Mpenzi wangu sild hataki kunipa mpaka nimuoe kwa ndoa!

Mpenzi wangu sild hataki kunipa mpaka nimuoe kwa ndoa!

Unapigwa ww, Hujala ss umejuaje chakula akijachacha(bikra) ok Kama ataki kutoa mzigo Hadi ndoa na ww usimudumie Hadi ndoa.
 
Kasheshe ni kwenye imani, mimi kama mimi linapokuja suala la imani nikijuona hapa sibadilishi,(which is siezi kubadili dini) basi kiroho safi nenda salama. Mambo ya kuzaa watoto tuanze kuchanganyikiwa wafate imani gani noooo
 
Back
Top Bottom