ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Kweli kabisa! Acha niendelee kufurahi humu😁😁😁 unajua nini!!! Maisha ni furaha .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa! Acha niendelee kufurahi humu😁😁😁 unajua nini!!! Maisha ni furaha .
Anashindwa kimrudisha kitaa alikomtoa?Inasemekana juzi kaweka pawn sub-woofer yake ili kufidia gap!Atafariki hadi afe mwaka huu.Na ndiyo tumemaliza nusu tu kwanza.
Wameshakutenga?🤣Basi tuishie hapa nisianze kulia bure😂
Mimi nipo napambana na kikokotooo wasikate hela zangu.Huyo sumbai akikupa kijana wake wa 42yrs yeye atakuwa na mingapi, mwenyewe hiyo 42 nna wasiwasi 🤣
Usiwaamini wazeee kivileeee mkuuKama kuna ukweli hivii😂
Wewe siunaona kimya jua mambo ni Shwaaaaaa kushinei babu G😂Wameshakutenga?🤣
Usijali baba mkwe wangu wa ukweli🤸Naaam,
Kwakweli kijana wangu anakufurahia saana kuwa na wewe.
Naomba umtunze vzr
Hahaha nimecheka aloo, watu wakishateleza wanaona aibu🤣Wewe siunaona kimya jua mambo ni Shwaaaaaa kushinei babu G😂
🤣🤣🤣🤣Ukiona watu wakawa na mazoea sanaaa halafu mara paap kimyaa, basi tena🤣🤣
Unataka kusema nini mkuuu???Ndivyo ilivyo, huwezi kuona tena utani na mapenzi ya wazi... na kutaniana🤣🤣🤣
Nifafanulie kabla sijalia😞wakishateleza wanaona aibu🤣
Unaelewa mkuu!🤣🤣🤣🤣
Unataka usem
Ushakuwa mkubwa bwana, elewa!Nifafanulie kabla sijalia😞
Mimi sijaelewa babaUshakuwa mkubwa bwana, elewa!
👋sumbai nifafanulie