Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wanaona wanafuata dini au mapenzi kati yao. Tutoke kwenye fikra za kizamani. Dini ni Imani yako sio yake kila moja wetu ana imani yake. Kama kwako dini ni cha kwanza basi usimfuate asiye wa imani yako au mbadili imani kwanza ndio penzi lifuateBaada ya safari ndefu ya mahusiano tumefikia hatua ya kufunga ndoa ila binti ni mkatoliki mimi msabato mpaka sasa hatujafikia mwafaka nani amfuate nwenzie japo kisheria tumezoea mwanamke anamfata mwanaume lakini yeye hataki na hayupo tiyali kuhama roma.
Yani nyie kwa nyie pia mnazinguana? Yesu si ni yule yule tu au kila mtu na yesu wake?
Zanzibar-ASP heshima kwako!Ndio maana ndoa nyingi sana za siku hizi zinavunjika ovyo ovyo tena mapema sana.
Kwanza kabisa hayo mambo ya imani mlitakiwa kuyaweka sawa sawa mwanzoni kabisa mwa uhusiano wenu na sio muda huu wa kufunga ndoa.
Baada ya safari ndefu ya mahusiano tumefikia hatua ya kufunga ndoa ila binti ni mkatoliki mimi msabato mpaka sasa hatujafikia mwafaka nani amfuate nwenzie japo kisheria tumezoea mwanamke anamfata mwanaume lakini yeye hataki na hayupo tiyali kuhama roma.
Hawamjui Mungu was wasabato alieumba mbingu na nchi.. Mungu wa waroma eti ni tofautiKwamba amhubiri amjue Mungu, kwaivo Catholic hawamjui Mungu?
Wewe na demu wa mtoa mada akili zenu zinafanana!Hello ndugu unaweza kunitajia kifungu cha sheria kinachosema mwanamke ndie humfuata mwanaume..?
Nasubiri boss nami nijifunze
Mfuate mwanamke wako Roma ndio baba wa makanisa baadae Ruther akajitenga, Anglican nao wakajitenga na mama mmoja nae akajitenga akaanzisha dhehebu la sabatoBaada ya safari ndefu ya mahusiano tumefikia hatua ya kufunga ndoa ila binti ni mkatoliki mimi msabato mpaka sasa hatujafikia mwafaka nani amfuate nwenzie japo kisheria tumezoea mwanamke anamfata mwanaume lakini yeye hataki na hayupo tiyali kuhama roma.
Mfuate mwanamke wako Roma ndio baba wa makanisa baadae Ruther akajitenga, Anglican nao wakajitenga na mama mmoja nae akajitenga akaanzisha dhehebu la sabatoBaada ya safari ndefu ya mahusiano tumefikia hatua ya kufunga ndoa ila binti ni mkatoliki mimi msabato mpaka sasa hatujafikia mwafaka nani amfuate nwenzie japo kisheria tumezoea mwanamke anamfata mwanaume lakini yeye hataki na hayupo tiyali kuhama roma.
Kama kuna Mungu wa wasabato basi tungeishi maisha ya tofauti sana....hata pumzi, riziki, pesa, utajiri wangepewa wasabato tu kwa sababu ndo watu wa Mungu!Hawamjui Mungu was wasabato alieumba mbingu na nchi.. Mungu wa waroma eti ni tofauti
Issue sio Mungu tofauti ila ni vile waroma wanabadilisha maandiko kwa manufaa yao tofauti na asili ya bibliaKama kuna Mungu wa wasabato basi tungeishi maisha ya tofauti sana....hata pumzi, riziki, pesa, utajiri wangepewa wasabato tu kwa sababu ndo watu wa Mungu!
Hata waliaoanza kuiandika waliandika kwa manufaa yao, au umesahau ni maandiko tu yaliyoandikwa na mzungu? Kwan baada ya Catholic kubadili maneno ya biblia Mungu amewapa adhabu gan au bado wanaishi duniani tu kama wasabatoIssue sio Mungu tofauti ila ni vile waroma wanabadilisha maandiko kwa manufaa yao tofauti na asili ya biblia
Kwa tz hakuna ila India mwanamke ndie anae toa mahari kifungu hicho hata India hakuna wanacho fanya ni desturi yao Kama ilivyo tz ni desturi si sheria.Hello ndugu unaweza kunitajia kifungu cha sheria kinachosema mwanamke ndie humfuata mwanaume..?
Nasubiri boss nami nijifunze