Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hio kazi yenyewe amepitiwa ndio maana hata mshahara mzuri,brother angalia maisha mengine hapo huna mtu kaa mguu nje kabisa akija mpokee asipokucheki mpotezee furahia maisha yako kabla hujaanza ugua ugonjwa wa akili,pambana biashara zako zikueMimi ni kijana wa miaka 25 nina mpenzi wangu ambae tumekua na mahusiano kwa kipindi cha miaka sita sasa yeye pia ana umri sawa na mimi lakini amenizidi miezi kadhaa
Tumekua na mahusiano ambayo tumekua tunaishi kwa kusaidiana kwa jambo lolote lile
Mwenzangu alibahatika kupata kazi mapema baada ya kumaliza chuo lakini kwangu haikua hvo bado nipo napambana na shughuli zangu binafsi za biashara.
Mwanzo wakati shughuli zangu zinaenda vizuri hakukua na shida lakini baada ya yeye kupata nafasi sehemu nyingne ambayo wamekua wanamlipa vizuri tofauti na laipokua mwanzo ndipo nayeye mambo yakaanza kubadilika kwake
Amekua ni mtu ambae hapendi nijue ratiba zake wala kile anachoingiza kwa mwezi hali ambayo mwanzo haikuwepo
Naombeni ushauri wakuu juu ya hili
Asanteni 🙏
Ni mwanamke........hahahahha! Mimi naona presha kuna wakati tunaztafuta wenyewe, kwann utake kujua mambo ambayo si ya msingi muhimu anakuheshimu hizo ratba na pesa zake si za muhimu. Asimame kama mwanaume na si kulalamika, huenda nina mtazamo tofauti lkn kwangu ni hivyo.Mkuu wewe ni mwanaume.. ?kama ni mwanaume jamaa etu ashaachwa hapo kikubwa tumuambie ukweli ili asije akajinyonga mapema
Mkuu mimi nilidumu na demu miaka sita, na nkikuwa namsaidia kinoma. Muda niliposhuka financially bado akaniacha na nilipambana sana kutompoteza kumbe navyozidi pambana mimi ndivyo najipoteza na wala haisaidii.unarahisisha sana mkuu unaijua miaka 6?
Hii imeniponya hata mimi👊Ukiona unaanza kulalamikia hadi kupigiwa simu, kutumiwa msg, ujue yanafika ukingoni. Mapenzi yakiwepo vitu huwa vinafanyika automatically.
Ukiona mpaka uombe kupigiwa simu, unaanza lalamika hupewi taarifa, yani huenda sasa hivi hata sms zako ni kero kwake. Jiandae kisaikolojia kijana yani hakuna namna na wala usitumie nguvu kujaribu kufikiri utabadilisha chochote.
Utapoteza muda, rasilimali na utaumia sana kwa kujaribu kupingana na mabadiliko yanayokuja.
Mdogo wangu wewe tayari umeshaachwa kilichobaki hapo ni kusubiri tarehe rasmi ya kutamkiwa IT'S OVER. Wajanja wote wakiona hizo dalili huwa wanaachana na manzi fasta kuliko kusubiria aibu itakayokutafuna. Huyo manzi anastahili kuwa na mtu wa kuanzia miaka 30 ambaye pia yuko vizuri kiuchumi kuliko yeye. Wewe bado mdogo tafuta kibunda kwanza.Mimi ni kijana wa miaka 25 nina mpenzi wangu ambae tumekua na mahusiano kwa kipindi cha miaka sita sasa yeye pia ana umri sawa na mimi lakini amenizidi miezi kadhaa
Tumekua na mahusiano ambayo tumekua tunaishi kwa kusaidiana kwa jambo lolote lile
Mwenzangu alibahatika kupata kazi mapema baada ya kumaliza chuo lakini kwangu haikua hvo bado nipo napambana na shughuli zangu binafsi za biashara.
Mwanzo wakati shughuli zangu zinaenda vizuri hakukua na shida lakini baada ya yeye kupata nafasi sehemu nyingne ambayo wamekua wanamlipa vizuri tofauti na laipokua mwanzo ndipo nayeye mambo yakaanza kubadilika kwake
Amekua ni mtu ambae hapendi nijue ratiba zake wala kile anachoingiza kwa mwezi hali ambayo mwanzo haikuwepo
Naombeni ushauri wakuu juu ya hili
Asanteni 🙏
kwani ye ni kenge😆Sijui ameelewa au hadi damu imtoke?
Mimi ni kijana wa miaka 25 nina mpenzi wangu ambae tumekua na mahusiano kwa kipindi cha miaka sita sasa yeye pia ana umri sawa na mimi lakini amenizidi miezi kadhaa
Tumekua na mahusiano ambayo tumekua tunaishi kwa kusaidiana kwa jambo lolote lile
Mwenzangu alibahatika kupata kazi mapema baada ya kumaliza chuo lakini kwangu haikua hvo bado nipo napambana na shughuli zangu binafsi za biashara.
Mwanzo wakati shughuli zangu zinaenda vizuri hakukua na shida lakini baada ya yeye kupata nafasi sehemu nyingne ambayo wamekua wanamlipa vizuri tofauti na laipokua mwanzo ndipo nayeye mambo yakaanza kubadilika kwake
Amekua ni mtu ambae hapendi nijue ratiba zake wala kile anachoingiza kwa mwezi hali ambayo mwanzo haikuwepo
Naombeni ushauri wakuu juu ya hili
Asanteni 🙏
Yale yale tunasemaga kila siku, mwanamke akipata financial freedom cha kwanza anawaza ni kumuonfoa mwanaume kwenye maisha yake🤣🤣🤣.Mimi ni kijana wa miaka 25 nina mpenzi wangu ambae tumekua na mahusiano kwa kipindi cha miaka sita sasa yeye pia ana umri sawa na mimi lakini amenizidi miezi kadhaa
Tumekua na mahusiano ambayo tumekua tunaishi kwa kusaidiana kwa jambo lolote lile
Mwenzangu alibahatika kupata kazi mapema baada ya kumaliza chuo lakini kwangu haikua hvo bado nipo napambana na shughuli zangu binafsi za biashara.
Mwanzo wakati shughuli zangu zinaenda vizuri hakukua na shida lakini baada ya yeye kupata nafasi sehemu nyingne ambayo wamekua wanamlipa vizuri tofauti na laipokua mwanzo ndipo nayeye mambo yakaanza kubadilika kwake
Amekua ni mtu ambae hapendi nijue ratiba zake wala kile anachoingiza kwa mwezi hali ambayo mwanzo haikuwepo
Naombeni ushauri wakuu juu ya hili
Asanteni 🙏
Ila huduma anatoa kama zamani?Mimi ni kijana wa miaka 25 nina mpenzi wangu ambae tumekua na mahusiano kwa kipindi cha miaka sita sasa yeye pia ana umri sawa na mimi lakini amenizidi miezi kadhaa
Tumekua na mahusiano ambayo tumekua tunaishi kwa kusaidiana kwa jambo lolote lile
Mwenzangu alibahatika kupata kazi mapema baada ya kumaliza chuo lakini kwangu haikua hvo bado nipo napambana na shughuli zangu binafsi za biashara.
Mwanzo wakati shughuli zangu zinaenda vizuri hakukua na shida lakini baada ya yeye kupata nafasi sehemu nyingne ambayo wamekua wanamlipa vizuri tofauti na laipokua mwanzo ndipo nayeye mambo yakaanza kubadilika kwake
Amekua ni mtu ambae hapendi nijue ratiba zake wala kile anachoingiza kwa mwezi hali ambayo mwanzo haikuwepo
Naombeni ushauri wakuu juu ya hili
Asanteni 🙏
EnheeeMimi ni kijana wa miaka 25 nina mpenzi wangu ambae tumekua na mahusiano kwa kipindi cha miaka sita sasa yeye pia ana umri sawa na mimi lakini amenizidi miezi kadhaa
Endelea, nakufuatiliaTumekua na mahusiano ambayo tumekua tunaishi kwa kusaidiana kwa jambo lolote lile
Mwenzako kuajiriwa unaona ni sifa na bahati, lakini wewe kweza kusimama kwa miguu yako na kufanya biashara zako unajiona mwenye mkosi?Mwenzangu alibahatika kupata kazi mapema baada ya kumaliza chuo lakini kwangu haikua hvo bado nipo napambana na shughuli zangu binafsi za biashara.
Yaani tafsiri yako wewe juu ya mambo yako kuwa yanaenda vibaya ni kitendo cha mwenzako kulipwa vizuri au?Mwanzo wakati shughuli zangu zinaenda vizuri hakukua na shida lakini baada ya yeye kupata nafasi sehemu nyingne ambayo wamekua wanamlipa vizuri tofauti na laipokua mwanzo ndipo nayeye mambo yakaanza kubadilika kwake
Akiwambia labda next week anatakiwa ku attend Community-Based Disaster Risk Reduction (CBDRR) Meetings, or Medical Supply Chain Review Meetings, Health Impact Assessment (HIA) Meetings, Infectious Disease Control Workshops,Amekua ni mtu ambae hapendi nijue ratiba zake wala kile anachoingiza kwa mwezi hali ambayo mwanzo haikuwepo
Kabla ya ushauri nina swali, Je, ulitarajia apate kazi halafu asibadilike? Kama hiyo kazi isingembadilisha basi asingekuwa na faida yoyote, angekuwa ni msukule tu.Naombeni ushauri wakuu juu ya hili
Asanteni 🙏
Kijana wangu,endelea kupiga biasharaMimi ni kijana wa miaka 25 nina mpenzi wangu ambae tumekua na mahusiano kwa kipindi cha miaka sita sasa yeye pia ana umri sawa na mimi lakini amenizidi miezi kadhaa
Tumekua na mahusiano ambayo tumekua tunaishi kwa kusaidiana kwa jambo lolote lile
Mwenzangu alibahatika kupata kazi mapema baada ya kumaliza chuo lakini kwangu haikua hvo bado nipo napambana na shughuli zangu binafsi za biashara.
Mwanzo wakati shughuli zangu zinaenda vizuri hakukua na shida lakini baada ya yeye kupata nafasi sehemu nyingne ambayo wamekua wanamlipa vizuri tofauti na laipokua mwanzo ndipo nayeye mambo yakaanza kubadilika kwake
Amekua ni mtu ambae hapendi nijue ratiba zake wala kile anachoingiza kwa mwezi hali ambayo mwanzo haikuwepo
Naombeni ushauri wakuu juu ya hili
Asanteni 🙏