Said Stuard Shily
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 2,396
- 2,108
Ww ni stupid kwann usikubali hata mm nimekufuatilia una chuki na wasukumaUpungufu hata wewe unao pia kichwani mwako, kushindwa kuyavumilia maoni yangu bila ya kupita kimya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww ni stupid kwann usikubali hata mm nimekufuatilia una chuki na wasukumaUpungufu hata wewe unao pia kichwani mwako, kushindwa kuyavumilia maoni yangu bila ya kupita kimya.
Hahahaha. Mla mla leo bwana mla jana kala nini!? HAYA NDIYO MATOKEO YA SHERIA MBOVU ZILIZO TUNGWA CHINI YA CHIZI LA CHATO.Wakati ule mliona sawa mkifikiria zinawakomoa kina LISU! unashangaa?Ndiyo mfungie video ya Mpina?
Sheria ya maudhui ya habariSheria ipi hiyo alitunga hiyo mwendazake, halafu kwa sasa kama mnao uhuru imewasaidiaje ,
Huyu ni mjane wa magufli a.k.a NYAPARAMbona alikuwa hamwambii Magufuli hizi hadithi??
Ndio muache kulia Lia Sasa mnywe dawa mliyoikoroga wenyewe. Na hiyo 2025 hakuna mfuasi wa JPM atashinda jimbo lolote.kwahiyo?
Ndugu uwe mwelewa. Ticks haikukodi bandari nduguMpumbavu wewe usiyeelewa. Hoja wanayolalamikia ni ukodishwaji wa bandari kwa kampuni ya kigeni kwa miaka 10, nimemueleza siyo jambo jipya TICKS walikuwepo kwa zaidi ya miaka 20. Tatizo liko wapi?
Kama huelewi basi utakuwa pumbavu
Tupe uhakika wa hiki unachokisems....Mama Samia kajifunza Hilo ndio maana anataka tume huru na katiba mpya
Imejadiliwa mbona kwenye maridhiano na ni Moja ya sheria zitakazofanyiwa ammendment baada ya bunge la bajeti. Ikiwemo sheria ya uchaguzi na cybercrime etcSasa Samia si mwema sana?
Kwanini sasa hatengui hiyo sheria?
Kumbe imejadiliwa tu alafu bado watu wanaadhibiwaImejadiliwa mbona kwenye maridhiano na ni Moja ya sheria zitakazofanyiwa ammendment baada ya bunge la bajeti. Ikiwemo sheria ya uchaguzi na cybercrime etc
Ungejibu hoja lilikuwa jambo la maana sanawe hapo panapowasha sana ni wapi, maana unahitaji mkunaji ili upumzike na kuandika upumbavu wako kuhusu hii serikali
Iko wapi hiyo tume huru?Ndio iwe funzo kwamba tutunge sheria kwa maslahi ya taifa sio kukomoana au kudhani zinatumika kwa wasio serikalini tu.
Mama Samia kajifunza Hilo ndio maana anataka tume huru na katiba mpya
Dola ziko wapi?we mbwa Magufuli ameshakufa, serikali ikifilisika ni ya babake Mpina? Mpina asifikiri dola imekufa na yule mshamba mwenzake atatulizwa boli bila kutegemea
Kwani Nape hakuzibadilisha?Hahahaha. Mla mla leo bwana mla jana kala nini!? HAYA NDIYO MATOKEO YA SHERIA MBOVU ZILIZO TUNGWA CHINI YA CHIZI LA CHATO.Wakati ule mliona sawa mkifikiria zinawakomoa kina LISU! unashangaa?
Umesahau kuwatukana wanna chadema mkuu
Wafuasi wa Magufuli hata wakitajwa tu wananchi wanalipuka kwa shangwe ,uliona bwawa la Nyerere?Ndio muache kulia Lia Sasa mnywe dawa mliyoikoroga wenyewe. Na hiyo 2025 hakuna mfuasi wa JPM atashinda jimbo lolote.
Huyo Mpina kavuliwa ujumbe NEC Taifa na mkoa, ilikua trailer Bado kunyolewa.
Wasukuma chuki mlijitafutia wenyewe kwa kumshangilia dikteta.Ww ni stupid kwann usikubali hata mm nimekufuatilia una chuki na wasukuma
Hazitabadilishwa mpaka 2030. Ili na wewe ujue siyo kila ujinga unapaswa kushangilia. Tulia dawa ikuingie mwanaizai weweKwani Nape hakuzibadilisha?