Mpenzi wangu kabadilika kwa sasa hata mawasiliano ni magumu kati yetu

one man down.... anakuona lunya tu
 
Wewe ni litaahira, unaleaje bao la mwanaume mwenzio? Kakuacha kwasababu ameona kabisa huna akili, unajishobozaje na mke wa mtu? Hebu Natafuta Ajira njoo ulione hili bwabwa.
 
Kimbia kakuona zoba sense day one ulivyopokea mzigo usiokuhusu.
Nowdays wanawake ni vichomi nashauri kama hujaoa Achana na huu ufala utauza furaha yako kwa kulea matoto ya watu yaliyoharibika
Huyo demu hana makosa, kafanya kinachomstahili huyo bwege, inakuwaje unakuwa mpumbavu kiasi hicho?
 

"Umemkuta na mimba ya mwanaume mwingine na ukampenda"

Hivi uko sawa kiakili wewe ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…