hivi kweli mtu ambaye alishawahi kuwa mpenzi wako mkishatofautiana halafu muachane then mrudiane utajiskia kawaida kuwa nae....?! Me siwezi.

Nawaza amekutana na madudu magangapi, wamemgeuzaje huko alipokuwa, ameshanyonyeshwa madudu mangapi. Wamemkojolea mara ngapi, katoa ujauzito mara ngapi.

Halafu nije niweke ndani seeeeeeeeee ptuuuuuuuuuuuh [emoji1785][emoji2961]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna sehemu nilisoma ukicheka na malaya utalishwa mbegu. Atarudi utambusu kumbe katoka kubugia mimbegu.
 
Nipo kwenye mahusiano na huyu dada kwa almost mwaka mmoja.

Wiki ilopita kaenda site nje ya mkoa na wafanyakazi wenzie maana nature ya hiyo kazi wengi wanaomzunguka ni wanaume, wanawake wako wawili tu kati ya watu 30.

Okay, alivyorudi niligundua alinisaliti akiwa huko site, aligoma kunambia ukweli lakini nikamwambia tuachane kama anataka turudiane aniambie ukweli,, ee bana ee akafunguka ni kweli alinisaliti na mmoja wa wafanyakazi wenzie sababu akanambia alipitiwa tu. Amelia sana nimsamehe hatorudia tena amekiri kosa na anahitaji msaada wangu. Nimempa siku nne nmefikirie namsamehe au laa!

Japo huyu dada siishi nae anakaa geto na mwenzie huyo wa kike, na kwa maelezo yake ametembea na huyo jamaa mala mbili tu,ile siku na kabla ya hapo.

Umri wa huyu dada ni miaka 22, mimi 27 mi mwenyewe pia namsaliti mara kibao na nina wanawake wengine wawili na ashanifuma mara moja akanisamehe. Nimeongea haya ili niwape picha kamili ili mtoe ushauri kulingana na yeye na mimi pia.

ASANTENI.
Mimi nakushauri kuwa umsamehe tu kwasababu umekiri wewe mwenyewe kuwa hata wewe si mwaminifu na ameshawahi kukufuma mara moja, Kumbe ni busara sana kumsamehe kwasababu hata yeye ni binadamu pia,na kwa ubinadamu huo anaweza kukosea.Msamaha ni tiba.
 
Mwanaume kuchepuka sio kosa. Mnakuaje siku hizi yani???

Piga chini huyo demu au kubali kuendelea kuchapiwa....
 
Wewe umeizoea Tunda ya huyo demu,ni kipi huna Mpaka akusaliti mara mbili? Unafikiri Upendo utakuwepo hapo Tena? Huyo hakutaki kakuchoka
 
Haachi kutembea nae huyo... fanya tu maamuzi yatakayoridhisha moyo wako.
 
akili yangu kumkichwa imefikia kikomo kufikiri hilo swala ndo mana nikaja kuomba ushauri humu
Sisi wanaume mara nyingi tukigundua tumesalitiwa huwa inatuuma sana ila kuwasaliti what warembo ni kitu cha kawaida yani kwenye akilizetu tumesha halalisha kuwa kwa upande wetu ni kitu cha kawaida any way .... ushauri wangu pima mizani kati ya mambo matano unayo yapend mwenzi wako awenayo je amefikia walau 3? Kama jibu ni ndiyo mwwkee mikakati mipya ikiwemo aachane na hiyo kazi ikiwezekana mtaftie mishe mingine then mpe tena mda
 
Wewe kwa kusoma tu saikolojia yako ni kua Umeelemea upande wa kumsamehe huyo mwanamke, ndio maana ukatoa na mapungufu yako ili tukuambie msamehe.

Ila kwa ushauri wangu.
Endelea nae ila usimwambie kua umemsamehe ili uangalie kama kabadilika kweli au lah, usepe kimya kimya.
 
Cha peke yako duniani hakuna.

Hata kaburi watu wanashare.


Ukizingatia haijaacha alama

Potezea.
 
Back
Top Bottom