Lakini za kujenga guest haouse, kumbi kubwa za mikutano, viwanja vya ndege ikulu zipo...Serikali kweli haina pesa. Imagine Hadi leo watumishi hawajalipwa.
Madelu anaendelea kusaini mikataba itakayo endelea kutuumiza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini za kujenga guest haouse, kumbi kubwa za mikutano, viwanja vya ndege ikulu zipo...Serikali kweli haina pesa. Imagine Hadi leo watumishi hawajalipwa.
Madelu anaendelea kusaini mikataba itakayo endelea kutuumiza.
Miccm inatifuana vibaya sanaMtajuana wenyewewe
Ova
Juzi nimeona Walimu wanachukua Mishahara NMB BagamoyoSerikali kweli haina pesa. Imagine Hadi leo watumishi hawajalipwa.
Madelu anaendelea kusaini mikataba itakayo endelea kutuumiza.
Wewe siyo mtanzania?Mtajuana wenyewewe
Ova
Imefungiwa kila sehemuMkuu
Haina sauti kabisa aiseh hiyo video!
Sasa Samia si mwema sana?Hiyo sheria aliitunga JPM na ndio mlikuwa mnachekelea media kuzima sauti za kina Lissu na Maalim kwenye mikutano.
Yaani ni hivi, habari ikiwa ya kichochezi au upotoshaji au misinformation basi chombo kinachosambaza kinawekwa hatiani pia.
Sasa kwa kuwa kipindi kile sukuma gang ndio mlikua mmeshikilia buyu la asali mkaona kama mnawakomoa kina Maalim na Lissu. Sasa Leo sheria Ile ile inatumika kwenu ndio mnaanza kulia Lia.
Polepole kipindi chake kilifungiwa kwa sheria Ile ile ya maudhui ya habari.... So tulieni na muonje matunda ya chuki zenu.
Nape hasimu wa Magufuli ameshindwa kuifuta?Hiyo sheria aliitunga JPM na ndio mlikuwa mnachekelea media kuzima sauti za kina Lissu na Maalim kwenye mikutano.
Yaani ni hivi, habari ikiwa ya kichochezi au upotoshaji au misinformation basi chombo kinachosambaza kinawekwa hatiani pia.
Sasa kwa kuwa kipindi kile sukuma gang ndio mlikua mmeshikilia buyu la asali mkaona kama mnawakomoa kina Maalim na Lissu. Sasa Leo sheria Ile ile inatumika kwenu ndio mnaanza kulia Lia.
Polepole kipindi chake kilifungiwa kwa sheria Ile ile ya maudhui ya habari.... So tulieni na muonje matunda ya chuki zenu.
Tuseme huyu raisi hapendi kuumiza kichwa kuhusu nchi hii ,changamota ikitokea yeye anakimbilia kubinafsisha kuna siku atabinafsisha hata ikulu wallahKuna uhuru wa kujieleza kweli kama tunavyoaminishwa na awamu hii?
Waziri Mwigulu unaogopa nini kuelezwa ukweli, mbona kila mtu anajua sasa hivi dola imeisha na wafanyabiashara wanapata taabu sana kuagiza bidhaa nje ya nchi?
Nchi yetu imefilisika kipesa inapangisha aka kuwekeza mpaka Bandari?
Ninamuunga Mkono Mpina maneno yake anayo zungumza yana point kubwa.
Uwekezaji wa bandari ni mbovu sana Serikali iangalie sana kukodisha bandari za nchi yetu miaka 10 ijayo Serikali yetu tutakuwa kama Zimbambwe tutafilisika kwa kila kitu na umasikini utazidi kiasi ambacho. Tutakuwa tunaomba omba misaada kwa wafidhili wetu kila siku Mungu asijaalie tusifike huko amin.
Sasa hapa umetetea nini na wewe?Jibwa halafu sukumagang huna hoja, mpina amezungumzia ukodishwaji wa bandari kwa mwekezaji wa nje kwa miaka 10 kuwa ni makosa.
TICKS kampuni ya nje ilipitishwa bandarini kwa zaidi ya miaka 20, he serikali ilifilisika? Kipindi cha shujaa wenu TICKS ilikuwepo bandarini.
Anyway endeleeni kupigana maana nyie CCM mna laana za watanzania
Ndiyo mfungie video ya Mpina?Jibwa halafu sukumagang huna hoja, mpina amezungumzia ukodishwaji wa bandari kwa mwekezaji wa nje kwa miaka 10 kuwa ni makosa.
TICKS kampuni ya nje ilipitishwa bandarini kwa zaidi ya miaka 20, he serikali ilifilisika? Kipindi cha shujaa wenu TICKS ilikuwepo bandarini.
Anyway endeleeni kupigana maana nyie CCM mna laana za watanzania
Mpumbavu wewe usiyeelewa. Hoja wanayolalamikia ni ukodishwaji wa bandari kwa kampuni ya kigeni kwa miaka 10, nimemueleza siyo jambo jipya TICKS walikuwepo kwa zaidi ya miaka 20. Tatizo liko wapi?Sasa hapa umetetea nini na wewe?
Mbona mnakuwa wapumbavu?
Inanihusu? Mimi naomba mtoane macho faster na laana zenu za CCMNdiyo mfungie video ya Mpina?
kwahiyo?Hiyo sheria aliitunga JPM na ndio mlikuwa mnachekelea media kuzima sauti za kina Lissu na Maalim kwenye mikutano.
Yaani ni hivi, habari ikiwa ya kichochezi au upotoshaji au misinformation basi chombo kinachosambaza kinawekwa hatiani pia.
Sasa kwa kuwa kipindi kile sukuma gang ndio mlikua mmeshikilia buyu la asali mkaona kama mnawakomoa kina Maalim na Lissu. Sasa Leo sheria Ile ile inatumika kwenu ndio mnaanza kulia Lia.
Polepole kipindi chake kilifungiwa kwa sheria Ile ile ya maudhui ya habari.... So tulieni na muonje matunda ya chuki zenu.
Ilileta tija gani hiyo TICTSMpumbavu wewe usiyeelewa. Hoja wanayolalamikia ni ukodishwaji wa bandari kwa kampuni ya kigeni kwa miaka 10, nimemueleza siyo jambo jipya TICKS walikuwepo kwa zaidi ya miaka 20. Tatizo liko wapi?
Kama huelewi basi utakuwa pumbavu
Sheria ipi hiyo alitunga hiyo mwendazake, halafu kwa sasa kama mnao uhuru imewasaidiaje ,Hiyo sheria aliitunga JPM na ndio mlikuwa mnachekelea media kuzima sauti za kina Lissu na Maalim kwenye mikutano.
Yaani ni hivi, habari ikiwa ya kichochezi au upotoshaji au misinformation basi chombo kinachosambaza kinawekwa hatiani pia.
Sasa kwa kuwa kipindi kile sukuma gang ndio mlikua mmeshikilia buyu la asali mkaona kama mnawakomoa kina Maalim na Lissu. Sasa Leo sheria Ile ile inatumika kwenu ndio mnaanza kulia Lia.
Polepole kipindi chake kilifungiwa kwa sheria Ile ile ya maudhui ya habari.... So tulieni na muonje matunda ya chuki zenu.
Mimi Ni mwalimu mkoa huu huu wa Pwani, hakuna hata mwalimu mmoja aliyepata msg ya kuingiziwa mshahara.Juzi nimeona Walimu wanachukua Mishahara NMB Bagamoyo
Umenena vema kabisa pale mwiba unapo ingia ndio hutokea hapo hapo.kila mtu atakula aliko peleka mbogaHiyo sheria aliitunga JPM na ndio mlikuwa mnachekelea media kuzima sauti za kina Lissu na Maalim kwenye mikutano.
Yaani ni hivi, habari ikiwa ya kichochezi au upotoshaji au misinformation basi chombo kinachosambaza kinawekwa hatiani pia.
Sasa kwa kuwa kipindi kile sukuma gang ndio mlikua mmeshikilia buyu la asali mkaona kama mnawakomoa kina Maalim na Lissu. Sasa Leo sheria Ile ile inatumika kwenu ndio mnaanza kulia Lia.
Polepole kipindi chake kilifungiwa kwa sheria Ile ile ya maudhui ya habari.... So tulieni na muonje matunda ya chuki zenu.