Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbuka karudia mala mbili kunicheatMimi nakushauri kuwa umsamehe tu kwasababu umekiri wewe mwenyewe kuwa hata wewe si mwaminifu na ameshawahi kukufuma mara moja, Kumbe ni busara sana kumsamehe kwasababu hata yeye ni binadamu pia,na kwa ubinadamu huo anaweza kukosea.Msamaha ni tiba.
mbona saiv analia hata kazini haendi na kula hali, Saiv tu apa nimetoka kumuona alinipigia ananihitaji,nimekuta amekonda kwa siku mbili tu,anajuta eti. ila nimemkazia sijamsameheWewe umeizoea Tunda ya huyo demu,ni kipi huna Mpaka akusaliti mara mbili? Unafikiri Upendo utakuwepo hapo Tena? Huyo hakutaki kakuchoka
Bora ubaki na tope lako kwani mnafsnana na imeandikwa...nitakupa wa kufanana nawe.Nipo kwenye mahusiano na huyu dada kwa almost mwaka mmoja.
Wiki ilopita kaenda site nje ya mkoa na wafanyakazi wenzie maana nature ya hiyo kazi wengi wanaomzunguka ni wanaume, wanawake wako wawili tu kati ya watu 30.
Okay, alivyorudi niligundua alinisaliti akiwa huko site, aligoma kunambia ukweli lakini nikamwambia tuachane kama anataka turudiane aniambie ukweli,, ee bana ee akafunguka ni kweli alinisaliti na mmoja wa wafanyakazi wenzie sababu akanambia alipitiwa tu. Amelia sana nimsamehe hatorudia tena amekiri kosa na anahitaji msaada wangu. Nimempa siku nne nmefikirie namsamehe au laa!
Japo huyu dada siishi nae anakaa geto na mwenzie huyo wa kike, na kwa maelezo yake ametembea na huyo jamaa mala mbili tu,ile siku na kabla ya hapo.
Umri wa huyu dada ni miaka 22, mimi 27 mi mwenyewe pia namsaliti mara kibao na nina wanawake wengine wawili na ashanifuma mara moja akanisamehe. Nimeongea haya ili niwape picha kamili ili mtoe ushauri kulingana na yeye na mimi pia.
ASANTENI.
Huo ni ushauri bora kuliko unaoutakaKila mtu na imani yake broo, kama huna ushauri bora kukaa kimya
asante kwa ushauri wako mkuu, kuhusu kuacha kazi hawez na mi siwez kumuachisha mana wazaz wake walimsomesha wanamtegemea afu kuipata hiyo kazi kaipata kwa mchongo wa mjomba wake kamuunganisha na bosa wa hiyo kampuni.Sisi wanaume mara nyingi tukigundua tumesalitiwa huwa inatuuma sana ila kuwasaliti what warembo ni kitu cha kawaida yani kwenye akilizetu tumesha halalisha kuwa kwa upande wetu ni kitu cha kawaida any way .... ushauri wangu pima mizani kati ya mambo matano unayo yapend mwenzi wako awenayo je amefikia walau 3? Kama jibu ni ndiyo mwwkee mikakati mipya ikiwemo aachane na hiyo kazi ikiwezekana mtaftie mishe mingine then mpe tena mda
Asante kwa ushauri wako mkuu.ila anacholilia saiv anataka msamaha wangu asikie natamka mdomoni, kuendelea nae kimya kimya itamletea maswaliWewe kwa kusoma tu saikolojia yako ni kua Umeelemea upande wa kumsamehe huyo mwanamke, ndio maana ukatoa na mapungufu yako ili tukuambie msamehe.
Ila kwa ushauri wangu.
Endelea nae ila usimwambie kua umemsamehe ili uangalie kama kabadilika kweli au lah, usepe kimya kimya.
Kwa hiyo wewe ukicheat ni sawa mwanamke wako akicheat si sawa??kumbuka ye ni mwanamke
Unagongewa halafu unaleta mapenzi. Ovyo kabisalakini kati ya wanawake wangu nilionao huyu ndo nnampenda na ndo nna malengo nae
Inaonekana unampenda na kumwacha si rahisi sana maana kitendo cha yeye kwenda site na washkaji ni risk sana wanaweza mpa pombe akisha changamka mwendo ni ule ule c unajua ugumu wa demu ni mara ya kwanza tu ... eb nikishauri anza taratibu kujitoa kwake yaani itoe nafsi yqko kwake taratibu kama ukikuwa unampigia simu mara 3 kwa siku walau fanya mara moja ... then sikiloziaasante kwa ushauri wako mkuu, kuhusu kuacha kazi hawez na mi siwez kumuachisha mana wazaz wake walimsomesha wanamtegemea afu kuipata hiyo kazi kaipata kwa mchongo wa mjomba wake kamuunganisha na bosa wa hiyo kampuni.
Labda nichangie kidogo.Asante kwa ushauri wako mkuu.ila anacholilia saiv anataka msamaha wangu asikie natamka mdomoni, kuendelea nae kimya kimya itamletea maswali
Ulimuahidi akuambie ukweli,kama hataki muachane. Keep your promise.Nipo kwenye mahusiano na huyu dada kwa almost mwaka mmoja.
Wiki ilopita kaenda site nje ya mkoa na wafanyakazi wenzie maana nature ya hiyo kazi wengi wanaomzunguka ni wanaume, wanawake wako wawili tu kati ya watu 30.
Okay, alivyorudi niligundua alinisaliti akiwa huko site, aligoma kunambia ukweli lakini nikamwambia tuachane kama anataka turudiane aniambie ukweli,, ee bana ee akafunguka ni kweli alinisaliti na mmoja wa wafanyakazi wenzie sababu akanambia alipitiwa tu. Amelia sana nimsamehe hatorudia tena amekiri kosa na anahitaji msaada wangu. Nimempa siku nne nmefikirie namsamehe au laa!
Japo huyu dada siishi nae anakaa geto na mwenzie huyo wa kike, na kwa maelezo yake ametembea na huyo jamaa mala mbili tu,ile siku na kabla ya hapo.
Umri wa huyu dada ni miaka 22, mimi 27 mi mwenyewe pia namsaliti mara kibao na nina wanawake wengine wawili na ashanifuma mara moja akanisamehe. Nimeongea haya ili niwape picha kamili ili mtoe ushauri kulingana na yeye na mimi pia.
ASANTENI.
asante kwa ushauriInaonekana unampenda na kumwacha si rahisi sana maana kitendo cha yeye kwenda site na washkaji ni risk sana wanaweza mpa pombe akisha changamka mwendo ni ule ule c unajua ugumu wa demu ni mara ya kwanza tu ... eb nikishauri anza taratibu kujitoa kwake yaani itoe nafsi yqko kwake taratibu kama ukikuwa unampigia simu mara 3 kwa siku walau fanya mara moja ... then sikilozia
shukurani mkuuLabda nichangie kidogo.
Inategemea mna malengo gani.
1. Ikiwa ni urafiki wa kufurahishana na kukata mihemko ya ujana msamehe maisha yaendelee
2. Ikiwa mnapanga kuoana mnajitesa bure wote mmeharibu.
Ndoa na mapenzi ya dhati msingi wake ni uaminifu na ninyi wote 2 mmeutikisa huo msingi.
Mkilazimisha mtateseka bure.
Ikiwa jibu lako ni namba 1. Msamehe muendelee kila mmoja akisubiria mwenza sahihi.
Ikiwa jibu lako ni 2.
Msamehe lakini anza kujipanga kujionfoa taratibu kwenye kifungo hicho utafute mwingine.
Uchumba hausuluhishwagi mkuu ukilazimisha mnajimaliza
Achana nae Malaya huyo...ataendelea kuliwa hata akiwa kwenye ndoa. Shukuru Mungu amekuonyesha yabia zake mapema.nna malengo nae