Unabinafsishaje bandsri mkuu si unaweza kuingiziwa container la kuja kupindua nchi .je utamlaum Nani
wabongo bana, na mawazo ya miaka ya 60 😂 😂 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unabinafsishaje bandsri mkuu si unaweza kuingiziwa container la kuja kupindua nchi .je utamlaum Nani
Ticks ilikuwa ya KaramagiKwani Ticts haikuwa ya wageni?
Nongwa ni kukaribisha wageni wengine?
3) Misitu na wanyama, Mipaka, Bahari, Maziwa na MitoHoja anayo
Serikali maeneo nyeti ya nchi kwenye biashara iendeshe yenyewe (state capitalism )
1)madini (Mali asili)
2) bandari
Ongezea,nawewe
Huyu mpina nimwehu kweli nimeamini nikichaa mlivyokuwa mnavuruga wavuvi nakuiba malizawatu hamkujuwa kuwa mnavuruga uchumi walipakodi mmewakata miguu namikono sasa serekali watapata wapi pesa?madhara ndiohayo sasa angalia ulipojikwaa sioulipo angukia .pesa ulizo kusanya zawavuvi nikiasi gani mpina? Namalizao zipowapi ulizokwapua we we nakichaa mwenzako? Hakuna mtu wahovyo kama mpinaHuku watakodishiwa makada
Hatuwezi kujilinganisha na Marekani ikiwa katiba yetu inazuia watawala kushitakiwa mahakamani.Zipo bandari Marekani zinaendeshwa na Dubai ports...je wamarekani wamefilisika?
Dada angu toka umekuwa mjamzito umekuwa na maneno ya shombo snHuyu mpina nimwehu kweli nimeamini nikichaa mlivyokuwa mnavuruga wavuvi nakuiba malizawatu hamkujuwa kuwa mnavuruga uchumi walipakodi mmewakata miguu namikono sasa serekali watapata wapi pesa?madhara ndiohayo sasa angalia ulipojikwaa sioulipo angukia .pesa ulizo kusanya zawavuvi nikiasi gani mpina? Namalizao zipowapi ulizokwapua we we nakichaa mwenzako? Hakuna mtu wahovyo kama mpina
Niite baba yakowemjinga acha kubet unasikia webimdogo danga wewe siomaisha hayo mwambie mumewako mpina alikusanya kiasi gani navifaa vyetu wavuvi amepeleka we danga lampinaDada angu toka umekuwa mjamzito umekuwa na maneno ya shombo sn
Kaangalie mkataba huo wa marekani kama upo sawa nahuu wa samiaZipo bandari Marekani zinaendeshwa na Dubai ports...je wamarekani wamefilisika?
Unajilinganisha na Wazungu? Hivi Marekani ni taifa la kujilinga isha naloZipo bandari Marekani zinaendeshwa na Dubai ports...je wamarekani wamefilisika?
Umemuelewa lakini mpina?negativity yetu inatusumbua, kila kitu lazima tupinge tu.
Haa waja tu kura ni za bureLeo nimesikia mama mmoja mpaka mkorogo
akisisitiza kuwa CCM
hili la Bandari walibebe wakaombee kura kwa wananchi wao!
Wamarekani wanapata gesi, mafuta, soko la silaha na ukibaraka mashariki ya kati kutoka kwa Dubai.Zipo bandari Marekani zinaendeshwa na Dubai ports...je wamarekani wamefilisika?
Utafungwa bure weweKalipwa sh ngapi
Shida ni masharti ya mkatana huu kakaKwani Ticts haikuwa ya wageni?
Nongwa ni kukaribisha wageni wengine?
Huu ni ukweli. Atakayepinga atakuwa haelewi vizuri.Serikali wakanushe kama jambo hili halina ukweli,
Kufilisika kwa nchi huchagizwa na mambo makuu mawili
#Serikali kujiruhusu iwe ya Kifisadi
#Serikali kuruhusu kufanya kazi na watu wajinga wasio na uwezo, watu wajinga kuwekwa kwenye wizara nyeti zinazochochea uchumi kama kina J & N na Mw