Mpenzi wangu anapenda kutumia lugha ngumu

Nilikua na demu wa kikenya mzuri sana anaitwa lilian aisee yuko very romantic alafu mimi sasa namjibu kisela akawa anani mind sana nikamuambia ndivo nilivo aisee badae akanizoea
 
Kwa hayo Maongezi hebu angalia amekusave jina gani, huyu atakuwa player kama mimi amekusave Jembe langu mke halisi akiona sms anajua anongea na Mwana wake tu🤣🤣
 
Kwanini unasema hivyo?
Yaani ushindwe kutofautisha lugha unayopaswa kutumia kwa mpenzi wako na kwa washkaji zako si madharau hayo.
Wewe unampenda na yeye hakupendi na huwezi kubali hilo mamiloo.
 
week 3 tu ushakubali na kuliwa Duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…