Mpina: 05/2021 Symbion ililipwa bilioni 350 bila kutozwa kodi

Mpina: 05/2021 Symbion ililipwa bilioni 350 bila kutozwa kodi

Tulisema, na tulilia kuhusu katiba.
Mkatuona sio wazalendo.

Leo Amekuwa bosi kwasbb ya katiba yetu mnabaki kulia lia . So what


Taifa hili tusipoacha Mambo ya Kufia vyama hakika tutaendelea kupoteana
 
Timing watu aliowaweka ndani zaidi ya miaka minne na akashindwa kudhibitisha wizi wao mahakamani! Aliogopa akichukua njia ya mahakama angekamata ambao wanajua uchafu wake. Hivyo akaamua kutumia njia za kihuni na vitisho.
Nina maana timing kwa wanasiasa wenzie wakubwa. Kwa bunge lilivyo ingekuwa ni rahisi labda kuondoa kinga ya kutoshitakiwa !! Nasema labda tu !!
 
Kama kweli alikuwa ameamua kupambana na wezi hakupaswa kuwa selective, bali alipaswa kukamata wote ikiwemo wanaccm wenzake waandamizi. Ndio maana leo yuko jehanamu uhuni unaendelea vilevile maana wanajua hata akija kiongozi mwingine toka ccm hatawagusa. Hapo ndio nakumbia yule alikuwa anasaka sifa za bei rahisi.
Labda alikuwa anasubiri hicho kipindi cha pili cha uongozi wake ndio aanze kuwashughulikia badala yake mambo yakaenda ndivyo sivyo !! Nasema labda !
 
Nina maana timing kwa wanasiasa wenzie wakubwa. Kwa bunge lilivyo ingekuwa ni rahisi labda kuondoa kinga ya kutoshitakiwa !! Nasema labda tu !!

Sheria haifanyi kazi retrospectively useme akitunga sheria leo itakamata wenye makosa wa nyuma. Ni hivi hakuwa na ubavu wa kugusa wanasiasa wenzake maana hata yeye hakuwa msafi zaidi ya kusaka sifa za kijinga.
 
Sheria haifanyi kazi retrospectively useme akitunga sheria leo itakamata wenye makosa wa nyuma. Ni hivi hakuwa na ubavu wa kugusa wanasiasa wenzake maana hata yeye hakuwa msafi zaidi ya kusaka sifa za kijinga.
Lolote linawezekana !!
 
Bahasha la khaki, Capuchino, funguo za gari na iphone ipo mezani!! Kweli maisha ya mjini ni raha !! Hapo linasukwa dili sio la kitoto !!
Nmeingia mjini kikaz zaidi
Jumatatu lazima nisepe...
Ni mwendo wa kuwapanga watu
Mpk kiereweke [emoji1]
Sijawahi kufeli mission
Ngj tuendele kupiga capuchino
Hku tunayajenga

Ova
20221014_095846.jpg
 
Mbunge Luhaga Mpina amehoji ni kwa nini kampuni ya Symbion ililipwa pesa zaidi ya bilioni Mia tatu bila kutozwa kodi ya Serikali?

Amehoji pia ni kwa nini mkataba wa symbion uliokuwa unakoma 2015 ulihuishwa September 2015 bila kufuatwa taratibu na ajabu Serikali kwa uharaka ilikubali kuilipa Symbion Mei 2021 na bila kutozwa kodi?

Amehoji inakuwaje C.A.G ameshasema mkataba ule uliingiwa kimakosa na kwa nini aliyeuingia kimakosa hawajibishwi na matokeo yake Symbion amelipwa pesa za Watanzania maskini pasipo kufuatwa utaratibu?
Mpina, 25% ya watanzania wapo kanda ya ziwa kulingana na sensa 2022,wakazi wa kanda ya ziwa wanakutuma ujaxe fomu 2025 kupitia ccm wako nawe kwa 100%
 
Magu ilikuwa mwezi wa 3 na watano wanalipana pesa bila kukata kodi...

Ishu ilikuwa Well planned kumuondoa ili wachote pesa.

Pesa zilichotwa miezi miwili baada ya kupita kifo cha hayati.
Ndio maana makamba aliwekwa pale sio kwa bahati mbaya
 
Jana namuona Hamphrey Polepole akiangalia golf huko Malawi, kalambishwa asali katulia.
Saa nyingine sisi wananchi inatubidi tuwaunge mkono hawa watu vinginevyo watapewa asali kama Mbowe, nk watusaliti.

Kwanini tusiingie barabarani kuwaunga mkono watu wanjitoa kwa ajili ya nchi yetu?
Mpina naye anataka alambishwe asali!! Baada ya Pole pole kulambishwa asali, hutamsikia sana akisema cha wahuni wala nini!!
 
Kama ni hivyo JPM anahusika JPM alikufa mwezi wa tatu katikati mchakato wa malipo aufantiki siku moja tafakari
Muwe mnasoma vizuri maelezo ,nyie ndo ile type unatoka kukisaidia vichakani uku majani uliyojichambia yamenata makalioni.
 
..Jpm ndiye aliyevunja mkataba na kusababisha serikali ishtakiwe na kuhukumiwa kulipa hayo mabilioni.

..Prof.Kabudi na AG Prof.Kilangi ndio waliomdanganya Magufuli na kupelekea kuvunjwa kwa mikataba kiholela.
Tulishitakiwa mahakama gani? Lini tulishindwa kesi na kuamuriwa kulipa hizo pesa? Mahakama gani iliamuru tulipe 350B? Tafadhali shea hata link ya habari hii na sisi tuone
 
Tulishitakiwa mahakama gani? Lini tulishindwa kesi na kuamuriwa kulipa hizo pesa? Mahakama gani iliamuru tulipe 350B? Tafadhali shea hata link ya habari hii na sisi tuone

..unataka utafuniwe kila kitu?
 
..Jpm ndiye aliyevunja mkataba na kusababisha serikali ishtakiwe na kuhukumiwa kulipa hayo mabilioni.

..Prof.Kabudi na AG Prof.Kilangi ndio waliomdanganya Magufuli na kupelekea kuvunjwa kwa mikataba kiholela.

Wewe ni mpumbavu sana

Samahani kabla ujaandika tafiti.

Hao walivunjiwa lini mkataba?
 
Back
Top Bottom