Mpina: Nchi yetu imefilisika hadi inapangisha Bandari? Tusikubali hili

Mpina: Nchi yetu imefilisika hadi inapangisha Bandari? Tusikubali hili

Akili na mipango ya USA utailinganisha na mipango ya CCM ambao huwaza kwa kutumia tumbo? Fikra zao ni kuiba tu na kujilimbukizia mali?
Rais wa Tanzania anapewa madaraka alafu kila akilala anaota uchaguzi wa mwaka 2025.Unalinganisha na Marekani kweli![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 

MPINA AILIPUA VIKALI SERIKALI, "NI HATARI SANA KWA TAIFA, NAWASHINIKIZA TUSIKUBALI HII"​


View attachment 2633454

Nchi yetu imefilisika kipesa inapangisha aka kuwekeza mpaka Bandari?

Ninamuunga Mkono Mpina maneno yake anayo zungumza yana point kubwa.

Uwekezaji wa bandari ni mbovu sana Serikali iangalie sana kukodisha bandari za nchi yetu miaka 10 ijayo Serikali yetu tutakuwa kama Zimbambwe tutafilisika kwa kila kitu na umasikini utazidi kiasi ambacho. Tutakuwa tunaomba omba misaada kwa wafidhili wetu kila siku Mungu asijaalie tusifike huko amin.
Mpina yuko sahihi 100%.

Mbarawa kwake unguja, Maza unguja Bandari zinabinafsishwa Huku Tanganyika na wasio wazawa kwa kigezo cha Muungano.

Waanze kubinafsisha kwanza bandari ya Zanzibar.

Wabunge wa bara hili jambo msilikubali japo Mbunge wa Jimbo la Hai huko Kilimanjaro amepokea mlungula wa 10m Ili kuukubali mkataba wa kubinafsisha bandari zetu,

Mkumbuke wazi kuwa 80% ya Wabunge wanataka bandari ibinafsishwe 2025 hawarudi Bungeni means wanauza nchi.
 
Nimemsikia Luhaga Mpina anasema eti tunataka kuwapa DUBAI Bandari zetu waziendeshe?ni kweli haya?

Mi nilidhani tungewapa kwanza private Operations bandari ya Bagamoyo tuone ufanisi wao then ndio tuanze kufikiria haya ya Bandari zingine!

Au ndio ile dhana ya "mtoto msumbufu mpeleke boarding school" asisumbue nyumbani!Is that the best way ya kusolve tatizo la msingi?

Sio Mwinyi,sio Mkapa,sio Kikwete na wala sio Magufuli wamewahi kuota kufanya maamuzi haya!Nini kinasukuma haya maamuzi ya haraka?

Moja ya ishu critical ambayo inaweza kuicost CCM yangu ni hii hapa!Tunahitaji tafakari kubwa sana kabla ya maamuzi haya!

Otherwise,2025 tunatakiwa kuwa na majibu "makubwa" juu ya swali hili nzito la Wananchi!

Tujadili kwa pamoja kwa maslahi mapana ya Taifa!

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Saa100 huwa hataki bughdha kabisa anatamani hata kichwa chake angekibinafsicha ili abaki akama sanamu tu .yeye kila kitu kikimshinda anakimbilia kubinfsicha do
 
Usisemee 2025, hapa tunagusia maslahi na mustakabali wa nchi yetu. Kama serikali imeshindwa kusimamia wafanyakazi wake itaweza kumsimamia mgeni?
Thank you for greater think nice comment
 
It's ok kama ataleta ufanisi wa Hali ya juu n tukaona matokeo kuliko sasa hamna wanachofanya mizigo kuchelewa yaan mi naona frsh kabisah hata nchi tukiwapa watu wapge kazi sisi pale juu awepo raisi tu wengine wote tuwatoe ulaya na marekani sisi nikuwakbidhi tu malengo yetu na mahitaji

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Rais atakuwa anafsnya nini hapo juu si bora tumfungie ndan kama kuku wa kienyeji
 
Wabunge, hasa hili la Magufuli, hawajui kabisa mambo ya kimataifa wala biashara za kimataifa
 
Uwekezaji wa bandari ni mbovu sana Serikali iangalie sana kukodisha bandari za nchi yetu miaka 10 ijayo Serikali yetu tutakuwa kama Zimbambwe tutafilisika kwa kila kitu na umasikini
Wanufaika wa ufisadi wa bandarini mkiongozwa na Mpina ndiyo mnapinga ubinafisishaji wa bandari
 
Kuna mpumbavu mmoha anajifanansha tanzania na marekani ,eti mboba marwkani wao wamewaweka wageni!!??
 
Mh.Mpina amekula "usambo"?!!!

Anajiropokea tu....[emoji1787][emoji1787]

Hata marekani...mashirika ya wageni ndiyo yanayopakia/pakua katika bandari zao.....

Maskini mh.Mpina [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna mpumbavu mmoha anajifanansha tanzania na marekani ,eti mboba marwkani wao wamewaweka wageni!!??
Kwani tumeibinafsisha TRA na TPA?!!!!

Hivi hoja ya mifumo kusomana(TPA&TRA) si hoja jadidi kutupeleka tutakako?!!!
 
Hoja yake ndio muhimu kuijadili

Kujifananisha na Marekani si sawa hata kidogo, mifumo yao ya kuwajibishana kwa atakaye kwenda kinyume na maadili imepangika vizuri, hapa kwetu mifumo mibovu sana

Tupate katiba nzuri ndio tuanze hiyo michezo, iwe rahisi kuwabana wakora
Huwa nashangaa wanaopenda kulinganisha hili dubwasha letu na nchi zilizotuacha miaka elfu.
 
Wanufaika wa ufisadi wa bandarini mkiongozwa na Mpina ndiyo mnapinga ubinafisishaji wa bandari
Sidhani kama mh.Mpina ni fisadi huko bandarini....kinachomsumbua ni "kulishwa usambo-dawa kwa wachawi)....mwishowe hujiropokea tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 

MPINA AILIPUA VIKALI SERIKALI, "NI HATARI SANA KWA TAIFA, NAWASHINIKIZA TUSIKUBALI HII"​


View attachment 2633454

Nchi yetu imefilisika kipesa inapangisha aka kuwekeza mpaka Bandari?

Ninamuunga Mkono Mpina maneno yake anayo zungumza yana point kubwa.

Uwekezaji wa bandari ni mbovu sana Serikali iangalie sana kukodisha bandari za nchi yetu miaka 10 ijayo Serikali yetu tutakuwa kama Zimbambwe tutafilisika kwa kila kitu na umasikini utazidi kiasi ambacho. Tutakuwa tunaomba omba misaada kwa wafidhili wetu kila siku Mungu asijaalie tusifike huko amin.
Mpina ndio anafanya Wasukuma waonekane hawana akili
 
Back
Top Bottom