Mpenzi wangu kabadilika kwa sasa hata mawasiliano ni magumu kati yetu

🤣🤣🤣🤣 uko wapi kwani?
 
Ukimuondoa Nyumbu,Mwanamke ndiye mwanamke anayeongoza Kwa kutokuwa na Akili duniani!
Nina wasiwasi, biblia imesema tuishi nao kwa akili means wao ndo wenye akili kutuzidi ndo maana tukaonywa mapema
 
Upigwe makofi kokote ulipo 🤬
 
Usipende kuwa na TABIA ya kumsaidia MTU ili akupe UCHI.

Unapokutana na desperate woman - msaidie Kama sehemu ya kujipataia thawabu na sio ili aje akupe UCHI.


Unapoamua kutafuta soulmate usilenge kutafuta soul mate ambaye amejichokea Sana , that is hell.


So kuwa MAKINI kwa HILO

Cheap is expensive

Vijana wengi hutafuta desperate women Kama singo mama , walioachika divorced women kwa lengo la kuwapa faraja hao desperate women ili wajipatie uchi wa bei rahisi

Don't do that please .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…