Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PointlessMbona hakukataa uteuzi alipokuwa Waziri?
😂😂😂😂😂Hilo nalo mkalitizame
Mkuu saa mbovu leo imesema kweli 🤣🤣🤣Akichangia bungeni leo mbunge machachari wa CCM anasema umefika wakati sasa viongozi kama mawaziri, wakurugenzi, makatibu wakuu,wakuu wa mikoa na wilaya wapatikane kwa kuomba nafasi hizo na kufanyiwa usahili.
Anasema mfumo wa sasa hauna uwazi kwani Rai hawezi kusoma CV za watu wote wanofaa kuteuliwa na kujua yupi ni sahihi pia anasema haijulikani hata ni wapi hao wateuiliwa wengine wanakotolewa na kuletwa kushika uongozi au kama hata waliomba hizo nafasi. Amemalizia kwa kusema mfumo wa vetting nao bado haugarantii kupata viongozi sahihi kwani imeelezwa kuna watu wasio raia wa Tanzania ambao wamepewa nafasi za uongozi.
Hujaelewa alichosema Mpina,Nani atasimamia uteuzi? Hivi ikiwa uteuzi utahitaji idhini kutoka bengeni, je, Mpina haoni kwamba siasa za upendeleo utashamiri? Mfano mwingine bunge liwe na wabunge wengi wa chama cha upinzani, je, haoni kwamba mfumo anaoupendekeza utachangia kwa nafasi kubakia wazi au kuwa na inefficiencies? Haoni kwamba Patron atashindwa kuwawajibisha kwa utendaji duni au wakikiuka sera? Au ndio itakuwa na maana vyama vyote vikubaliane sera za nchi? Kutakuwa na umuhimu gani wa kuwa na vyama vya upinzani?
So far, this is a well balanced and practical advice.
Watu wanasahau kwamba katiba ndiyo inayoongoza teuzi zote hizi. Katiba ikifuliwa na kueleza kama alivyopendekeza Mpina kila kitu kinawezekana.Well Said
KATIBA
🤣 🤣 🤣Kwa mara ya kwanza leo namuunga mkono Mpina
Kuna point japo umevaa miwani ya mbao ndiyo maana huoni. Huyu Luhagq Mpina wakati wa Magufuli ndiyo alikuwa mmoja wa watendaji wanaoaminika. Hakuwahi kumshauri Magufuli namna bora ya kuemdesha nchi ila sasa hivi anajifanya ndiye bingwaPointless
Tutaibiwa kuraWaletwe kwa wananchi tuwapigie kura
Ni bora kuliko wanavyoteuliwa kiuchawa chawa na hakuna wanachokifanya.!!Tutaibiwa kura
Hakuna kubadilika ni unafiki tu. Polepole aliwahi sema cheo cha DC kifutwe, cha ajabu alivyoteuliwa yeye hakujiuliza mara mbili kukubali!!Binadamu hawatakiwi kubadilika kama alivyofanya mtume Paulo?
Hahahahaha haki nimecheka eti kuongozwa na wahuniYale Yale SERIKALI ZA MAJIMBO NI MUHIMU mfano tukio la mkurugenzi kibaka huko mafia ,serikali za majimbo hatuwezi kuruhusiu wahuniiiiii waongoze wilaya.
Rais anaweza kuendela kuteua kwa katiba hii hii pamoja na usahili kufanyika. Inatungwa tu sheria ya bunge kusema wateuliwa watatoka katika kundi ambalo limefanyiwa usahili tayari.Watu wanasahau kwamba katiba ndiyo inayoongoza teuzi zote hizi. Katiba ikifuliwa na kueleza kama alivyopendekeza Mpina kila kitu kinawezekana.
Bila kubadili katiba rais ateuendelea kuteua tu.