Mpenzi wangu anasita kujenga juu ya kiwanja changu

Wanaume acheni roho mbaya, kuna ubaya gani akijenga kwa bidada na wana malengo ya kuwa mke na mume!!!
Mwaya endelea kuongea naye taratibu atakuelewa usiwasikilize watu wa humu wavurugaji wa mapenzi ya watu [emoji12]
Nije nijenge kwenye vile viwanja vyako vya kigamboni[emoji23][emoji23]
 
Hata kiwanja cha mke ni mtihani....sembuse mpenzi!
Labda kwa ushirikina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…