Mpina kuwapeleka Mahakamani Waziri Bashe na Bodi ya Sukari kwa kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha Sheria

Mpina kuwapeleka Mahakamani Waziri Bashe na Bodi ya Sukari kwa kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha Sheria

Luhuga Mpina ameyasema hayo katika Mkutano wake na Waandishi wa Habari uliofanyika jana tar 29 kuelekea 30, ikiwa ni mara ya kwanza kuzungumza baada ya kupewa adhabu ya kutohudhuria vikao 15 vya bunge.

Kusoma taarifa hiyo zaidi ingia kwenye link hii: Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15

Akihitimisha taarifa yake Mpina alieza maadhimio yake kama ifuatavyo;

- Kupeleka malalamiko yake ya kuondolewa bungeni kwa uonevu na kutokutendewa haki na Spika wa Bunge Tulia Ackson kwenye vyombo vya sheria ili vikapime na kutoa haki kwa mujibu wa katiba ya Tanzania na sheria za nchi.

- Kumpeleka Mahakamani Waziri wa Kilimo Ndg. Hussein Bashe na Bodi ya Sukari chini ya ibara ya 26 na 27 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kitendo cha kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha sheria na kulisababishia taifa hili hasara kubwa.

- Kuyafikisha Mahakamani makampuni yote yaliyojihusisha na ungizaji wa sukari nchini kinyume cha sheria.


===

Pia soma:

Bahati mbaya mahakama zetu zimejaa na hawa wa Samia na mahakimu na majaji walambishwa asali
 
Luhuga Mpina ameyasema hayo katika Mkutano wake na Waandishi wa Habari uliofanyika jana tar 29 kuelekea 30, ikiwa ni mara ya kwanza kuzungumza baada ya kupewa adhabu ya kutohudhuria vikao 15 vya bunge.

Kusoma taarifa hiyo zaidi ingia kwenye link hii: Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15

Akihitimisha taarifa yake Mpina alieza maadhimio yake kama ifuatavyo;

- Kupeleka malalamiko yake ya kuondolewa bungeni kwa uonevu na kutokutendewa haki na Spika wa Bunge Tulia Ackson kwenye vyombo vya sheria ili vikapime na kutoa haki kwa mujibu wa katiba ya Tanzania na sheria za nchi.

- Kumpeleka Mahakamani Waziri wa Kilimo Ndg. Hussein Bashe na Bodi ya Sukari chini ya ibara ya 26 na 27 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kitendo cha kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha sheria na kulisababishia taifa hili hasara kubwa.

- Kuyafikisha Mahakamani makampuni yote yaliyojihusisha na ungizaji wa sukari nchini kinyume cha sheria.


===

Pia soma:

Pigani haki yako wengi wanajua kamati za bunge zinaendeshwa na spika!
 
mpotoshaji na mdanyanyaji anaamua kujaribu kwenda kuidanganya mahakama? anyway hii itasaidia kumaliza jeuri, hasira na kiburi yake mwenyewe kabisaa 🐒
Kama ambavyo ID yako inajitanabaisha.

Weewe ni Kilaza, Uwezo wako wa Ubongo kuchakata mambo ni kiduchu sana.


Na ínawezekana kabisa kabisa, wee ni mjinga na mzembe na mviviv, watu wa aina yako Huwa mnakawaida ya kuonea wivu wale ambao tunaonekana tuko SMART.




Jikite kwenye Hoja za Mpina, kama anataka Vifungu vya Sheria na kanuni , nawee ingia kwenye Vitabu, soma, Kisha njooo umpinge.


Sasa Mpina anaongea Kwa Hoja na Kwa vitabu, weee ni blaaa blaa blaaa.


Ilo Bichwa hujapewa kuvukia barabara.
 
nimnyamaizie mpotoshaji, mim? thubutu... :pedroP:

kwamba mpotoshaji alitaka maoni yake na waliyomtuma yazingatiwe kwenye hali ya dharura walio kwenye mfungo mtukufu watumie chumvi right?:pedroP:

kama kampuni alizopendelea zipewe tenda ya sukari ili apate 10% hazikupata fursa hiyo hana haja ya kua na hasira namna ile:pedroP:
Ona ulivyo jinga usokua chochote kukuhusu Katiba, Sheria na Kanuni.



Yaan Kampuni alizopendelea MPINA?? .


Hello GREAT THINKERS wa JF, mmeliona hili lijinga ??.


Halijui hata kuhusu SHERIA YA MANUNUZI YA SUKARI inahitaji Nani na nani wapewe kipaumbele katika uagizaji wa Sukari pale inapohitajika😂😂😂😂.



Lijinga wewe 😂😂😂
 
Luhuga Mpina ameyasema hayo katika Mkutano wake na Waandishi wa Habari uliofanyika jana tar 29 kuelekea 30, ikiwa ni mara ya kwanza kuzungumza baada ya kupewa adhabu ya kutohudhuria vikao 15 vya bunge.

Kusoma taarifa hiyo zaidi ingia kwenye link hii: Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15

Akihitimisha taarifa yake Mpina alieza maadhimio yake kama ifuatavyo;

- Kupeleka malalamiko yake ya kuondolewa bungeni kwa uonevu na kutokutendewa haki na Spika wa Bunge Tulia Ackson kwenye vyombo vya sheria ili vikapime na kutoa haki kwa mujibu wa katiba ya Tanzania na sheria za nchi.

- Kumpeleka Mahakamani Waziri wa Kilimo Ndg. Hussein Bashe na Bodi ya Sukari chini ya ibara ya 26 na 27 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kitendo cha kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha sheria na kulisababishia taifa hili hasara kubwa.

- Kuyafikisha Mahakamani makampuni yote yaliyojihusisha na ungizaji wa sukari nchini kinyume cha sheria.


===

Pia soma:

Hii ndio sahihi iliyobaki ikiwa kama bunge linashindwa kutimiza wajibu wake. Speaker anakua chawa wa utawala badala ya kusimama kama mwenyekiti wa mamlaka inawakilisha wananchi. Ngoja tuone tafsiri ya mahakama. Ni matumaini mahakama nayo haitaepa jukumu lake.
 
Serikali imechemsha kwa kutaka kuzima moto kwa petroli sasa hata ambao hawakujua nini kiliendelea sasa hivi watajua....

Yaani tunaibiwa alafu kodi zetu zinatumika kutetea huo wizi..., nadhani viongozi wa Awamu za hivi karibuni wamejisahau sana na wanajiona Miungu watu
 
Ona ulivyo jinga usokua chochote kukuhusu Katiba, Sheria na Kanuni.



Yaan Kampuni alizopendelea MPINA?? .


Hello GREAT THINKERS wa JF, mmeliona hili lijinga ??.


Halijui hata kuhusu SHERIA YA MANUNUZI YA SUKARI inahitaji Nani na nani wapewe kipaumbele katika uagizaji wa Sukari pale inapohitajika😂😂😂😂.



Lijinga wewe 😂😂😂
mpotoshaji na muongo alifanya lobbying washakaji zake wapewe hiyo kazi akapigwa chini hasira zikampanda :pedroP:

kwamba nawe ni miongoni mwa great thinkers, dah, kweli dunia ni duara sio mviringo:pedroP:
 
sasa gentleman,
mim naropoka vipi hali ya kua unakiri mwenyewe kwamba huyo muungwana kakosea?

alikosea kwa makusudi gani basi, kama sio alilenga na kukusudia kupotosha umma na bunge kwa uongo na uzushi wa wazi kabisa, kwamba katika hali ya dharura serikali ilifanya makosa kuchukua hatua za dharura kunusuru nchi isiingie natatizoni kutokana na hali ya upungufu wa sukari kipindi cha mfungo...

unafahamu sheria inasemaje katika hali ya dharura?

mindset yako imeathirika na kufuata mkumbo tu lakini angalau uanafahamu makosa yapo wapi kwa kiasi, halafu unatetea kabisa ati jombaa anaenda mahakamani halafu eti atoboe, ni kichekesho :pedroP:


You are so stupid on top of that una kiherehere, mtu wa kuchonganisha watu wewe na mmbea sana, jambo hulisemi kama lilivyo, unazidisha kuliko uhalisia, i wrote kosa la Mpina, ni kuongea na waandishi wa habari na kuwapa taarifa ya ripoti kwa umma, wakati asingetakiwa kwani ripoti alishampa Spika, wewe unaandika tofauti eti kapotosha bunge na serikali, wakati hilo sio kosa lake..!! It seems wewe mpuuzi na umelelewa kipuuzi puuzi, so stupid
 
Luhuga Mpina ameyasema hayo katika Mkutano wake na Waandishi wa Habari uliofanyika jana tar 29 kuelekea 30, ikiwa ni mara ya kwanza kuzungumza baada ya kupewa adhabu ya kutohudhuria vikao 15 vya bunge.

Kusoma taarifa hiyo zaidi ingia kwenye link hii: Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15

Akihitimisha taarifa yake Mpina alieza maadhimio yake kama ifuatavyo;

- Kupeleka malalamiko yake ya kuondolewa bungeni kwa uonevu na kutokutendewa haki na Spika wa Bunge Tulia Ackson kwenye vyombo vya sheria ili vikapime na kutoa haki kwa mujibu wa katiba ya Tanzania na sheria za nchi.

- Kumpeleka Mahakamani Waziri wa Kilimo Ndg. Hussein Bashe na Bodi ya Sukari chini ya ibara ya 26 na 27 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kitendo cha kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha sheria na kulisababishia taifa hili hasara kubwa.

- Kuyafikisha Mahakamani makampuni yote yaliyojihusisha na ungizaji wa sukari nchini kinyume cha sheria.


===

Pia soma:

Japo yeye mwenyewe ni wale wale lakini Mpina ni Mwamba
 
Back
Top Bottom