Mpina: Nchi yetu imefilisika hadi inapangisha Bandari? Tusikubali hili

Mpina: Nchi yetu imefilisika hadi inapangisha Bandari? Tusikubali hili

Hiyo sheria aliitunga JPM na ndio mlikuwa mnachekelea media kuzima sauti za kina Lissu na Maalim kwenye mikutano.

Yaani ni hivi, habari ikiwa ya kichochezi au upotoshaji au misinformation basi chombo kinachosambaza kinawekwa hatiani pia.

Sasa kwa kuwa kipindi kile sukuma gang ndio mlikua mmeshikilia buyu la asali mkaona kama mnawakomoa kina Maalim na Lissu. Sasa Leo sheria Ile ile inatumika kwenu ndio mnaanza kulia Lia.

Polepole kipindi chake kilifungiwa kwa sheria Ile ile ya maudhui ya habari.... So tulieni na muonje matunda ya chuki zenu.

Hahahahahahaaa!! Na huu ndio ukweli
 
CCM mnacheza ngoma ya kizamani!

CCM na makundi yenu mnaelekea kujivisha Sanda mkiwa hai!

Endeleeni kushindana kuvaa mashungi tu!

Mtakapokuja yatoa, itakuwa ni Too Late!

Dubai itaondoka na CCM safari hii.

Michezo yenu tunaiona, kikosi kazi chenu, kupitia team Makamba hakitampooza Luhaga Mpina!

Ndio kwanza mnamuwekea Petroli ili aunguze vizuri zaidi.
 
CCM mnacheza ngoma ya kizamani!

CCM na makundi yenu mnaelekea kujivisha Sanda mkiwa hai!

Endeleeni kushindana kuvaa mashungi tu!

Mtakapokuja yatoa, itakuwa ni Too Late!

Dubai itaondoka na CCM safari hii.

Michezo yenu tunaiona, kikosi kazi chenu, kupitia team Makamba hakitampooza Luhaga Mpina!

Ndio kwanza mnamuwekea Petroli ili aunguze vizuri zaidi.
Ndio maana kukawa na MAHAKAMA.....

Kwa baadhi ya watu wenye fikra zenye upogo hawaamini kuwa MCHUNGAJI AMA SHEIKH anaweza kubaka na kunajisi.......

Kufikia kumtetea mtu tu kwa kuwa aliwahi kufanya mazuri ama kuhusisha "conspiracy theories" nje ya mahakama nako ni UPOGO WA FIKRA PIA......

Siku 14 hizo....tutajua mbivu na mbichi......

#SiempreJMT[emoji120]
 
Kifo chacha haijulikani siku wala saa ika.kifo chaja tena awamu hii mark my words
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mh.Jakaya aliambiwa...."CCM ITAKUFIA..." haikumfia.....

JPM alitabiriwa kung'olewa na UKAWA.....haikumfia.....

Mh.Rais Chifu Hangaya atatuachia CCM ikiwa salama salimini hiyo mwaka 2030....Mwenyezi Mungu umhifadhi Rais wetu kipenzi ,aaamin aaamin[emoji120]
 
Back
Top Bottom