bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
Umemuelewa lakini mpina?
Hakatai uwekezaji…anauliza ni wa muda gani?
nimemuelewa sana na mimi hoja yangu iko kwa wachangiaji humu na hizo negativity zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemuelewa lakini mpina?
Hakatai uwekezaji…anauliza ni wa muda gani?
Kwani akina Karamagi ndio walikuwa wanaendesha bandari acha upotoshaji mkuu, kupewa bandari na kuendesha konteina ni kitu tofautiMpina kalipwa na Karamagi...
Ilikuja taarifa hapa Karamagi kawapanga wabunge machachari.
M
Karamagi alikuwa mwana hisa Ticts ambao wameondolewa..dili wamepewa Wengine
Mkataba wao ni kama wa kwetu?Zipo bandari Marekani zinaendeshwa na Dubai ports...je wamarekani wamefilisika?
Mkuu ubaya si DP World, ubaya ni sisi kushindwa kuendesha bandari zetu kwa ufanisi,licha ya serikali kuwekeza matrilion.Zipo bandari Marekani zinaendeshwa na Dubai ports...je wamarekani wamefilisika?
Sawa sisterNiite baba yakowemjinga acha kubet unasikia webimdogo danga wewe siomaisha hayo mwambie mumewako mpina alikusanya kiasi gani navifaa vyetu wavuvi amepeleka we danga lampina
Sawa sisterNiite baba yakowemjinga acha kubet unasikia webimdogo danga wewe siomaisha hayo mwambie mumewako mpina alikusanya kiasi gani navifaa vyetu wavuvi amepeleka we danga lampina
Shida sio dp world bali kinachopingwa na wengi ni aina ya mkataba ambao serikali imeingia na dp worldMkuu ubaya si DP World, ubaya ni sisi kushindwa kuendesha bandari zetu kwa ufanisi,licha ya serikali kuwekeza matrilion.
Dp World wanayo exposure kubwa which is an advantage.
Lakini wale waliotumia huko nyuma udhaifu wa TPA kujinufaisha watafute nchi nyingine.
Unahoja my wifeSawa sister
Waza ngono huku watu wanapiga pesa mjinga weweUnahoja my wife
Waza ngono huku watu wanapiga pesa mjinga weweUnahoja my wife
Kenya na TZ wapi kuna katiba nzuri?Hoja yake ndio muhimu kuijadili
Kujifananisha na Marekani si sawa hata kidogo, mifumo yao ya kuwajibishana kwa atakaye kwenda kinyume na maadili imepangika vizuri, hapa kwetu mifumo mibovu sana
Tupate katiba nzuri ndio tuanze hiyo michezo, iwe rahisi kuwabana wakora
Mjinga mama yako kuzaa mtoto usiojali mali zawengine nimesema bayana mpina alituonea wavuvi ziwa Tanganyika nakachukua pesa namali zetu aseme alikusanya kiasi gani namali zetu kazipeleka wapi kama ameuza aseme mbwa wewe useless k weweWaza ngono huku watu wanapiga pesa mjinga wewe
Dada matusi yote ya nini?Mjinga mama yako kuzaa mtoto usiojali mali zawengine nimesema bayana mpina alituonea wavuvi ziwa Tanganyika nakachukua pesa namali zetu aseme alikusanya kiasi gani namali zetu kazipeleka wapi kama ameuza aseme mbwa wewe useless k wewe
Situkani bila kutukanwa Mimi nimtu huruDada matusi yote ya nini?
Mpikie mumeo ale alaleSitukani bila kutukanwa Mimi nimtu huru
Zipo bandari Marekani zinaendeshwa na Dubai ports...je wamarekani wamefilisika?
Zipo bandari Marekani zinaendeshwa na Dubai ports...je wamarekani wamefilisika?