Mpina: Nchi yetu imefilisika hadi inapangisha Bandari? Tusikubali hili

Mpina: Nchi yetu imefilisika hadi inapangisha Bandari? Tusikubali hili

Mpina ndio anafanya Wasukuma waonekane hawana akili
Wasukuma ni watanzania wenzetu....wanaingiaje wote kwa sababu ya mawazo ya msukuma mmoja?!!! Is this not an insanity of generalization?!!![emoji15][emoji15]
 
Mkuu mfumo wa mkataba wa TICTS ndiyo sahihi ila huu mfumo unakuja ni intergovernmental Agreement,yaani Mwarabu anakamata kila kitu tofauti na TICTS ambaye amlipewa sehemu ya Bandari Ili aendeshe.
Ya kwamba hoja ya mh.Rais kuwa mifumo isomane kati ya TPA na TRA haina mantiki kwa kampuni za ndani na za nje?!!![emoji15]
 
Saa100 huwa hataki bughdha kabisa anatamani hata kichwa chake angekibinafsicha ili abaki akama sanamu tu .yeye kila kitu kikimshinda anakimbilia kubinfsicha do
Matusi....umeamua kutukana...mdomo ni wako....

Yaani hoja yake ya mifumo kusomana Kati ya TRA na TPA aliitoa kichwa chake kikiwa si "mzigo wa mwili wake"?!!![emoji15][emoji15][emoji15]
 
Mh.Mpina amekula "usambo"?!!!

Anajiropokea tu....[emoji1787][emoji1787]

Hata marekani...mashirika ya wageni ndiyo yanayopakia/pakua katika bandari zao.....

Maskini mh.Mpina [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mdau ameuliza hapo jùu kama serikali imeshindwa kusimamia watumish wake je wataweza kwa hao wageni .halafu. mbona hamjifunzi kuna ubinafsishaji wowote umeshaawahi kufanywa kwa Tija hapa kwetu ndo tuchukulie kwa kama mfano
 
Ya kwamba mh.Rais aliposema mifumo isomane kati ya TRA na TPA si suluhisho bora zaidi ya hao wapakia/wapakua mizigo?!!![emoji15][emoji15]
Jiulize tangu aasema kama mpaka leo KAMA rais wa nchi kuna chochote cha maana hapo
 
Kuna mdau ameuliza hapo jùu kama serikali imeshindwa kusimamia watumish wake je wataweza kwa hao wageni .halafu. mbona hamjifunzi kuna ubinafsishaji wowote umeshaawahi kufanywa kwa Tija hapa kwetu ndo tuchukulie kwa kama mfano
Unadhani ni kwanini mh.Rais SSH alimuagiza mh.waziri Mwigulu Nchemba ahakikishe kuwa wale WAKOREA waliokuja hawaondoki nchini mpaka mifumo ya TRA na TPA isomane?!!!

Kwa kuwa mh.Rais SSH amekwenda mbali katika kuhakikisha tunatoka tulipo.....bandari pekeeinaweza kuchangia zaidi ya nusu ya bajeti ya nchi.....

Je mifumo ikisomana na kuwa sawa ,haitokua suluhisho ikiwa tuna tumebinafsisha ?!!!!
 
Jiulize tangu aasema kama mpaka leo KAMA rais wa nchi kuna chochote cha maana hapo
Unamuonea [emoji1787][emoji1787]

Kauli ya mifumo ameitoa mwezi uliopita alipokuwa akipokea ripoti za CAG na TAKUKURU.....
 
Nimesikia mvutano bungeni baadhi wakitaka nchi yetu iridhie mkataba wa kuuza bandari kwa miaka sijui 100 na tetezi zinazoendelea baadhi ya wabunge wamehongwa milioni 10 ili wapitishe azimio hilo la kuuza nchi yetu.

Nimejiuliza kwanini Mwinyi, Mkapa, Kikwete na hayati Magufuli hawakuwahi kuja na uamuzi huu badala yake tumekuwa tukiona mikakati ya kuziboresha tu bandari na zinafanya vizuri.

Kiini cha kuuza bandari zetu kwa mwarabu ni nini? ni kushindwa kwa waziri kusimamia tpa? au ni kukosekana fedha za kuboresha? lakini tumeambia kuna zaidi ya trilioni 8 zimepotea kwenye ripoti ya cag kwanini fedha hizo zisingetumika kuboresha bandari?

Au kuna nini ambacho watanzania hatukijui.. na je mnadhani watanganyika watakaa kimya mali zao ziuzwe?
 
nimesikia mvutano bungeni baadhi wakitaka nchi yetu iridhie mkataba wa kuuza bandari kwa miaka sijui 100 na tetezi zinazoendelea baadhi ya wabunge wamehongwa milioni 10 ili wapitishe azimio hilo la kuuza nchi yetu.

nimejiuliza kwanini mwinyi, mkapa, kikwete na hayati magufuli hawakuwahi kuja na uamuzi huu badala yake tumekuwa tukiona mikakati ya kuziboresha tu bandari na zinafanya vizuri.

kiini cha kuuza bandari zetu kwa mwarabu ni nini? ni kushindwa kwa waziri kusimamia tpa? au ni kukosekana fedha za kuboresha? lakini tumeambia kuna zaidi ya trilioni 8 zimepotea kwenye ripoti ya cag kwanini fedha hizo zisingetumika kuboresha bandari?

au kuna nini ambacho watanzania hatukijui.. na je mnadhani watanganyika watakaa kimya mali zao ziuzwe?
@tundulisu lisemee hili please
 
nimesikia mvutano bungeni baadhi wakitaka nchi yetu iridhie mkataba wa kuuza bandari kwa miaka sijui 100 na tetezi zinazoendelea baadhi ya wabunge wamehongwa milioni 10 ili wapitishe azimio hilo la kuuza nchi yetu.

nimejiuliza kwanini mwinyi, mkapa, kikwete na hayati magufuli hawakuwahi kuja na uamuzi huu badala yake tumekuwa tukiona mikakati ya kuziboresha tu bandari na zinafanya vizuri.

kiini cha kuuza bandari zetu kwa mwarabu ni nini? ni kushindwa kwa waziri kusimamia tpa? au ni kukosekana fedha za kuboresha? lakini tumeambia kuna zaidi ya trilioni 8 zimepotea kwenye ripoti ya cag kwanini fedha hizo zisingetumika kuboresha bandari?

au kuna nini ambacho watanzania hatukijui.. na je mnadhani watanganyika watakaa kimya mali zao ziuzwe?
Nchi. Nzima imeishauzwa,Sasa hv hata ardhi ya taasisi nyeti kama jeshi,imeuzwa inajengwa flemu za biashara,
Lugalo pale Dar,ardhi imemegwa ili kujenga flemu. Za biashara.
 
Back
Top Bottom