Mpenzi wangu wa tangu 2020 kaolewa, kaniambia heshima itawale. I didn’t see this coming!

What can I say,

What doesn't kill you makes you stronger...

Suck it up, and move on.

Lock in kwenye mambo mengine usipate muda wa kuwaza waza.
 
Pole Sana mkuu hakuwa fungu lako
 
Polee sana kaka
 
Mapenzi hayana mbabe
 
Bad news ni kuwa huyo mume wake anaweza kuwa anatumiaga JF na baada ya honeymoon au hata akiwa huko atasoma huu ujumbe na kwa bahati mbaya hatochukulia umakini kuwa anaishi na mwanamke ambaye anayemwita mke ambaye alikuwa kaolewa kwa distance relationship na Mad Max for four years..

So soon huyo binti atamtafuta ndugu yetu na kuanza kumsumbua but ndo hivo tena Mad max is wiser hawezi rudia tena matapishi.

Tazama mbele Mkuu na usithubutu kumrudia kwa namna yoyote huyu binti kwasababu nina 70% atajaribu kukutafuta ili muwe marafiki.

Nimesoma jumbe zako hapa nimefarijika sana vile unarecovery kwa haraka na kwa uweza wa Mungu utakuwa sawa kabisa.
 
Una miaka mingap? We hujajua t wanawake akishapata mwanaume mwingine anaempenda anakutaftia sababu mgombane, mkaushiane au umuache ili aende kwa mwingine.
Mzee kwani si ulishakulaga, achaan nae nawe tafta mwengine.
 
Mwache afurahie maisha na mpenzi wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…