Mpenzi wangu sild hataki kunipa mpaka nimuoe kwa ndoa!

Mpenzi wangu sild hataki kunipa mpaka nimuoe kwa ndoa!

Valvu ndo k au??
IMG_0245.jpeg
 
Mkuu umenena, familia yake ile hela zangu za posa na harusi wakati mzigo siujui? Labda ingekuwa chupa ya bia ndo ningesema nikifungua itapoa dadadeki
Aah hapo kumbe umenipata sasa, Ni ujinga dunia ya leo kudanganywa kwa mbinu za kizamani.
 
Kama ameshaanza kukuambia wewe ubadilishe dini, sijui atakupa mbususu mpaka umuone hauoni unapoteza muda wako? Wanawake wako wako wengi, wazuri wa dini yako, acha kupoteza muda. Maisha hayakusubiri
 
Kama ameshaanza kukuambia wewe ubadilishe dini, sijui atakupa mbususu mpaka umuone hauoni unapoteza muda wako? Wanawake wako wako wengi, wazuri wa dini yako, acha kupoteza muda. Maisha hayakusubiri
Wengi walishamfuata mpaka matajiri ila hakuna anayetaka kuoa pila kugusa Valve msimamo wake ni huohuo sasa ataolewa na pump huko tunakoenda
 
Wengi walishamfuata mpaka matajiri ila hakuna anayetaka kuoa pila kugusa Valve msimamo wake ni huohuo sasa ataolewa na pump huko tunakoenda
Naona huwajui wanawake vizuri mkuu. Nature ya mwanamke ni mbinafsi, utakuja kujuta
 
Kama ni sildi kweli haupaswi kumtafuna kabla ya ndoa. Maana amejitunza kwa ajili hiyo.

Hoja kuu ni muweke makubaliano ya maandishi kwamba kama amekudanganya baada ya ndoa usipokuta virginity ndoa inavunjika na hela anakulipa za hasara
Nakazia maana hawa wadada wamekua matapeli sana, ukute kanatifuliwa huko kila mkao Alafu akanakudanganya eti bikra, mwisho wa siku break pumbu nusra kupitiliza
 
Naona huwajui wanawake vizuri mkuu. Nature ya mwanamke ni mbinafsi, utakuja kujuta
Boss umenena kwanza kitendo cha kuthubutu kunipangia jambo lolote ni utomvu wa nidhamu
 
Wakulungwa nimedate na binti mmoja ambaye ni bikra kwa miezi mitatu na nimempenda sana niko tayari kumuoa hata leo ila tangu nimedate nae hataki kunifungulia mlango nipite kwasababu anadai siku atanifungulia mlango ni baada ya ndoa yetu na anataka ndoa ifanyike 2025

Nimekaa chini nimefikiria sana nimeona ni ujinga kwasababu siwezi kuvumilia nikisubiri kupita ndani kwa muda wote huo pia siwezi kutumia fedha zangu kufunga harusi ya mamilioni na mtu ambaye ameninyima Valve

Lengo langu lilikua moja tu anipe Valve nijaze upepo na niende kwa wazazi wake hata leo nipo tayari ila yeye ndiye chanzo
Nimeona nikimsikiliza inamana kuwa atakuwa amenikosea sana kwa kunipeleka atakavyo yeye wakati mm ndiye nitamgharamikia

Wakulungwa hii kwenu imekaaje kwasababu kitendo cha kukataa kutoa Valve tayari ni kosa kubwa ni sawa na kutokunipenda kwangu hiyo ndiyo tafsiri yangu

Kubwa kuliko yote anataka nibadilishe dini jambo ambalo siwezi kamwe kwanza sitaki kusikia mtu yeyote akineleza maswala ya dini
View attachment 2876400
Kataa Ndoa mzeee 😄😀
 
Back
Top Bottom