makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Kwani we ni agness kichupi mkononi, 😂😂 jibu sio, sasa shida nini 😂🤣Katika siku zote nilizoona comments zako leo umeniudhi🤸
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani we ni agness kichupi mkononi, 😂😂 jibu sio, sasa shida nini 😂🤣Katika siku zote nilizoona comments zako leo umeniudhi🤸
Kwa kupenda kujikweza, haya hiyo 21 umefikisha lini bwana mdogo, wewe niliona nida yako, ndio kwanza una 19.I'm 21
Umewasema wanawake wenzangu vibaya nimeumiaKwani we ni agness kichupi mkononi, 😂😂 jibu sio, sasa shida nini 😂🤣
Basi kwa niaba ya wanawake wenzako, mie nawataka radhi, kina latifa popote kambi, ashura nchokonoe, happy miuno ya paka chongo na wengine woote, mnisamehe. 😂🤣Umewasema wanawake wenzangu vibaya nimeumia
Jamani, basi kina marry mlokole.😂Kina latifa popote kambi😂 unazidi kuharibu
Hapo good🤸Jamani, basi kina marry mlokole.😂
Sawa ephen kuruta. 😂Hapo good🤸
Mimi nakula piaKwa kuwa mwanamke anakula? Lofa mkubwa wewe.
ndiyo ustaarabu gani tena kumuita mtu 'mbwa', 'shenzi type'...... he jamani, this is too much!Kwanza kila tukitoka kwenda batani hajawahi kula kwa stara, yaani hajiheshimu kabisa kwenye kula mbwa huyu.
Kataa ndoa mkuu.Tumekua wachumba kwa muda na tulipanga kufunga ndoa lakini nimeshindwa aiseee.
Kwanza kila tukitoka kwenda batani hajawahi kula kwa stara, yaani hajiheshimu kabisa kwenye kula mbwa huyu.
Jana tumetoka out nikaagiza kongoro yeye akaagiza kuku mzima, minikajua atakula kiasi then abaki tunamfunga tunaendanae geto.
Yaani Mwa J ni komakoma shenzi type, binti alinikamulia kuku mzima, sasa funga kazi mie nilikuwa nakula kongoro nikatoa ngozi nikaiwekapembeni mara kaidaka na yenyewe kaipiga akaona haitoshi akachukua na bakuli la mchuzi wa kongoro akaunywa allooooo.
Last Sunday tulitoka akaagiza mguu mzima wa mbuzi pale Choma Zone, Mwa J akaula hadi akaumaliza, mbaya zaidi akamaliza hadi chumvi na pilipili.
Sasa huyu nikisema nioe sindio atakuwa anakula mbuzi mzima wakuu...🙄
Mwa J hajawai kaa na debe la unga wiki nzima wakuu, huyu sio jini kweli...😳
We mwanamke gani kwanza anakunywa maji kwa kutumia jagi...🤔
Kwanza Mwa J anamiguu ya kiume hadi viatu linavaa size 12.
Kha.... mwanamke gani huyu haponi uti wakuu...🙁
Kwanza ana makucha marefuuuu sijui huwa anafuaje nguo zake za muhimu maana nguo nyingine najua huwa anafuliwa na wale wadada wanaopita kwenye majumba kutafuta day waka.
Kwenye hili sihitaji ushauri wakuu, nimesha fanya maamuzi..☹️
Ephen kuruta❌Sawa ephen kuruta. 😂
Sijawahi kuona mwanamke wa maana mwenye jina la Mwa J, wengi ni vicheche na mishipa ya aibu imekatika.Mwa J
Dah, kmmke walai, ama kweli nimezeeka, kweli ilikuwa mwaka juzi 😂Hiyo uliiona mwaka juzi mkuu..teh🤣
Sawa ephenEphen kuruta❌
Ephen✅