Mpenzi wangu anakula sana kupitiliza, nimechoka hii tabia yake...

kwani kuingia kwenye mahusiano ulisakiziwa na mtu?

Na tabia hiyo ya kula bila kusaga kaianzisha karibuni na si tabia yake tangia kumjua?

Dosari hizi zisizokuridhisha ilikupasa uchukue hatua kimya kimya kuvunja mahusiano kitambo sana.
 
tafuta sana pesa asee chakula sio kitu cha kumsimanga mtu mtandaoni.... kama huwezi kumlisha mwache apate mtu anayeweza hudumia
 
Bado unaye? Km unaye unahitaji elimu ya afya ya akili
 
tafuta sana pesa asee chakula sio kitu cha kumsimanga mtu mtandaoni.... kama huwezi kumlisha mwache apate mtu anayeweza hudumia
Kwanza amenishangaza alivyojinunisha hadharani kwa kuporwa ngozi ya kongoro.Ajipooze kwa kusikiliza wimbo wa "Yana mwisho"!
NB;Asilete fyokofyoko.Atakanyagwa shingoni na mguu size 12 shingoni afe bila kelele.
 
ACHA ROHO MBAYA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…