Mpina: Nchi yetu imefilisika hadi inapangisha Bandari? Tusikubali hili

Mpina: Nchi yetu imefilisika hadi inapangisha Bandari? Tusikubali hili

Serikali kweli haina pesa. Imagine Hadi leo watumishi hawajalipwa.
Madelu anaendelea kusaini mikataba itakayo endelea kutuumiza.
Lakini za kujenga guest haouse, kumbi kubwa za mikutano, viwanja vya ndege ikulu zipo...
 
Jibwa halafu sukumagang huna hoja, mpina amezungumzia ukodishwaji wa bandari kwa mwekezaji wa nje kwa miaka 10 kuwa ni makosa.

TICKS kampuni ya nje ilipitishwa bandarini kwa zaidi ya miaka 20, he serikali ilifilisika? Kipindi cha shujaa wenu TICKS ilikuwepo bandarini.

Anyway endeleeni kupigana maana nyie CCM mna laana za watanzania
 
Hiyo sheria aliitunga JPM na ndio mlikuwa mnachekelea media kuzima sauti za kina Lissu na Maalim kwenye mikutano.

Yaani ni hivi, habari ikiwa ya kichochezi au upotoshaji au misinformation basi chombo kinachosambaza kinawekwa hatiani pia.

Sasa kwa kuwa kipindi kile sukuma gang ndio mlikua mmeshikilia buyu la asali mkaona kama mnawakomoa kina Maalim na Lissu. Sasa Leo sheria Ile ile inatumika kwenu ndio mnaanza kulia Lia.

Polepole kipindi chake kilifungiwa kwa sheria Ile ile ya maudhui ya habari.... So tulieni na muonje matunda ya chuki zenu.
Sasa Samia si mwema sana?

Kwanini sasa hatengui hiyo sheria?
 
Hiyo sheria aliitunga JPM na ndio mlikuwa mnachekelea media kuzima sauti za kina Lissu na Maalim kwenye mikutano.

Yaani ni hivi, habari ikiwa ya kichochezi au upotoshaji au misinformation basi chombo kinachosambaza kinawekwa hatiani pia.

Sasa kwa kuwa kipindi kile sukuma gang ndio mlikua mmeshikilia buyu la asali mkaona kama mnawakomoa kina Maalim na Lissu. Sasa Leo sheria Ile ile inatumika kwenu ndio mnaanza kulia Lia.

Polepole kipindi chake kilifungiwa kwa sheria Ile ile ya maudhui ya habari.... So tulieni na muonje matunda ya chuki zenu.
Nape hasimu wa Magufuli ameshindwa kuifuta?
 
Kuna uhuru wa kujieleza kweli kama tunavyoaminishwa na awamu hii?
Waziri Mwigulu unaogopa nini kuelezwa ukweli, mbona kila mtu anajua sasa hivi dola imeisha na wafanyabiashara wanapata taabu sana kuagiza bidhaa nje ya nchi?


Nchi yetu imefilisika kipesa inapangisha aka kuwekeza mpaka Bandari?

Ninamuunga Mkono Mpina maneno yake anayo zungumza yana point kubwa.

Uwekezaji wa bandari ni mbovu sana Serikali iangalie sana kukodisha bandari za nchi yetu miaka 10 ijayo Serikali yetu tutakuwa kama Zimbambwe tutafilisika kwa kila kitu na umasikini utazidi kiasi ambacho. Tutakuwa tunaomba omba misaada kwa wafidhili wetu kila siku Mungu asijaalie tusifike huko amin.

Tuseme huyu raisi hapendi kuumiza kichwa kuhusu nchi hii ,changamota ikitokea yeye anakimbilia kubinafsisha kuna siku atabinafsisha hata ikulu wallah
 
Jibwa halafu sukumagang huna hoja, mpina amezungumzia ukodishwaji wa bandari kwa mwekezaji wa nje kwa miaka 10 kuwa ni makosa.

TICKS kampuni ya nje ilipitishwa bandarini kwa zaidi ya miaka 20, he serikali ilifilisika? Kipindi cha shujaa wenu TICKS ilikuwepo bandarini.

Anyway endeleeni kupigana maana nyie CCM mna laana za watanzania
Sasa hapa umetetea nini na wewe?

Mbona mnakuwa wapumbavu?
 
Jibwa halafu sukumagang huna hoja, mpina amezungumzia ukodishwaji wa bandari kwa mwekezaji wa nje kwa miaka 10 kuwa ni makosa.

TICKS kampuni ya nje ilipitishwa bandarini kwa zaidi ya miaka 20, he serikali ilifilisika? Kipindi cha shujaa wenu TICKS ilikuwepo bandarini.

Anyway endeleeni kupigana maana nyie CCM mna laana za watanzania
Ndiyo mfungie video ya Mpina?
 
Sasa hapa umetetea nini na wewe?

Mbona mnakuwa wapumbavu?
Mpumbavu wewe usiyeelewa. Hoja wanayolalamikia ni ukodishwaji wa bandari kwa kampuni ya kigeni kwa miaka 10, nimemueleza siyo jambo jipya TICKS walikuwepo kwa zaidi ya miaka 20. Tatizo liko wapi?

Kama huelewi basi utakuwa pumbavu
 
Hiyo sheria aliitunga JPM na ndio mlikuwa mnachekelea media kuzima sauti za kina Lissu na Maalim kwenye mikutano.

Yaani ni hivi, habari ikiwa ya kichochezi au upotoshaji au misinformation basi chombo kinachosambaza kinawekwa hatiani pia.

Sasa kwa kuwa kipindi kile sukuma gang ndio mlikua mmeshikilia buyu la asali mkaona kama mnawakomoa kina Maalim na Lissu. Sasa Leo sheria Ile ile inatumika kwenu ndio mnaanza kulia Lia.

Polepole kipindi chake kilifungiwa kwa sheria Ile ile ya maudhui ya habari.... So tulieni na muonje matunda ya chuki zenu.
kwahiyo?
 
Mpumbavu wewe usiyeelewa. Hoja wanayolalamikia ni ukodishwaji wa bandari kwa kampuni ya kigeni kwa miaka 10, nimemueleza siyo jambo jipya TICKS walikuwepo kwa zaidi ya miaka 20. Tatizo liko wapi?

Kama huelewi basi utakuwa pumbavu
Ilileta tija gani hiyo TICTS
 
Hiyo sheria aliitunga JPM na ndio mlikuwa mnachekelea media kuzima sauti za kina Lissu na Maalim kwenye mikutano.

Yaani ni hivi, habari ikiwa ya kichochezi au upotoshaji au misinformation basi chombo kinachosambaza kinawekwa hatiani pia.

Sasa kwa kuwa kipindi kile sukuma gang ndio mlikua mmeshikilia buyu la asali mkaona kama mnawakomoa kina Maalim na Lissu. Sasa Leo sheria Ile ile inatumika kwenu ndio mnaanza kulia Lia.

Polepole kipindi chake kilifungiwa kwa sheria Ile ile ya maudhui ya habari.... So tulieni na muonje matunda ya chuki zenu.
Sheria ipi hiyo alitunga hiyo mwendazake, halafu kwa sasa kama mnao uhuru imewasaidiaje ,
 
Hiyo sheria aliitunga JPM na ndio mlikuwa mnachekelea media kuzima sauti za kina Lissu na Maalim kwenye mikutano.

Yaani ni hivi, habari ikiwa ya kichochezi au upotoshaji au misinformation basi chombo kinachosambaza kinawekwa hatiani pia.

Sasa kwa kuwa kipindi kile sukuma gang ndio mlikua mmeshikilia buyu la asali mkaona kama mnawakomoa kina Maalim na Lissu. Sasa Leo sheria Ile ile inatumika kwenu ndio mnaanza kulia Lia.

Polepole kipindi chake kilifungiwa kwa sheria Ile ile ya maudhui ya habari.... So tulieni na muonje matunda ya chuki zenu.
Umenena vema kabisa pale mwiba unapo ingia ndio hutokea hapo hapo.kila mtu atakula aliko peleka mboga
 
Back
Top Bottom