Mpenzi wangu ananiangalia kwa jicho la ukali kweli

Mpenzi wangu ananiangalia kwa jicho la ukali kweli

๐€๐ค๐ข๐ฅ๐ข ๐ง๐ฒ๐ข๐ง๐ ๐ข๐ง๐ž ๐›๐ฐ๐š๐ง๐š ๐›๐จ๐ซ๐š ๐›๐š๐›๐š ๐ฒ๐š๐ค๐จ ๐š๐ง๐ ๐ž๐ฉ๐ข๐ ๐š ๐ง๐ฒ๐ž๐ญ๐จ ๐ฌ๐ข๐ค๐ฎ ๐ก๐ข๐ฒ๐จ ๐ค๐ฐ๐š ๐ฆ๐š๐š๐ง๐š ๐ฌ๐ข๐จ ๐ก๐ฎ๐ฎ ๐ฎ๐ฉ๐ฎ๐ฎ๐ณ๐ข.
๐‡๐š๐ค๐ฎ๐ง๐š ๐œ๐ก๐จ๐œ๐ก๐จ๐ญ๐ž ๐ง๐๐š๐ง๐ข ๐ฒ๐š ๐ฒ๐จ๐ญ๐ž ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฒ๐จ๐š๐ง๐๐ข๐ค๐š.
dronedrake
 
Tunakipenda sana

Screenshot_20230820-215303_(1).png
 
Vijana wa siku hizi bhana yani tunatafuna sado moja la karanga mbichi na tunaona sawa wakati wazee wetu walikua wanatafuna junia 3 za karanga peke yake
we utakua ๐Œ๐ฌ๐ฎ๐ค๐ฎ๐ฆ๐š ๐’”๐’†๐’Ž๐’‚ "๐’ˆ๐’–๐’๐’Š๐’‚"
 
Tafuta na asali mbichi uchanganye na karanga tende pia na maziwa pia usisahau na mazoezi ilii anunee vzr [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Vijana wa siku hizi bhana yani tunatafuna sado moja la karanga mbichi na tunaona sawa wakati wazee wetu walikua wanatafuna junia 3 za karanga peke yake
Tatizo ni hela ya kununua hilo gunia ndio shida, hapo kariakoo gunia la karanga za maganda wanauza bei gani?
 
๐€๐ค๐ข๐ฅ๐ข ๐ง๐ฒ๐ข๐ง๐ ๐ข๐ง๐ž ๐›๐ฐ๐š๐ง๐š ๐›๐จ๐ซ๐š ๐›๐š๐›๐š ๐ฒ๐š๐ค๐จ ๐š๐ง๐ ๐ž๐ฉ๐ข๐ ๐š ๐ง๐ฒ๐ž๐ญ๐จ ๐ฌ๐ข๐ค๐ฎ ๐ก๐ข๐ฒ๐จ ๐ค๐ฐ๐š ๐ฆ๐š๐š๐ง๐š ๐ฌ๐ข๐จ ๐ก๐ฎ๐ฎ ๐ฎ๐ฉ๐ฎ๐ฎ๐ณ๐ข.
๐‡๐š๐ค๐ฎ๐ง๐š ๐œ๐ก๐จ๐œ๐ก๐จ๐ญ๐ž ๐ง๐๐š๐ง๐ข ๐ฒ๐š ๐ฒ๐จ๐ญ๐ž ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฒ๐จ๐š๐ง๐๐ข๐ค๐š.
dronedrake
Tufanyeje ili tuwe na kiwanda cha kutengeneza ndege za kivita, ili tuwauzie nje tupate fedha za kigeni?
 
Tatizo ni hela ya kununua hilo gunia ndio shida, hapo kariakoo gunia la karanga za maganda wanauza bei gani?
Ukienda kijijini mfano kule singida vijijini unanunua gunia kwa bei rahisi sana..unanunua gunia zako hata 300 za karanga halfu kila siku unatafuna gunia hata 20..maisha si yanakua poa kabsa hapo
 
Tafuta na asali mbichi uchanganye na karanga tende pia na maziwa pia usisahau na mazoezi ilii anunee vzr [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haya ndio maushauri tunayoyahitaji, ebu pata balimi hapo kwa mangi, salio linakuja sasa hivi kwa jfpesa ๐Ÿ˜€
 
Back
Top Bottom