Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ni vita vya kambi hasimu ndani ya CCM, huyo Mpina ni sukumagang yuko vitani na Msoga gang. Hajatuambia kwa kuwakodishia TICKS taifa lilipoteza nini?Yaani kukodisha kagati kamoja kwa miaka kumi tu mpina anaita press conference? Mbona yule bilioneya wa marekani tumemkodishia hekta 25,000,000 kwa miaka 100 hampigi kelele. Ni wakati wetu huu sasa tuacheni tulambe asali
Wewe jamaa yangu unaonyesha una upungufu kichwani mwako,hasa uwezo wa kuvumilia kusikia ya usitoyapenda,,Ngosha ana nongwa na urais wa SSH kama vile anaumia kila yanapofanywa maamuzi anayodhani yanakwenda kinyume na misingi ya hayati JPM.
Ni maisha ya chuki wanazoamua kuwa nazo baadhi yetu, walisema kuwa watu wa karibu wa SSH ndio walimmaliza JPM mpaka leo hawawezi kuweka ushahidi hadharani wanaishia kuumia tu mioyoni wakikosa jibu.
MhWewe kila siku unaandika mada za kuisifia serikali ulikuwa unatumia hisia.
Upungufu hata wewe unao pia kichwani mwako, kushindwa kuyavumilia maoni yangu bila ya kupita kimya.Wewe jamaa yangu unaonyesha una upungufu kichwani mwako,hasa uwezo wa kuvumilia kusikia ya usitoyapenda,,
Nimekufuatilia sana neno chuki kwa wale wanaotofautiana na mtazamo wako halitoki mdomoni,wewe ndio unachuki sana sana,
Jifunze kusikia usitoyapenda na ikibidi pita kimya,-hatuwezi fanana mitazamo hata siku moja,badala ya kujifichia kwenu chuki,ichape kwa hoja,hoja ya mzungumzaji,itakuondolea kijiba cha roho ulichonacho
Mswahili huwa hana jema hata siku moja. Kulalamika ni sehemu ya DNA kwake.mbona TICTS haijaingiza hilo container la kupindua miaka yote hiyo tangu ilipopewa hiyo bandari? Au unadhania hiyo ni kampuni ya wenyeji?
Halafu sisi ndiyo tunalalamika miaka yote hiyo kuwa mambo bandarini hayaridhishi lakini leo tunataka walewale tunaowalalamikia waendelee miaka mingine.
Real ?Zipo bandari Marekani zinaendeshwa na Dubai ports...je wamarekani wamefilisika?
Hameni nchi murudi kwenu Burundi mkaendeleze ukabila wenu huko. Hapa kwetu ukabila na ukanda ulishafutwa tangu 17.3.2021.Nape hasimu wa Magufuli ameshindwa kuifuta?
Kuna uhuru wa kujieleza kweli kama tunavyoaminishwa na awamu hii?
Waziri Mwigulu unaogopa nini kuelezwa ukweli, mbona kila mtu anajua sasa hivi dola imeisha na wafanyabiashara wanapata taabu sana kuagiza bidhaa nje ya nchi?
Nchi yetu imefilisika kipesa inapangisha aka kuwekeza mpaka Bandari?
Ninamuunga Mkono Mpina maneno yake anayo zungumza yana point kubwa.
Uwekezaji wa bandari ni mbovu sana Serikali iangalie sana kukodisha bandari za nchi yetu miaka 10 ijayo Serikali yetu tutakuwa kama Zimbambwe tutafilisika kwa kila kitu na umasikini utazidi kiasi ambacho. Tutakuwa tunaomba omba misaada kwa wafidhili wetu kila siku Mungu asijaalie tusifike huko amin.
Wewe jamaa chenga sana!!Hiyo sheria aliitunga JPM na ndio mlikuwa mnachekelea media kuzima sauti za kina Lissu na Maalim kwenye mikutano.
Yaani ni hivi, habari ikiwa ya kichochezi au upotoshaji au misinformation basi chombo kinachosambaza kinawekwa hatiani pia.
Sasa kwa kuwa kipindi kile sukuma gang ndio mlikua mmeshikilia buyu la asali mkaona kama mnawakomoa kina Maalim na Lissu. Sasa Leo sheria Ile ile inatumika kwenu ndio mnaanza kulia Lia.
Polepole kipindi chake kilifungiwa kwa sheria Ile ile ya maudhui ya habari.... So tulieni na muonje matunda ya chuki zenu.
Bandari ipi Marekani unayoijua wewe inaendeshwa na Dubai Ports?Zipo bandari Marekani zinaendeshwa na Dubai ports...je wamarekani wamefilisika?

Jibu hoja kwanzaWewe kijiwe na tawi lako ni Mansese Kosovo kwa sasa upo Act.
Ndio hivyo mkuu huwa tunavuna tulichopanda. Mama Samia anataka tume huru sio kwa ajili ya CHADEMA Ila hata yeye akinyimwa fomu na CCM basi anaweza enda ACT akagombea huko.Wewe jamaa chenga sana!!
Kuna uhuru wa kujieleza kweli kama tunavyoaminishwa na awamu hii?
Waziri Mwigulu unaogopa nini kuelezwa ukweli, mbona kila mtu anajua sasa hivi dola imeisha na wafanyabiashara wanapata taabu sana kuagiza bidhaa nje ya nchi?
Nchi yetu imefilisika kipesa inapangisha aka kuwekeza mpaka Bandari?
Ninamuunga Mkono Mpina maneno yake anayo zungumza yana point kubwa.
Uwekezaji wa bandari ni mbovu sana Serikali iangalie sana kukodisha bandari za nchi yetu miaka 10 ijayo Serikali yetu tutakuwa kama Zimbambwe tutafilisika kwa kila kitu na umasikini utazidi kiasi ambacho. Tutakuwa tunaomba omba misaada kwa wafidhili wetu kila siku Mungu asijaalie tusifike huko amin.
Kuna uhuru wa kujieleza kweli kama tunavyoaminishwa na awamu hii?
Waziri Mwigulu unaogopa nini kuelezwa ukweli, mbona kila mtu anajua sasa hivi dola imeisha na wafanyabiashara wanapata taabu sana kuagiza bidhaa nje ya nchi?
Nchi yetu imefilisika kipesa inapangisha aka kuwekeza mpaka Bandari?
Ninamuunga Mkono Mpina maneno yake anayo zungumza yana point kubwa.
Uwekezaji wa bandari ni mbovu sana Serikali iangalie sana kukodisha bandari za nchi yetu miaka 10 ijayo Serikali yetu tutakuwa kama Zimbambwe tutafilisika kwa kila kitu na umasikini utazidi kiasi ambacho. Tutakuwa tunaomba omba misaada kwa wafidhili wetu kila siku Mungu asijaalie tusifike huko amin.
Ndio iwe funzo kwamba tutunge sheria kwa maslahi ya taifa sio kukomoana au kudhani zinatumika kwa wasio serikalini tu.Wakishakula hayo matunda hatima yake ni nini?
Siasa zenye visasi ni kansa ya taifa
Kuna uhuru wa kujieleza kweli kama tunavyoaminishwa na awamu hii?
Waziri Mwigulu unaogopa nini kuelezwa ukweli, mbona kila mtu anajua sasa hivi dola imeisha na wafanyabiashara wanapata taabu sana kuagiza bidhaa nje ya nchi?
Nchi yetu imefilisika kipesa inapangisha aka kuwekeza mpaka Bandari?
Ninamuunga Mkono Mpina maneno yake anayo zungumza yana point kubwa.
Uwekezaji wa bandari ni mbovu sana Serikali iangalie sana kukodisha bandari za nchi yetu miaka 10 ijayo Serikali yetu tutakuwa kama Zimbambwe tutafilisika kwa kila kitu na umasikini utazidi kiasi ambacho. Tutakuwa tunaomba omba misaada kwa wafidhili wetu kila siku Mungu asijaalie tusifike huko amin.
eWatumishi gani hao!!?wa jamhuri hii hii au yawapi!!?