Vien
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 6,585
- 10,363
Huyo jamaa akishauziwa hicho kiwanja ahakikishe haanzi ujenzi mpaka hati miliki kutoka wizarani yenye majina yake kamili imetokaKama kweli wewe una nia nzuri na huyo mwanaume muuzie hicho kiwanja kwa bei nzuri, Alafu ajenge nyumba muishi.... Ukishindwa kufanya hivyo basi yupo sahihi kuwa na wasiwasi