Mpenzi wangu anakula sana kupitiliza, nimechoka hii tabia yake...

Umewasema wanawake wenzangu vibaya nimeumia
Basi kwa niaba ya wanawake wenzako, mie nawataka radhi, kina latifa popote kambi, ashura nchokonoe, happy miuno ya paka chongo na wengine woote, mnisamehe. 😂🤣
 
Kataa ndoa mkuu.
 
Kumbe unaniita mwa j kumbe nilikafiri lako unikome mweh koma
Mwa J, njoo tuyamalize mpenzi wangu achana na majungu ya humu ndani bebi, mie nimesha kusamehe na kuku nitakua nakununulia wawili😋
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…