Canabian Rasta
JF-Expert Member
- Aug 18, 2022
- 775
- 1,745
Kabla hujahoji nimetaka kujua why ionekane upumbavu
Nije nijenge kwenye vile viwanja vyako vya kigamboni[emoji23][emoji23]Wanaume acheni roho mbaya, kuna ubaya gani akijenga kwa bidada na wana malengo ya kuwa mke na mume!!!
Mwaya endelea kuongea naye taratibu atakuelewa usiwasikilize watu wa humu wavurugaji wa mapenzi ya watu [emoji12]
KabisaEagles eye..ana akili sana aseeee...
Cha Toangoma 😂😂Nije nijenge kwenye vile viwanja vyako vya kigamboni[emoji23][emoji23]
Sema kwenye pesa nimekukubali sana wala hutaki kusema uongo[emoji23]Sitaki fujo...nikipewa Hela sitaki maelezo ya nimenunua nini
Vile vya kibada[emoji23]Cha Toangoma [emoji23][emoji23]
Tuanze na vile vipya vya Kibaha kwa Mathias 😂😂😂😂Vile vya kibada[emoji23]
Vipo sehemu nzuri sana
Watu wanajenga jijini bana[emoji23]Tuanze na vile vipya vya Kibaha kwa Mathias [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Me nataka kukaa nje ya mji 😂😂😂Watu wanajenga jijini bana[emoji23]
Ukikubali najenga kweli, serious
Mjanja kama ww unakaa vp nje ya mji na nyumba unazo jijini hapo[emoji23]Me nataka kukaa nje ya mji [emoji23][emoji23][emoji23]
Mjanja kama ww unakaa vp nje ya mji na nyumba unazo jijini hapo[emoji23]
Hata kiwanja cha mke ni mtihani....sembuse mpenzi!Tulianza mahusiano amenikuta na kiwanja kikubwa tu, nikamshauri pesa aingize kwenye ujenzi haina haja ya kununua kiwanja, ila amekuwa mzito kujenga juu ya ardhi ile, anadai siku mambo yakienda ndivyo sivyo atapoteza property. [emoji848]
Sio ubinafsi huo? Na why muwaze kuachana mpaka ugomvi wa mali kuhusishwa? Anyways nimemshauri aangalie namna itakayofaa.
Kivipi tena?[emoji23]Umeanza tena ya jana? [emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo lipo wapi? Kwani wenzetu huwa mna wake wa aina gani ambao hamuwaamini?Hata kiwanja cha mke ni mtihani....sembuse mpenzi!
Labda kwa ushirikina
🤣🤣🤣🤣Nitafika mbaliSema kwenye pesa nimekukubali sana wala hutaki kusema uongo[emoji23]
Nitakutafuta una kitu wewe
Kabisa, upo open sana[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nitafika mbali
Kivipi tena?[emoji23]
Kuhusu kujenga kwenye viwanja vyako?[emoji23]Unayajua [emoji23][emoji23][emoji23]