Mpenzi wangu tangu amepata kazi amebadilika sana. Amekua hapendi nijue ratiba zake

Kwa kesi ya huyo jamaa etu hapo ashaachwa ni vile mwanamke kamwacha katika style ya asimuumize ili jamaa akiona redflag ajiongeze kusepa ila jamaa hajaelewa. Hapo huyo demu wake ashamuona jamaa sio type yake tena, kamuona ni mzigo na ni wakihasara hasara. Demu sahivi anaangalia juu na siyo chini tena alipo jamaa etu.
 
...yeye pia ana umri sawa na mimi lakini amenizidi miezi kadhaa
Hili ni tatizo. Hata Eva (a.k.a Hawa) hakuumbwa kabla ya Adam. Hapo umeingia cha kike, anakuona dogo.

Pili ni mpunga. Mwanamke anayekuzidi kipato ni vigumu sana kukuelewa. Ukute tayari ana mwamba anayempa lifti kwenye ndinga halafu wewe hata baiskeli huna. Anakuona kero na kuhisi utamzibia riziki!
 
Tafuta wa 18 yrs uànze upya.
 
Hayo mambo ya kujua ratiba zake na income yake unatengeneza vita kali sana. Achana na hayo mambo focus kwenye kutafuta pesa yako. Piga kazi kwa bidii kijana.
 
Wewe umewakilisha wanawake wote jinsi mlivyo. Pesa yenu haipaswi kuwa yaa mwanaume na ya mwanaume ni lazima iwe yenu na mjue anapata kiasi gani.
 
Huu uzi umenikumbasha jumapili usiku kama saa sita usiku number mpya, salamu nyingi alafu anauliza umelala, nikajibu naanika nguo nikakata na kuweka Airplane
Asubuhi anapiga tena simu ananiliuza kuna dada anaitwa flani unamjua, ndio
Bro huyu demu wangu,
Nikamuuliza umemuo au kumtolea mahari?
Dogo;hapana
Nikamuuliza nimemlamisha au kumbaka
Dogo;hapana
Nikamwambia mdogo wangu nakupa ushauri huu
1. Usimpende mwanamke kuliko anavyokupenda
2. Tafuta demu wa size yako (unayemmudu sio kwa fedha, bali controlling)
3. Jifunze kuwa mwanaume, tengeneza maisha acha kulilia mademu

Mleta mada hata wewe huo ushauri hapo juu unakufaa
Wewe ni dhaifu sana
 
Dada amebadilika kuliko zuwena😅
 
Tushawazoea chenu chenu na wanaume ni cha kwenu.

Ushauri mfupi tu kwa jamaa amwache mwanzo mgumu, ila baada ya miezi michache atazoea,kwani ni hatari kuishi na kiumbe ambacho chenye moyo wa ubinafsi.
 
Mwanamke hakuumbwa kumiliki uchumi. Umenielewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…