Mpina: 05/2021 Symbion ililipwa bilioni 350 bila kutozwa kodi


Magufuli hakugusa mwizi hata mmoja wa maana, alikua anadeal na vidagaa kwa kelele nyingi, lakini hakuna fisadi hata mmoja alimgusa. Kamkamata Singa na Rugemalira, lakini kawaacha wanasiasa wenzake ambao ndio walikuwa watoa maamuzi. Inshort alikuwa ni mpenda sifa za bei rahisi.
 
Alilipwa lini
Wakt mwingine simuamini mpina Yuko na kasazi fln HV azibitishe hilo
 
Tanzania ina watu wanyama sana....
 
Jana namuona Hamphrey Polepole akiangalia golf huko Malawi, kalambishwa asali katulia.
Saa nyingine sisi wananchi inatubidi tuwaunge mkono hawa watu vinginevyo watapewa asali kama Mbowe, nk watusaliti.

Kwanini tusiingie barabarani kuwaunga mkono watu wanjitoa kwa ajili ya nchi yetu?
 
Kuna chawa wanamsifu huyu mama kila siku sisi kila siku tunakatwa kodi kwa miamala mbali mbali , 300b without consideration of tax
 
Kumbe ndio maana vituo vya mafuta vya lake oil vimeota kama uyoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…