Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Comment zake zinachekeshaga😂😂Tarehe 22 lazima mwamba atie timu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Comment zake zinachekeshaga😂😂Tarehe 22 lazima mwamba atie timu
Hata mm nimeachwa dada angu naomba unishauri,... Ushauri wako utakua umemsaidia pia Natafuta ajira maana nae ana tatizo kama languHuyu nimemuhurumia kidogo sijui kwanini au ushauri wangu hapo chini niufute, naona anajiandikia comment kumi kumi😂😂 huyu hanaga vurugu lakini, ila kuna wenzie nimeshawaona ingekuwa hao ningewaongezea maumivu
Usimdanganye mwenzio.She's still into you, wala usiumie sana..she loves you na anakuringishia ili uumie ila deep down hata yeye amefanya jambo litakalomsumbua badae.
Nitumie PM bruh nizihakiki 😄Nifanyeje, nilete uswahili au? Nina picha zake mbaya sana
Mwaga mbogaaa mwanawane hamna kuwa na huruma kwa hawa viumbeNifanyeje, nilete uswahili au? Nina picha zake mbaya sana
1:Rule namba 1 mpenzi akisema hayo,usijibu chochote km kweli ww mwanaume kaa kimya hivyo hivyo.Am loosing it.
Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.
Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.
Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.
Am fu<king loosing it.
Vibaya hivoooooooo!Though hayanaga muongozo...
Cha kufanya atafute mnyonge ammegee ingawa haipunguzi machungu...
Kila mwanamke anakuwaga na backup plan...jamaa ambaye anajua kabisa siku yoyote ile akisema ndio ndoa tayari . ..1:Rule namba 1 mpenzi akisema hayo,usijibu chochote km kweli ww mwanaume kaa kimya hivyo hivyo.
Pili akikupigia usimjibu/kupokea km anakupenda atafanya juhudi akutafute mujekuyajenge but look like wkt mpo kwenye mahusiano alikwisha anza mengine bila ww kujua
🤣🤣 njoo na laki2 tukafanye photoshoot na mtoto wakuazima umtumie na ujumbe, " Girl! mimi nina familia kitambo.
Nimekosea nishajibu email, ila nimejibu maneno mafupi, “Sorry sijua, Kila lakheri”1:Rule namba 1 mpenzi akisema hayo,usijibu chochote km kweli ww mwanaume kaa kimya hivyo hivyo.
Pili akikupigia usimjibu/kupokea km anakupenda atafanya juhudi akutafute mujekuyajenge but look like wkt mpo kwenye mahusiano alikwisha anza mengine bila ww kujua
View: https://youtu.be/7qH4qyi1-Ys?si=W8UqWFqeuRvdLKPQ
Kataa ndoa ni changamsha genge but it hurts aisee
Cc: Kelsea
Woi, mpe miezi 8 ataanza kuomba faraja kwako, jifanye kama umekubali matokeo..Am loosing it.
Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.
Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.
Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.
Am fu<king loosing it.
😅😅😅😅She's still into you, wala usiumie sana..she loves you na anakuringishia ili uumie ila deep down hata yeye amefanya jambo litakalomsumbua badae.
Kuna kitu unajivunia, hayo maneno si ya bure.Kweli tunatofautiana sana. HILI NALO MKALITAZAME.
Yaani mimi na Komwe langu hili eti nimekaa kabisa namlilia mtoto wa mtu, eti hata kula nashindwa jamani nalia hadi KWIKI.....khaaaa WE HUOGOPII!
Kwa jinsi Mungu alivyonibariki sitarajii kutoa chozi kwa ajili ya kichogo yoyote.
Anayetaka kukaa na mimi akae, asiyetaka akwende zake. Tena aondoke haraka kabla hajachelewa. HATA AWE NANI, SIANGALII SURA, WE HUOGOPI?
Cc: Lamomy Kapeace mshamba_hachekwi Extrovert
Umenichoka shindikana wangu😁😁😁Pochi yenyewe ina buku 5, ishike tu😂😂😂
Shindikana tatizo lako tabia mbaya ulianza mapema sana.
Comment zake zinachekeshaga mbaya sana
Mwamba uwa analia utazani anataka kukata motoComment zake zinachekeshaga😂😂