Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #41
Nawe unaamini ulikuwa tumbili? ๐Duuuh kwenzi la utosi hili๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawe unaamini ulikuwa tumbili? ๐Duuuh kwenzi la utosi hili๐๐๐๐
we utakua ๐๐ฌ๐ฎ๐ค๐ฎ๐ฆ๐ ๐๐๐๐ "๐๐๐๐๐"Vijana wa siku hizi bhana yani tunatafuna sado moja la karanga mbichi na tunaona sawa wakati wazee wetu walikua wanatafuna junia 3 za karanga peke yake
Hapana mkuu ๐๐๐Nawe unaamini ulikuwa tumbili? ๐
MM ni mpare kaka..nimeweka hvyo ili kukazia tuwe utakua ๐๐ฌ๐ฎ๐ค๐ฎ๐ฆ๐ ๐๐๐๐ "๐๐๐๐๐"
Pata kinywaji kwa hisani ya mfuko wako mwenyewe ๐Where is tejo mr..? Or you wanted to say teja..?
Sasa nani aliyetudanganya kuwa sisi tulikuwa sokwe, na walikuwa na malengo gani?Hapana mkuu ๐๐๐
Thank you thank you my name is fundi bishoo yes bishooo haswaaPata kinywaji kwa hisani ya mfuko wako wenyewe ๐
Tatizo ni hela ya kununua hilo gunia ndio shida, hapo kariakoo gunia la karanga za maganda wanauza bei gani?Vijana wa siku hizi bhana yani tunatafuna sado moja la karanga mbichi na tunaona sawa wakati wazee wetu walikua wanatafuna junia 3 za karanga peke yake
Mizungu hiyo mikorofi kweli๐๐Sasa nani aliyetudanganya kuwa sisi tulikuwa sokwe, na walikuwa na malengo gani?
Petrol/diesel inatoka wapi? au unataka uwe unatembea kwa miguu toka Lindi mpaka dar?Those who borrowed it they will pay it....for me i dont want foreign money i need tsh only
Pata supu ya mlenda hapo kwa jirani ๐๐๐sawaah!!
Tufanyeje ili tuwe na kiwanda cha kutengeneza ndege za kivita, ili tuwauzie nje tupate fedha za kigeni?๐๐ค๐ข๐ฅ๐ข ๐ง๐ฒ๐ข๐ง๐ ๐ข๐ง๐ ๐๐ฐ๐๐ง๐ ๐๐จ๐ซ๐ ๐๐๐๐ ๐ฒ๐๐ค๐จ ๐๐ง๐ ๐๐ฉ๐ข๐ ๐ ๐ง๐ฒ๐๐ญ๐จ ๐ฌ๐ข๐ค๐ฎ ๐ก๐ข๐ฒ๐จ ๐ค๐ฐ๐ ๐ฆ๐๐๐ง๐ ๐ฌ๐ข๐จ ๐ก๐ฎ๐ฎ ๐ฎ๐ฉ๐ฎ๐ฎ๐ณ๐ข.
๐๐๐ค๐ฎ๐ง๐ ๐๐ก๐จ๐๐ก๐จ๐ญ๐ ๐ง๐๐๐ง๐ข ๐ฒ๐ ๐ฒ๐จ๐ญ๐ ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฒ๐จ๐๐ง๐๐ข๐ค๐.
dronedrake
Ukienda kijijini mfano kule singida vijijini unanunua gunia kwa bei rahisi sana..unanunua gunia zako hata 300 za karanga halfu kila siku unatafuna gunia hata 20..maisha si yanakua poa kabsa hapoTatizo ni hela ya kununua hilo gunia ndio shida, hapo kariakoo gunia la karanga za maganda wanauza bei gani?
Naweza kupata soksi za chama?
Kama tu stiki za kuchokonolea meno tunaagiza ilhali Iringa tuna misitu mikubwa sana ya mitiTufanyeje ili tuwe na kiwanda cha kutengeneza ndege za kivita, ili tuwauzie nje tupate fedha za kigeni?
Ila ww jamaa hauna akili aise hahahaNaweza kupata soksi za chama?
Haya ndio maushauri tunayoyahitaji, ebu pata balimi hapo kwa mangi, salio linakuja sasa hivi kwa jfpesa ๐Tafuta na asali mbichi uchanganye na karanga tende pia na maziwa pia usisahau na mazoezi ilii anunee vzr [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]