Mpenzi wangu wa tangu 2020 kaolewa, kaniambia heshima itawale. I didn’t see this coming!

Mpenzi wangu wa tangu 2020 kaolewa, kaniambia heshima itawale. I didn’t see this coming!

Huyu nimemuhurumia kidogo sijui kwanini au ushauri wangu hapo chini niufute, naona anajiandikia comment kumi kumi😂😂 huyu hanaga vurugu lakini, ila kuna wenzie nimeshawaona ingekuwa hao ningewaongezea maumivu
Hata mm nimeachwa dada angu naomba unishauri,... Ushauri wako utakua umemsaidia pia Natafuta ajira maana nae ana tatizo kama langu
 
Am loosing it.

Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.

Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.

Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.

Am fu<king loosing it.
1:Rule namba 1 mpenzi akisema hayo,usijibu chochote km kweli ww mwanaume kaa kimya hivyo hivyo.
Pili akikupigia usimjibu/kupokea km anakupenda atafanya juhudi akutafute mujekuyajenge but look like wkt mpo kwenye mahusiano alikwisha anza mengine bila ww kujua
 
1:Rule namba 1 mpenzi akisema hayo,usijibu chochote km kweli ww mwanaume kaa kimya hivyo hivyo.
Pili akikupigia usimjibu/kupokea km anakupenda atafanya juhudi akutafute mujekuyajenge but look like wkt mpo kwenye mahusiano alikwisha anza mengine bila ww kujua
Kila mwanamke anakuwaga na backup plan...jamaa ambaye anajua kabisa siku yoyote ile akisema ndio ndoa tayari . ..
 
🤣🤣 njoo na laki2 tukafanye photoshoot na mtoto wakuazima umtumie na ujumbe, " Girl! mimi nina familia kitambo.
IMG-20240929-WA0057.jpg

Au ndio hawa ?? 🤣🤣🤣
 
1:Rule namba 1 mpenzi akisema hayo,usijibu chochote km kweli ww mwanaume kaa kimya hivyo hivyo.
Pili akikupigia usimjibu/kupokea km anakupenda atafanya juhudi akutafute mujekuyajenge but look like wkt mpo kwenye mahusiano alikwisha anza mengine bila ww kujua
Nimekosea nishajibu email, ila nimejibu maneno mafupi, “Sorry sijua, Kila lakheri”
 
Am loosing it.

Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.

Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.

Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.

Am fu<king loosing it.
Woi, mpe miezi 8 ataanza kuomba faraja kwako, jifanye kama umekubali matokeo..

Kuna Meja flani wa jeshi alinichezea rafu kama hiyo...haha, siku hizi nachekea uani kama sio chooni🤣🤣🤣
 
Kweli tunatofautiana sana. HILI NALO MKALITAZAME.

Yaani mimi na Komwe langu hili eti nimekaa kabisa namlilia mtoto wa mtu, eti hata kula nashindwa jamani nalia hadi KWIKI.....khaaaa WE HUOGOPII!

Kwa jinsi Mungu alivyonibariki sitarajii kutoa chozi kwa ajili ya kichogo yoyote.

Anayetaka kukaa na mimi akae, asiyetaka akwende zake. Tena aondoke haraka kabla hajachelewa. HATA AWE NANI, SIANGALII SURA, WE HUOGOPI?

Cc: Lamomy Kapeace mshamba_hachekwi Extrovert
Kuna kitu unajivunia, hayo maneno si ya bure.

Nasema haya kwa sababu ninajua mapenzi yalivyo na hayana shujaa.

Kama unasema kwakujifurahisha tu na huna unachoringia, basi ipo siku utalizwa na mtu si wa hadhi yako.

Omba Mungu asikuue haraka ili ushuhudie ninayokwambia.
 
Back
Top Bottom