Ukweli ni ukweli haijalishi umeanza kusemwa lini. Mkuu kwani ukiwa mtenda dhambi ujanani huruhusiwi kuanza kutenda mema uzeeni?hayo anayoyasema kimsingi yanaweza kuwa ya kweli sawa......lakini mbona kipindi cha msukuma mwenzie alikuwa kimya?
Wala hatutaki unyamaze, endelea kuropoka tu kwani ni haki yako kikatiba na ndiyo Tanzania yetu tuliyoizoea."....tatizo jamaa wanadhani mimi nitababaishwa na mbinu yao chafu ya kutumia chombo cha habari kunitweza hahahaha!"
"....brother, kwa akili yako eneo lile lingekuwa na tabu mwamba ( JPM) angeniacha salama?!"
"....yule kijana ( Mwandishi wa TBC )aliitwa Dar es Salaam usiku na alifuatwa na V8 akapangwa cha kwenda kureport including wale Viongozi wa kijiji walitumiwa fungi la kutosha ili pamoja na wao wawatafute wakina mama wenye shombo pale kijiji kile wakatengeneza sinema nzuri ya kuropoka!"
"...acha wapige kelele na hata wakitaka hilo eneo acha wachukue muhimu watambue sitonyamaza abadani!"
Mpina.
Sasa hivi hata ukimtukania mama yake atakwambia asante.Kwani cyprian musiba yeye anasemaje!!?
Umeua sana.Awe ana kinyongo au hana ili mradi anayosema akiwa na kinyongo yawe ya kweli ndilo la msingi
Yes, mkuu yani mtanzania anakataa ukweli kulingana umesemwa na nani hata kama anajua kuwa ni ukweli.Umeaua sna.
Umasikini mkubwa wa Watanzania ni kuukataa ukweli ulio wazi
State yako ndio mambo inayoweza lakini kwenye wizi(CAG report) kimyaaa....very stupid indeed.Huu ni upuuzi Kama kweli kasema haya basi Mpina ni mjinga.
State ikitaka kukushughulikia haitahitaji yote hayo. Ni chap Kwa haraka unabaki masikin
Makamba, Bashe, Nape, Mwigulu, Ummy ni watu hatari snHili la shamba la Mpina ukiangalia waongeaji unajua kabisa kwamba ni movie imepangwa. Na hapa jf kuna wapambe wa kujibu mapigo ili jamaa aache kuwachachafya bungeni.
Hii nchi sijui ni sababu gani inayopelekea watu ambao wamejitolea kwa dhati kukemea na kufichua vitendo vya kifisadi, na pia kukemea dhuluma wanayofanyiwa wananchi huwa wanapigwa sana vita. Ni lazima sote tutambue kuwa kama Mungu wetu angalituhesabia makosa tuyafanyayo kila iitwapo leo hakika hakuna hata mtu mmoja miongoni mwetu ambaye angestahili."....tatizo jamaa wanadhani mimi nitababaishwa na mbinu yao chafu ya kutumia chombo cha habari kunitweza hahahaha!"
"....brother, kwa akili yako eneo lile lingekuwa na tabu mwamba ( JPM) angeniacha salama?!"
"....yule kijana ( Mwandishi wa TBC )aliitwa Dar es Salaam usiku na alifuatwa na V8 akapangwa cha kwenda kureport including wale Viongozi wa kijiji walitumiwa fungi la kutosha ili pamoja na wao wawatafute wakina mama wenye shombo pale kijiji kile wakatengeneza sinema nzuri ya kuropoka!"
"...acha wapige kelele na hata wakitaka hilo eneo acha wachukue muhimu watambue sitonyamaza abadani!"
Mpina.
Mimi ukweli hata ukisemwa na adui yangu yule mkubwa huwa naupigia saluteYes, mkuu yani mtanzania anakataa ukweli kulingana umesemwa na nani hata kama anajua kuwa ni ukweli.
hana impact yoyote yule nyau tu
Mwenye makosa ni huyo mhitimu ambaye umri Unakwenda yeye amebaki amebung'aa tu akisubiri ajira yenye malipo kiduchumpina punguza kinyongo......sidhani kama una uchungu na maumivu kufikia aliyonayo muhitimu wa kozi ya ualimu mwenye shahada aliemaliza chuo toka mwaka 2015 na mpaka leo hajapata ajira na umri unakwenda bila ramani yoyote
Hizo sio kazi za State, ni vichawa vya kujipendekeza kwa Dola. Ndio hao kipindi cha JPM mlisema wanatumwa nae.Huu ni upuuzi Kama kweli kasema haya basi Mpina ni mjinga.
State ikitaka kukushughulikia haitahitaji yote hayo. Ni chap Kwa haraka unabaki masikin
Kupima samaki aliyetayari kuliwa kwa ruler na mikono michafu!attention uliyoipata kipindi cha msukuma mwenzio magufuri inatosha, ridhika nayo kaka......
Alikuwa wapi kukemea toka kipindi kile cha ukiukwaji mkubwa wa haki kipindi cha jiwe.Hii nchi sijui ni sababu gani inayopelekea watu ambao wamejitolea kwa dhati kukemea na kufichua vitendo vya kifisadi, na pia kukemea dhuluma wanayofanyiwa wananchi huwa wanapigwa sana vita. Ni lazima sote tutambue kuwa kama Mungu wetu angalituhesabia makosa tuyafanyayo kila iitwapo leo hakika hakuna hata mtu mmoja miongoni mwetu ambaye angestahili.
Ni vyema tuwaunge mkono wale wote wanaopaza sauti zao na kukemea bila woga ubadhirifu wa mali za umma. Kuwa na watu wasiokuwa na uthubutu wa kuweza kuhoji, hata pale madudu yanapifanyika, basi hapo ni sawa na mtu kupata hasara na kufilisika moja kwa moja.