Mpina: 05/2021 Symbion ililipwa bilioni 350 bila kutozwa kodi

Mpina: 05/2021 Symbion ililipwa bilioni 350 bila kutozwa kodi

Naona mvaa kobazi una mtetea sana huyu bibi yako mpendwa katika imani.

Waone huruma wazazi wako wanaoliwa na umasikini basi! Uchawa wako kwa bibi hauwasaidii kitu
mm siyo chawa mkuu. japo ningekuwa chawa nisingekuwa kama wewe
ulikubali kujingishwa sasa umebaki na vijimatusi tu na kukimbilia kushambulia imani? jifunze kujibu hoja kwa kutafakari kwanza kabla hujabinua midomo
 
Kazi ya kamati za bunge kama ya fedha kazi yake nini? kwa wenzetu kama US hapo Waziri, CAG na wote waliohusika wangeshaitwa na kuhojiwa chini ya kiapo LIVE, lakini inaonekana bunge la wezi wa kura ni vigumu kufanya kazi yake zaidi ya kuwa rubber stamp, lile bunge ni useless kabisa na halijui nguvu zake
 
Nchi ina matatizo hii...! Hapana aisee!

Ni lini viongozi wetu wataumizwa na hali mbaya za watu wanaowaongoza

Wananchi wanakufa kisa wamekosa huduma bora hospitalini, Majii safi, njaa, ajali zinazosababishwa na miundombinu mibovu

Ni lini hawa viongozi wataanza kuthamini maisha ya wengine na kwamba pazia linalotuzinga Ni zile nafasi tu, lakini sote Ni binadamu na tuko sawa!!.

Ni Kwa nini tunapomkumbuka JPM kunakuwepo mashambulizi makali saana???

Ni lipi sasa kwenu mmefanya ili basi tumsahau mnayedhani hakufanya kitu?

Ndo kutuongezea mzigo wa kodi?

Ndo kutunyima maji na umeme?

Ndo kutuongezea malipo ya kuingiza umeme majumbani?

Aaaah! Semeni, ni lipi sasa?

Tulizoea kuona kila aliyehusishwa na wizi, alitumbuliwa na wengine kufikishwa mahakamani, Kwa sasa kinafanyika nini sasa.?
Kwani hiyo pesa imelipwa lini mkp unaanza kutuletea hadithi za JPM .Huoni kuwa JPM Anahusika Katika Ulipaji Wa Hiyo Pesa.Soma Mwezi Na Mwaka
 
Naona mvaa kobazi una mtetea sana huyu bibi yako mpendwa katika imani.

Waone huruma wazazi wako wanaoliwa na umasikini basi! Uchawa wako kwa bibi hauwasaidii kitu
Naunga mkono kumchana huyo mfia dini, Ila hii dharau uliyonayo kwa raisi haiwezi kukusaidia chochote. Hata umdharau vipi bado ni raisi, tulikataa hizi dharau kipindi cha chuma basi hata sasa hatupaswi kuacha hizi dharau ziendelee.

Acha dharau, na ujiheshimu usifikiri wote humu ni wavuta bange kama wewe
 
mm siyo chawa mkuu. japo ningekuwa chawa nisingekuwa kama wewe
ulikubali kujingishwa sasa umebaki na vijimatusi tu na kukimbilia kushambulia imani? jifunze kujibu hoja kwa kutafakari kwanza kabla hujabinua midomo
Ulitanguliza imani hivyo ni lazima ushambuliwe kiimani. Mimi nachowaomba mbadilike, haitokuja kutokea wote tukawa na Imani yenu japo mmekaririshwa kuwa kuna siku wote tutakuaa hivyo. Ni mwendawazimu tu ndio anaweza kuamini hivyo.

Haiwezekani ukiona tu mtu ambae sio wa Imani yako unaporomosha matusi, wa Imani yako unamsifia. Hii haikusaidii kitu, zaidi inaongeza ujinga ulionao.

Wafia dini mmekua watu wapumbavu sana, sijui kwa nn
 
Ulitanguliza imani hivyo ni lazima ushambuliwe kiimani. Mimi nachowaomba mbadilike, haitokuja kutokea wote tukawa na Imani yenu japo mmekaririshwa kuwa kuna siku wote tutakuaa hivyo. Ni mwendawazimu tu ndio anaweza kuamini hivyo.

Haiwezekani ukiona tu mtu ambae sio wa Imani yako unaporomosha matusi, wa Imani yako unamsifia. Hii haikusaidii kitu, zaidi inaongeza ujinga ulionao.

Wafia dini mmekua watu wapumbavu sana, sijui kwa nn
Mwanangu basi basi inatosha
Take it easy ......
Sisi wakristo ni watu wa kupotezea

Ova
 
Alafu tunamlaumu TANESCO wakati ni kama mwanariadha amefungwa matofari alafu tunategemea ashinde mashindano.....

Tatizo ni kutokuwa na Transparency madudu kama haya watu wangeona aibu kuyafanya...., We need more transparency na Sio sisi tulipe bali waliofanya / ingia kwenye hii mikataba ndio walipe...

By the way makubaliano ya huko China yakija gundulika kwamba hayafai nani atalipa ? Sisi au hao walioingia hayo makubaliano na Wabunge waliokaa kimya bila kuomba kuiangalia...

Ama kweli Tulichezewa, Tukachezewa na Tunaendelea Kuchezewa Sana....
Mwisho wa kuchezewa ni kutafunwa
 
Asie jua anacho kitafuta, hushia kushika Kila anacho kiona.
 
Magufuli hakugusa mwizi hata mmoja wa maana, alikua anadeal na vidagaa kwa kelele nyingi, lakini hakuna fisadi hata mmoja alimgusa. Kamkamata Singa na Rugemalira, lakini kawaacha wanasiasa wenzake ambao ndio walikuwa watoa maamuzi. Inshort alikuwa ni mpenda sifa za bei rahisi.
Na hapo ndipo alipoula wa chuya !! Lakini naamini alikuwa anawachukulia timing ila bahati haikuwa upande wake !!
 
Karibu capuchino mzee,nmeingia mujini
Ngoja niyajenge kdg hapa na wazee wa mjini wanipe 1,2,3 nizipate kabla sjarudi chakaaa [emoji1]

Ova
View attachment 2406666
Bahasha la khaki, Capuchino, funguo za gari na iphone ipo mezani!! Kweli maisha ya mjini ni raha !! Hapo linasukwa dili sio la kitoto !!
 
Bora huyo alijaribu hata kuwagusa kina Singa singa na hayo malipo hungeweza kuyasikia enzi zake lakini siyo hawa wapendwa wako

Kama kweli alikuwa ameamua kupambana na wezi hakupaswa kuwa selective, bali alipaswa kukamata wote ikiwemo wanaccm wenzake waandamizi. Ndio maana leo yuko jehanamu uhuni unaendelea vilevile maana wanajua hata akija kiongozi mwingine toka ccm hatawagusa. Hapo ndio nakumbia yule alikuwa anasaka sifa za bei rahisi.
 
Magu ilikuwa mwezi wa 3 na watano wanalipana pesa bila kukata kodi...

Ishu ilikuwa Well planned kumuondoa ili wachote pesa.

Pesa zilichotwa miezi miwili baada ya kupita kifo cha hayati.
 
Na hapo ndipo alipoula wa chuya !! Lakini naamini alikuwa anawachukulia timing ila bahati haikuwa upande wake !!

Timing watu aliowaweka ndani zaidi ya miaka minne na akashindwa kudhibitisha wizi wao mahakamani! Aliogopa akichukua njia ya mahakama angekamata ambao wanajua uchafu wake. Hivyo akaamua kutumia njia za kihuni na vitisho.
 
Back
Top Bottom