Mpenzi wangu wa tangu 2020 kaolewa, kaniambia heshima itawale. I didnโ€™t see this coming!

Mkuu kwa nini sikweli mm nimeanza fatilia JF 2012 nikiwa form five, nikajiunga 2014 nilivoingia chuo lkn mpaka sasa niko below 33. Sasa yeye kwa nini ukatae hayuko below 35.
Asa kwanini unataka nikuamini wewe!??

Timeline ya JF inakataa .
Haiwezekani ujiunge hapa 2010 uwe below 35+..
Yani hiyo ni natural placement. Hutaki baki hivyo hivyo...
Wa 2006 mpaka na 9 hao ndo kabisa 43+.
It's natural placement kutokana na mabadiliko ya kitekinolojia na population gani kwa wakati gani had the access to cyber world.
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Kuna elites wamekuwa na internet makwao, hawajaikutia chuo
 
We nawe!

Alikua na huyo jamaa tangu zamani na ndio chanzo Cha ugomvi wenu!

Ndoa haiwezi Toka from nowhere lazima Kuna process kadhaa kabla!

Mshukuru Mungu huyo hakua wako!

Halafu unalia Lia Nini wakati ke wengi sikuhizi ni pasua kichwa Bora hata wale makahaba pale manzese mnamalizana kuliko Hawa was kwenye relationship!

Acha ujinga man!
 
Aya
 
Kataaa ndoaa,ndoa ni UTUMWA
 
ndoa na iheshimiwe na watu wote....

hayo ni matokeo ya zile ups and sown mlizikua mnapitia..

na hilo ndilo jawabu la kukaushiana kwa muda mrefu sana...

make that as as advantageous opportunity of moving on wisely and very seriously
 
ndoa na iheshimiwe na watu wote....

hayo ni matokeo ya zile ups and sown mlizikua mnapitia..

na hilo ndilo jawabu la kukaushiana kwa muda mrefu sana...

make that as as advantageous opportunity of moving on wisely and very seriously
Mkuu nikikuona na hilo ji koti lako na hisi ni zile harakati zetu za uchawa tu๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ