Mpenzi wangu kakubali kukutana kimwili na rafiki yangu

Mpenzi wangu kakubali kukutana kimwili na rafiki yangu

Wakilimkuu

Member
Joined
Apr 15, 2024
Posts
91
Reaction score
106
Naomba ushauri,nina mpenzi wangu kipindi cha nyuma,kabla hajakubali kuwa wapenzi kuna rafiki yangu alikuwa anamtongoza kwa siri, ila nilifamu kwamba anamtongoza bila yeye kujua.

Sasa nikakubaliwa rafiki yangu akapa kazi akahama mji, jana mimesajili line mpya kwa ya mtu mwingine, nikajifanya mimi ni huyo rafiki yangu nikamuambia mpenzi wangu kwamba wiki ijayo nakuja mkoa X nataka tuonane then unipe penzi akakubali kwamba nisijali atanipatia.

Hapa najiuliza hawa wanawake ni tamaa au ndivyo walivyo nimeona thread mbili hapa jukwaani inayofanana na hii yangu, weza wao nao walikubali.
 
Naomba ushauri,nina mpenzi wangu kipindi cha nyuma,kabla hajakubali kuwa wapenzi kuna rafiki yangu alikuwa anamtongoza kwa siri, ila nilifamu kwamba anamtongoza bila yeye kujua.
Sasa nikakubaliwa rafiki yangu akapa kazi akahama mji, jana mimesajili line mpya kwa ya mtu mwingine, nikajifanya mimi ni huyo rafiki yangu nikamuambia mpenzi wangu kwamba wiki ijayo nakuja mkoa x nataka tuonane then unipe penzi akakubali kwamba nisijali atanipatia,
Hapa najiuliza hawa wanawake ni tamaa au nduvyo walivyo nimeona thread mbili hapa jukwaani inayofanana na hii yangu, weza wao nao walikubali
Umepata ulichokitafuta sasa tatizo liko wapi?
 
Naomba ushauri,nina mpenzi wangu kipindi cha nyuma,kabla hajakubali kuwa wapenzi kuna rafiki yangu alikuwa anamtongoza kwa siri, ila nilifamu kwamba anamtongoza bila yeye kujua.
Sasa nikakubaliwa rafiki yangu akapa kazi akahama mji, jana mimesajili line mpya kwa ya mtu mwingine, nikajifanya mimi ni huyo rafiki yangu nikamuambia mpenzi wangu kwamba wiki ijayo nakuja mkoa x nataka tuonane then unipe penzi akakubali kwamba nisijali atanipatia,
Hapa najiuliza hawa wanawake ni tamaa au nduvyo walivyo nimeona thread mbili hapa jukwaani inayofanana na hii yangu, weza wao nao walikubali
Kwanza, wewe ni muhalifu. Kwa nini unasajili line kwa jina la mtu mwingine kwa nia ya kumhadaa mpenzi wako?

Ndugu mlalamikaji, kumbuka huyo ni mpenzi wako. Si mkeo. Kama unataka kuumia vizuri, oa. Kisha akichepuka ndiyo ulalamike.

Ushauri ninaokupa mimi, acha utoto na upuuzi.
 
Kwanza, wewe ni muhalifu. Kwa nini unasajili line kwa jina la mtu mwingine kwa nia ya kumhadaa mpenzi wako?

Ndugu mlalamikaji, kumbuka huyo ni mpenzi wako. Si mkeo. Kama unataka kuumia vizuri, oa. Kisha akichepuka ndiyo ulalamike.

Ushauri ninaokupa mimi, acha utoto na upu

Kajiunge chaputa
Kule hapana k ina ladha yake
 
Kwanza, wewe ni muhalifu. Kwa nini unasajili line kwa jina la mtu mwingine kwa nia ya kumhadaa mpenzi wako?

Ndugu mlalamikaji, kumbuka huyo ni mpenzi wako. Si mkeo. Kama unataka kuumia vizuri, oa. Kisha akichepuka ndiyo ulalamike.

Ushauri ninaokupa mimi, acha utoto na upuuzi.
Kabla hujaoa inabidi umchunguze mpenzi wako
 
Unaanzaje hadi kusajili line ili umtongoze mpenzi wako? Yaani hunuamini kiasi hiki?

Then kwann unaendelea nae mtu ambae hunuamini to that extent?

Anyways umepata ulichotaka. Uamuzi wa kuzika hapo hapo au kusafirisha unao wewe sasa
 
Katika mahusiano, hata siku moja usijambishe ukijijua huna uwezo wa kumuacha muhusika.

Mwana kulitaka, mwana kulipata. Sasa ili kujiaminisha kabisa, muombe tigo ukijifanya ni huyo rafiki yako.

Ikiwa lengo lishatimia, amekubali, nini kinachofuata sasa? Kufanya plastic surgery uwe kama rafiki ukale mzigo au kujifungia ndani kulia?

Sajili laini nyingine kama mtu mwingine umtongoze, napo pia hatokataa maana hiyo ndio tabia yake.
 
Bila shaka hujakubuu kwenye fani ya kutongoza Mwanamke aliyembali akikuambia 'ndiyo' usidhani amekubali hapo amefunika kombe mwanaharamu apite.
Hapo nakuunga mkono mkuu, kwasababu wakati nachat nae alinitumi txt kwa namba yang ya kawaida, akaniambia namba ya rafiki yako inaishia na ngapi nikamuambia, akasema sawa tulia kuna jambo nataka kufanya nitakupa jibu ndiyo, nasikilizia hapa atasemaje
 
Back
Top Bottom