Mpina ataka viongozi wa wizara, mashirika, mikoa na wilaya kupatikana kwa usahili!

Mpina ataka viongozi wa wizara, mashirika, mikoa na wilaya kupatikana kwa usahili!

Akichangia bungeni leo mbunge machachari wa CCM anasema umefika wakati sasa viongozi kama mawaziri, wakurugenzi, makatibu wakuu,wakuu wa mikoa na wilaya wapatikane kwa kuomba nafasi hizo na kufanyiwa usahili.

Anasema mfumo wa sasa hauna uwazi kwani Rai hawezi kusoma CV za watu wote wanofaa kuteuliwa na kujua yupi ni sahihi pia anasema haijulikani hata ni wapi hao wateuiliwa wengine wanakotolewa na kuletwa kushika uongozi au kama hata waliomba hizo nafasi. Amemalizia kwa kusema mfumo wa vetting nao bado haugarantii kupata viongozi sahihi kwani imeelezwa kuna watu wasio raia wa Tanzania ambao wamepewa nafasi za uongozi.
Mfumo Mbovu unatuletea Viongozi aina ya Makonda na kina Sabaya.... Watu ambao walipaswa kuwa Jela wanakuwa Viongozi.
 
Akichangia bungeni leo mbunge machachari wa CCM anasema umefika wakati sasa viongozi kama mawaziri, wakurugenzi, makatibu wakuu,wakuu wa mikoa na wilaya wapatikane kwa kuomba nafasi hizo na kufanyiwa usahili.

Anasema mfumo wa sasa hauna uwazi kwani Rai hawezi kusoma CV za watu wote wanofaa kuteuliwa na kujua yupi ni sahihi pia anasema haijulikani hata ni wapi hao wateuiliwa wengine wanakotolewa na kuletwa kushika uongozi au kama hata waliomba hizo nafasi. Amemalizia kwa kusema mfumo wa vetting nao bado haugarantii kupata viongozi sahihi kwani imeelezwa kuna watu wasio raia wa Tanzania ambao wamepewa nafasi za uongozi.


Kama tuko serious na utendaji utakaoleta tija nchi hii ni kufanyia kazi haraka joja hiyo.
Tena tumechelewa mno.
Wenzetu jirani Kenya wako mbali sana.
Hakuna mambo ya teuzi teuzi za kujuana. Ziko biased na ndio maana kila Mwaka taarifa ya CAG ni maduduu kwenye matumizi ya ujma.

Mwaribauni huu itasaidia kudhibiti na kupunguza kwa kiasi kikubwa sana.
Vetting zije kufanyika vizuri
 
Akichangia bungeni leo mbunge machachari wa CCM anasema umefika wakati sasa viongozi kama mawaziri, wakurugenzi, makatibu wakuu,wakuu wa mikoa na wilaya wapatikane kwa kuomba nafasi hizo na kufanyiwa usahili.

Anasema mfumo wa sasa hauna uwazi kwani Rai hawezi kusoma CV za watu wote wanofaa kuteuliwa na kujua yupi ni sahihi pia anasema haijulikani hata ni wapi hao wateuiliwa wengine wanakotolewa na kuletwa kushika uongozi au kama hata waliomba hizo nafasi. Amemalizia kwa kusema mfumo wa vetting nao bado haugarantii kupata viongozi sahihi kwani imeelezwa kuna watu wasio raia wa Tanzania ambao wamepewa nafasi za uongozi.
Hii ni point nzuri sana. Wakuu wa, mkoa, wilaya, wakurugenz wengi ni watu wa video tu.
 
Binafsi namkubali sana Mpina, Kuna wanaosema eti anaongea sana kwa sababu alikosa uwaziri kwenye serikali ya mama kizmkazi. Lakini huyu jamaa yuko vizuri sana huwa akiisimamia hoja huwa atoki kwenye mstari.
 
Akichangia bungeni leo mbunge machachari wa CCM anasema umefika wakati sasa viongozi kama mawaziri, wakurugenzi, makatibu wakuu,wakuu wa mikoa na wilaya wapatikane kwa kuomba nafasi hizo na kufanyiwa usahili.

Anasema mfumo wa sasa hauna uwazi kwani Rai hawezi kusoma CV za watu wote wanofaa kuteuliwa na kujua yupi ni sahihi pia anasema haijulikani hata ni wapi hao wateuiliwa wengine wanakotolewa na kuletwa kushika uongozi au kama hata waliomba hizo nafasi. Amemalizia kwa kusema mfumo wa vetting nao bado haugarantii kupata viongozi sahihi kwani imeelezwa kuna watu wasio raia wa Tanzania ambao wamepewa nafasi za uongozi.
Hivyo vyeo vimewekwa kisiasa zaidi kuliko uwajibikaji wa kitaalamu na kuleta maendeleo kwa jamii.Wote hao kwa sasa ni makada wa CCM.Mpina anatafuta kusutwa kinafiki hadharani na chama chake.Subiri.
 
Akichangia bungeni leo mbunge machachari wa CCM anasema umefika wakati sasa viongozi kama mawaziri, wakurugenzi, makatibu wakuu,wakuu wa mikoa na wilaya wapatikane kwa kuomba nafasi hizo na kufanyiwa usahili.

Anasema mfumo wa sasa hauna uwazi kwani Rai hawezi kusoma CV za watu wote wanofaa kuteuliwa na kujua yupi ni sahihi pia anasema haijulikani hata ni wapi hao wateuiliwa wengine wanakotolewa na kuletwa kushika uongozi au kama hata waliomba hizo nafasi. Amemalizia kwa kusema mfumo wa vetting nao bado haugarantii kupata viongozi sahihi kwani imeelezwa kuna watu wasio raia wa Tanzania ambao wamepewa nafasi za uongozi.
Kabisa wakifanya hivyo sikosi kuwa hata waziri!
 
Akichangia bungeni leo mbunge machachari wa CCM anasema umefika wakati sasa viongozi kama mawaziri, wakurugenzi, makatibu wakuu,wakuu wa mikoa na wilaya wapatikane kwa kuomba nafasi hizo na kufanyiwa usahili.

Anasema mfumo wa sasa hauna uwazi kwani Rai hawezi kusoma CV za watu wote wanofaa kuteuliwa na kujua yupi ni sahihi pia anasema haijulikani hata ni wapi hao wateuiliwa wengine wanakotolewa na kuletwa kushika uongozi au kama hata waliomba hizo nafasi. Amemalizia kwa kusema mfumo wa vetting nao bado haugarantii kupata viongozi sahihi kwani imeelezwa kuna watu wasio raia wa Tanzania ambao wamepewa nafasi za uongozi.


Iwapo tutataka Kuwa seriously hivyo ndipo ipasavyo.
Matharani jirani Kenya hapo hata nafasi za Walii wa taasisi zinatangazwa kwa umma kwa uwazi na kufanyika usaili wa wazi.

IGP , Judge Mkuu n.k zote ni hivyo hivyo .

Huenda ni kweli imebaki bongo tu ambako Viongozi wanapatikana kwa uteuzi wakujuana 🤦‍♀️🤦‍♀️🙆‍♂️

Ikibidi Mwenyezi Mungu aingilie kati hali hii.
 
Back
Top Bottom