Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nieleweshe Mkulu. Amesema nini ambacho sijaelewaHujaelewa alichosema Mpina,
Mbona hakukataa uteuzi alipokuwa Waziri?
Kabisa na tuwe na uwezo wa kuwatimua kwa under performanceWaletwe kwa wananchi tuwapigie kura
Kabisa hamna wanachokifanyaKabisa na tuwe na uwezo wa kuwatimua kwa under performance
Mfumo Mbovu unatuletea Viongozi aina ya Makonda na kina Sabaya.... Watu ambao walipaswa kuwa Jela wanakuwa Viongozi.Akichangia bungeni leo mbunge machachari wa CCM anasema umefika wakati sasa viongozi kama mawaziri, wakurugenzi, makatibu wakuu,wakuu wa mikoa na wilaya wapatikane kwa kuomba nafasi hizo na kufanyiwa usahili.
Anasema mfumo wa sasa hauna uwazi kwani Rai hawezi kusoma CV za watu wote wanofaa kuteuliwa na kujua yupi ni sahihi pia anasema haijulikani hata ni wapi hao wateuiliwa wengine wanakotolewa na kuletwa kushika uongozi au kama hata waliomba hizo nafasi. Amemalizia kwa kusema mfumo wa vetting nao bado haugarantii kupata viongozi sahihi kwani imeelezwa kuna watu wasio raia wa Tanzania ambao wamepewa nafasi za uongozi.
Akichangia bungeni leo mbunge machachari wa CCM anasema umefika wakati sasa viongozi kama mawaziri, wakurugenzi, makatibu wakuu,wakuu wa mikoa na wilaya wapatikane kwa kuomba nafasi hizo na kufanyiwa usahili.
Anasema mfumo wa sasa hauna uwazi kwani Rai hawezi kusoma CV za watu wote wanofaa kuteuliwa na kujua yupi ni sahihi pia anasema haijulikani hata ni wapi hao wateuiliwa wengine wanakotolewa na kuletwa kushika uongozi au kama hata waliomba hizo nafasi. Amemalizia kwa kusema mfumo wa vetting nao bado haugarantii kupata viongozi sahihi kwani imeelezwa kuna watu wasio raia wa Tanzania ambao wamepewa nafasi za uongozi.
Hii ni point nzuri sana. Wakuu wa, mkoa, wilaya, wakurugenz wengi ni watu wa video tu.Akichangia bungeni leo mbunge machachari wa CCM anasema umefika wakati sasa viongozi kama mawaziri, wakurugenzi, makatibu wakuu,wakuu wa mikoa na wilaya wapatikane kwa kuomba nafasi hizo na kufanyiwa usahili.
Anasema mfumo wa sasa hauna uwazi kwani Rai hawezi kusoma CV za watu wote wanofaa kuteuliwa na kujua yupi ni sahihi pia anasema haijulikani hata ni wapi hao wateuiliwa wengine wanakotolewa na kuletwa kushika uongozi au kama hata waliomba hizo nafasi. Amemalizia kwa kusema mfumo wa vetting nao bado haugarantii kupata viongozi sahihi kwani imeelezwa kuna watu wasio raia wa Tanzania ambao wamepewa nafasi za uongozi.
Hivyo vyeo vimewekwa kisiasa zaidi kuliko uwajibikaji wa kitaalamu na kuleta maendeleo kwa jamii.Wote hao kwa sasa ni makada wa CCM.Mpina anatafuta kusutwa kinafiki hadharani na chama chake.Subiri.Akichangia bungeni leo mbunge machachari wa CCM anasema umefika wakati sasa viongozi kama mawaziri, wakurugenzi, makatibu wakuu,wakuu wa mikoa na wilaya wapatikane kwa kuomba nafasi hizo na kufanyiwa usahili.
Anasema mfumo wa sasa hauna uwazi kwani Rai hawezi kusoma CV za watu wote wanofaa kuteuliwa na kujua yupi ni sahihi pia anasema haijulikani hata ni wapi hao wateuiliwa wengine wanakotolewa na kuletwa kushika uongozi au kama hata waliomba hizo nafasi. Amemalizia kwa kusema mfumo wa vetting nao bado haugarantii kupata viongozi sahihi kwani imeelezwa kuna watu wasio raia wa Tanzania ambao wamepewa nafasi za uongozi.
Hebu andika vizuri wewe mtu!Inch hii imeferi kila sehemu
Kabisa wakifanya hivyo sikosi kuwa hata waziri!Akichangia bungeni leo mbunge machachari wa CCM anasema umefika wakati sasa viongozi kama mawaziri, wakurugenzi, makatibu wakuu,wakuu wa mikoa na wilaya wapatikane kwa kuomba nafasi hizo na kufanyiwa usahili.
Anasema mfumo wa sasa hauna uwazi kwani Rai hawezi kusoma CV za watu wote wanofaa kuteuliwa na kujua yupi ni sahihi pia anasema haijulikani hata ni wapi hao wateuiliwa wengine wanakotolewa na kuletwa kushika uongozi au kama hata waliomba hizo nafasi. Amemalizia kwa kusema mfumo wa vetting nao bado haugarantii kupata viongozi sahihi kwani imeelezwa kuna watu wasio raia wa Tanzania ambao wamepewa nafasi za uongozi.
Akichangia bungeni leo mbunge machachari wa CCM anasema umefika wakati sasa viongozi kama mawaziri, wakurugenzi, makatibu wakuu,wakuu wa mikoa na wilaya wapatikane kwa kuomba nafasi hizo na kufanyiwa usahili.
Anasema mfumo wa sasa hauna uwazi kwani Rai hawezi kusoma CV za watu wote wanofaa kuteuliwa na kujua yupi ni sahihi pia anasema haijulikani hata ni wapi hao wateuiliwa wengine wanakotolewa na kuletwa kushika uongozi au kama hata waliomba hizo nafasi. Amemalizia kwa kusema mfumo wa vetting nao bado haugarantii kupata viongozi sahihi kwani imeelezwa kuna watu wasio raia wa Tanzania ambao wamepewa nafasi za uongozi.