Mpina: Nchi yetu imefilisika hadi inapangisha Bandari? Tusikubali hili

Mpina: Nchi yetu imefilisika hadi inapangisha Bandari? Tusikubali hili

"Kutesa kwa Zamu,,,Kuimba kupokezana"Kila mtu,,kila kitu ni kwa wakati Wake na kwa maslahi ya mtu/kitu husika,,Atulie tuu hakuna namna!!!
 
negativity yetu inatusumbua, kila kitu lazima tupinge tu.
historia ndiyo inayofanya watu kuwa negative.uwekezaji katika nchi hii huwa mara unafanywa kwa rushwa.ukiona wabunge wanakomalia uwekezaji ujue wao wako nyuma ya makampuni hayo.wananchi kwa sasa wakisikia tu uwekezaji wanajua tayari janga lingine linakuja.viwanda vingi walivyopewa wawekezaji sasa ni magodauni,mfano mzzuri ni urafiki.nchi za afrika zina shida kwenye uwekezaji.
 
Kuna uhuru wa kujieleza kweli kama tunavyoaminishwa na awamu hii?
Waziri Mwigulu unaogopa nini kuelezwa ukweli, mbona kila mtu anajua sasa hivi dola imeisha na wafanyabiashara wanapata taabu sana kuagiza bidhaa nje ya nchi?

Nchi yetu imefilisika kipesa inapangisha aka kuwekeza mpaka Bandari?

Ninamuunga Mkono Mpina maneno yake anayo zungumza yana point kubwa.

Uwekezaji wa bandari ni mbovu sana Serikali iangalie sana kukodisha bandari za nchi yetu miaka 10 ijayo Serikali yetu tutakuwa kama Zimbambwe tutafilisika kwa kila kitu na umasikini utazidi kiasi ambacho. Tutakuwa tunaomba omba misaada kwa wafidhili wetu kila siku Mungu asijaalie tusifike huko amin.

 
Hoja yake ndio muhimu kuijadili

Kujifananisha na Marekani si sawa hata kidogo,mifumo yao ya kuwajibishana kwa atakaye kwenda kinyume na maadili imepangika vizuri,hapa kwetu mifumo mibovu sana

Tupate katiba nzuri ndio tuanze hiyo michezo,iwe rahisi kuwabana wakora
TICKS walikodishwa na walikuwepo kwa zaidi ya miaka 20, he serikali ilifilisika au TICKS walikuwa wazawa?
 
Kuna uhuru wa kujieleza kweli kama tunavyoaminishwa na awamu hii?
Waziri Mwigulu unaogopa nini kuelezwa ukweli, mbona kila mtu anajua sasa hivi dola imeisha na wafanyabiashara wanapata taabu sana kuagiza bidhaa nje ya nchi?


Nchi yetu imefilisika kipesa inapangisha aka kuwekeza mpaka Bandari?

Ninamuunga Mkono Mpina maneno yake anayo zungumza yana point kubwa.

Uwekezaji wa bandari ni mbovu sana Serikali iangalie sana kukodisha bandari za nchi yetu miaka 10 ijayo Serikali yetu tutakuwa kama Zimbambwe tutafilisika kwa kila kitu na umasikini utazidi kiasi ambacho. Tutakuwa tunaomba omba misaada kwa wafidhili wetu kila siku Mungu asijaalie tusifike huko amin.


Mkuu

Haina sauti kabisa aiseh hiyo video!
 
Kuna uhuru wa kujieleza kweli kama tunavyoaminishwa na awamu hii?
Waziri Mwigulu unaogopa nini kuelezwa ukweli, mbona kila mtu anajua sasa hivi dola imeisha na wafanyabiashara wanapata taabu sana kuagiza bidhaa nje ya nchi?


Nchi yetu imefilisika kipesa inapangisha aka kuwekeza mpaka Bandari?

Ninamuunga Mkono Mpina maneno yake anayo zungumza yana point kubwa.

Uwekezaji wa bandari ni mbovu sana Serikali iangalie sana kukodisha bandari za nchi yetu miaka 10 ijayo Serikali yetu tutakuwa kama Zimbambwe tutafilisika kwa kila kitu na umasikini utazidi kiasi ambacho. Tutakuwa tunaomba omba misaada kwa wafidhili wetu kila siku Mungu asijaalie tusifike huko amin.


Mkuu

Haina sauti kabisa aiseh hiyo video!
 
Hiyo sheria aliitunga JPM na ndio mlikuwa mnachekelea media kuzima sauti za kina Lissu na Maalim kwenye mikutano.

Yaani ni hivi, habari ikiwa ya kichochezi au upotoshaji au misinformation basi chombo kinachosambaza kinawekwa hatiani pia.

Sasa kwa kuwa kipindi kile sukuma gang ndio mlikua mmeshikilia buyu la asali mkaona kama mnawakomoa kina Maalim na Lissu. Sasa Leo sheria Ile ile inatumika kwenu ndio mnaanza kulia Lia.

Polepole kipindi chake kilifungiwa kwa sheria Ile ile ya maudhui ya habari.... So tulieni na muonje matunda ya chuki zenu.
 
Back
Top Bottom