Dodoma leo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,336
- 1,658
First class economist! Daah.Zimeenda wap? CAG hapa nae atuambie...yaani kaulizwa maana ya TRAT na TRAB basi hata ufafanuzi wa maneno hyo bado kapata kigugumiz..hii nchi dah!
Umenena kweli mkuu, tutegemee nchi ipige hatua zaidi kweli?Hii ni aibu kubwa sana kwa Taifa, tuna waziri wa Fedha asie jua uchumi, yaani ni zero kabisa, hii nchi tuna shida gani? tuna bahati mbaya sana, waziri wa fedha hajui ana ongea nini, zero kabisa.
Yuda Iskariot ulipewa vipande 30 ukamuuza Yesu, Wewe na Nchemba ni damu moja kabisaMwigulu Nchemba unaitwa huku
Sanakazi za mchongo hizo!!! hazinaga interview.
Nini kimetokea?Pastor Kuna muujiza huku...
Ile trillion 360 haipo tenaNini kimetokea?
Trilioni 360 🙄🙄🙄😔😔😔
.........'Jengo la IPS building'. Kisarufi haijakaa sawa. Haina tofauti ya Trab na Trat. Au nasema uwongo ndugu yangu pasco Mayala?Kwa ufupi tu zipo hapo samora karibu na mnara wa askari inafuatana na jengo la IPS Building.
Kashaanza kudata huyu. Dhuluma siyo kitu poa Sana.Tanzania hatuna Waziri wa Fedha.
Yaya ya ya ya ya Trab na Trat.Rais wa mawe.
Sasa hayabyalihusianaje na trillion 360.Unapopishana na TRA khs Kodi halali unayotakiwa kulipa,sehemu ya kwanza kupinga hua Ni kwa COMMISSIONER OF TRA then mkishindwana,unaenda kwny hio BOARD, ikishindikana hapo unaenda kwny hio TRIBUNAL, then mkishindwana hapo tena Finally mtaenda kwny COURT OF APPEAL mkuu.