Mpenzi wangu kaniuliza swali, nimeshindwa kumjibu

Cc.
Liverpool VPN
 

Hawezi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]angekua anafanya au anaplan hiyo asingesema ila kuwa makini kuna mengi sikuhizi kuna kojo, kayamata, shuntama, na spells zinginezo akikufanyia umeishaaaa
 
Kauli kama hizi dem hata awe mkali vp binafsi lazm nirud nyuma kidg
 
K
Sasa usiombe akajakukupa limbwata halafu akakuacha bado linafanya kazi!..

Mimi mpaka nilionaga nyotanyota..πŸ˜‚
Kumbe ulirogwa hahaa ilikuaje mzee wa Evelyn wa chumvi
 
Hawezi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]angekua anafanya au anaplan hiyo asingesema ila kuwa makini kuna mengi sikuhizi kuna kojo, kayamata, shuntama, na spells zinginezo akikufanyia umeishaaaa
Duuh mkuu fafanua moja baada ya nyingne
 
Sasa usiombe akajakukupa limbwata halafu akakuacha bado linafanya kazi!..

Mimi mpaka nilionaga nyotanyota..πŸ˜‚
🀣🀣🀣🀣
 
Hapo dawa umuwahi wewe.
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣dah
 
Hakunaga hizo dawa usiogope. Kuna mwanangu mmoja ameoa ni malaya wa kufa mtu, mke wake anamuwekeaga dawa kwenye kila chakula, ila huwezi amini nje ana wanawake zaidi ya wanne na wengine nawafahamu tuko nao mtaa mmoja.

Nikimtaniaga namwambia mke wake ananiambia, sister potezea. Visichana vya chuo kibao na hawapagi hela nyingi anasemaga hazidi elfu 10. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Usiogope hizo dawa hakuna kitu.
 
Kama umempenda mpaka anaona kero kwa nini asikwambie hivyo?kwani huna mama yako mzazi?unampendaje mwanamke mpaka anajua na kushangaa eti unampenda hivyo na hajakuroga na je akikuroga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…