Unatumia nguvu kubwa kulielezea hili jambo,wakti mtoa maada ameshauri tu,unaaza kutaja watu watakukalia kooni kwa kuchafua brand za watu,hamjajifuza kwa membe na musiba.Mpina kalipwa na Karamagi...
Ilikuja taarifa hapa Karamagi kawapanga wabunge machachari ...
Karamagi alikuwa mwana hisa Ticts ambao wameondolewa..dili wamepewa Wengine
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app