ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyinyi watoto WA 2000 mna sehemu yenu rasmi mbinguni.Wazee wa jf nao wameona wasibaki nyuma, Nisione mtu anawaponda watoto wa elfu 2 akili wamerithi kwa wazazi wao...!🤸
Yeah watoto wa elfu 2 wana reserved place hukoNyinyi watoto WA 2000 mna sehemu yenu rasmi mbinguni.
🙌🙌🙌
Nifafanulie hapa pm ndo niniJilete mwenyewe piem....mikono ikiwa juu mwendo wa mateka
Anakutumia wimbo huu wa Ali Kiba.Tumekua wachumba kwa muda na tulipanga kufunga ndoa lakini nimeshindwa aiseee.
Kwanza kila tukitoka kwenda batani hajawahi kula kwa stara, yaani hajiheshimu kabisa kwenye kula mbwa huyu.
Jana tumetoka out nikaagiza kongoro yeye akaagiza kuku mzima, minikajua atakula kiasi then abaki tunamfunga tunaendanae geto.
Yaani Mwa J ni komakoma shenzi type, binti alinikamulia kuku mzima, sasa funga kazi mie nilikuwa nakula kongoro nikatoa ngozi nikaiwekapembeni mara kaidaka na yenyewe kaipiga akaona haitoshi akachukua na bakuli la mchuzi wa kongoro akaunywa allooooo.
Last Sunday tulitoka akaagiza mguu mzima wa mbuzi pale Choma Zone, Mwa J akaula hadi akaumaliza, mbaya zaidi akamaliza hadi chumvi na pilipili.
Sasa huyu nikisema nioe sindio atakuwa anakula kuku mzima wakuu...🙄
Mwa J hajawai kaa na debe la unga wiki nzima wakuu, huyu sio jini kweli...😳
We mwanamke gani kwanza anakunywa maji kwa kutumia jagi...🤔
Kwanza Mwa J anamiguu ya kiume hadi viatu linavaa size 12.
Kha.... mwanamke gani huyu haponi uti wakuu...🙁
Kwanza ana makucha marefuuuu sijui huwa anafuaje nguo zake za muhimu maana nguo nyingine najua huwa anafuliwa na wale wadada wanaopita kwenye majumba kutafuta day waka.
Kwenye hili sihitaji ushauri wakuu, nimesha fanya maamuzi..☹️
Kama amefikia kuandaa tisheti zimeandikwa "MAHABA NIUE" mimi ni nani hadi niwatenganishe?😂😂😂Anas
Anashindwa kimrudisha kitaa alikomtoa?
😂😂😂Ni kweli kuna hadi watu wanajiita wakunyonya ni noma sna mkuu.
Nikinywa maji nakuona kwenye glassKama amefikia kuandaa tisheti zimeandikwa "MAHABA NIUE" mimi ni nani hadi niwatenganishe?😂😂😂
Nakupendaa Sanaa lazizi wa moyo wangu.Ni kweli kwa leo nilikuwa kazini kutwa nzima .saizi ndio nainua mgongo wangu na kuingia humu jukwaani kukuangalia waridi wa moyo wangu ephen.😂Dah!
Lucas sijamuona kabisa humu leo acha niende kumtafuta jukwaa la siasa
Mimi nakata rufaa ya maisha aisee!Yani Luca una mehboob wako kabisa na mimi hola?Rufaa ni lazima.Nakupendaa Sanaa lazizi wa moyo wangu.Ni kweli kwa leo nilikuwa kazini kutwa nzima .saizi ndio nainua mgongo wangu na kuingia humu jukwaani kukuangalia waridi wa moyo wangu ephen.
Aisee pole sana! Kutwa nzima unalima? Haujachoka kweli?Nakupendaa Sanaa lazizi wa moyo wangu.Ni kweli kwa leo nilikuwa kazini kutwa nzima .saizi ndio nainua mgongo wangu na kuingia humu jukwaani kukuangalia waridi wa moyo wangu ephen.