MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Jomba hii kingereza ya tejo au Sokoni one?You know your big man now its not good for you to do this childsh news
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jomba hii kingereza ya tejo au Sokoni one?You know your big man now its not good for you to do this childsh news
Nini kifanyike ili tuweze kuchimba mafuta yetu wenyewe, tuweze kuwauzia USA na nchi za ulaya ili tupate fedha za kigeni?You know your big man now its not good for you to do this childsh news
Kidumu mpaka milele 😀KIDUMU MILELE CHAMA CHA MAPINDUZI. 💛💚
waache wasome babuHuyu mpenzi wangu simuelewi kabisa, tangu mchana leo amekuwa mkali kweli na ananiangalia kwa jicho la hasira.
Na ameanza kubadilika baada ya kuniona nakula nazi mbichi tatu, mihogo mibichi sita, na sasa namalizia karanga mbichi sado moja.
Sasa sijui, hapendi nile vitu vya asili; au anataka nile vyakula vya viwandani tu?
Wakuu nisaidieni, kwa nini amebadilika hivi, tatizo linaweza kuwa nini?
Duuuh kwenzi la utosi hili😄😄😄😄Kweli Watu weusi ni asili ya nyani!!!
Mpaka kiyama kinafika basi C.C.M milele na milele, enzi kwa enzi kidumu chama hiki.Kidumu mpaka milele 😀
Mmojawapo ni wewe 😀Kweli Watu weusi ni asili ya nyani!!!
Maisha sio sirias hivyo; u need 2 enjoy 😀Hili nalo lakulifungulia thread jamani, mbona hatuiheshimu JF hivi, me najua ID mpya ndio huwa na upuuzi kumbe hata hawa legends humu hupost ujinga
Swali, unga wa mahindi wa sembe kilo moja, una idadi ya chembe chembe ngapi za mahindi?waache wasome babu
If you need foreign money you have to go to the foreign countries and borrow themNini kifanyike ili tuweze kuchimba mafuta yetu wenyewe, tuweze kuwauzia USA na nchi za ulaya ili tupate fedha za kigeni?
Tunakipenda sanaMpaka kiyama kinafika basi C.C.M milele na milele, enzi kwa enzi kidumu chama hiki.
Atalipa nani...? Na ni kwanini tunahitaji fedha ya kigeni?If you need foreign money you have to go to the foreign countries and borrow them
Where is tejo mr..? Or you wanted to say teja..?Jomba hii kingereza ya tejo au Sokoni one?
Those who borrowed it they will pay it....for me i dont want foreign money i need tsh onlyAtalipa nani...? Na ni kwanini tunahitaji fedha ya kigeni?
😀😀sawaah!!Mmojawapo ni wewe 😀
Nipe ushauri, kwa nini ananitazama kwa hasira hivyo?Mmmh🤔🤔🧐
Atakuwa amepiga lubisi ile ya kagera? 😀Jomba hii kingereza ya tejo au Sokoni one?