Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Siyo kila anayeshangiliwa anakubalika pimbi weweWafuasi wa Magufuli hata wakitajwa tu wananchi wanalipuka kwa shangwe ,uliona bwawa la Nyerere?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kila anayeshangiliwa anakubalika pimbi weweWafuasi wa Magufuli hata wakitajwa tu wananchi wanalipuka kwa shangwe ,uliona bwawa la Nyerere?
MPINA AILIPUA VIKALI SERIKALI, "NI HATARI SANA KWA TAIFA, NAWASHINIKIZA TUSIKUBALI HII"
Nchi yetu imefilisika kipesa inapangisha aka kuwekeza mpaka Bandari?
Ninamuunga Mkono Mpina maneno yake anayo zungumza yana point kubwa.
Uwekezaji wa bandari ni mbovu sana Serikali iangalie sana kukodisha bandari za nchi yetu miaka 10 ijayo Serikali yetu tutakuwa kama Zimbambwe tutafilisika kwa kila kitu na umasikini utazidi kiasi ambacho. Tutakuwa tunaomba omba misaada kwa wafidhili wetu kila siku Mungu asijaalie tusifike huko amin.
Nikwambie Magufuli atakumbukwa kizazi na kizazi katika jamii ya WasukumaWasukuma chuki mlijitafutia wenyewe kwa kumshangilia dikteta.
Kila anayeshangiliwa anakubalikaSiyo kila anayeshangiliwa anakubalika pimbi wewe
KimeumanaMiccm inatifuana vibaya sana
[emoji3][emoji3]Kimeumana
Hahahahaha huko CCM Sasa muda huuKimeumana
Hoja dhaifu uifungie?,waiche ili wananchi tuone huo udhaifu wa Mpina, otherwise hoja yake ni murua na ina mashikoKwenye ishu ya bandari mpina ana hoja dhaifu.
Anapoleta habari za Wahisani wanaotupa misaada wanaweza wasifurahishwe na deal hili la bandari hiyo ni hoja dhaifu, kitakachotufaa sisi ni partnership ya win-win na siyo kutembeza bakuli.
Hoja ya Usalama, Kuwa eti Dubai ikiwekewa vikwazo na sisi tutaumia. Hiyo ni fear mongering, Huwezi , What if asipowekewa?
Kama Dubai atatoa mpunga ili.kujenga hiyo bandari kwa nini asipewe priority kwenye uwekezaji?
Naona nguvu za kambi ya mwendazake kupinga ujenzi wa bandari kwa mlango wa nyuma zinaendelea.
Wewe hunaga hoja za msingi zaidi ya kutuletea hisia zako.Jibu hoja kwanza
Jana ilikuwa na sauti hii video itakuwa ni shida ya Mwananchi Digital.Mkuu
Haina sauti kabisa aiseh hiyo video!
Kama hoja yake ina mambo ambayo serikali inadhani ni upotoshaji basi kuna sheria iliasisiwa na serikali ya Magufuli kufungiafungia vitu kama hivyoHoja dhaifu uifungie?,waiche ili wananchi tuone huo udhaifu wa Mpina, otherwise hoja yake ni murua na ina mashiko
Video ya Mpina kufungiwa ni hisia zangu?Wewe hunaga hoja za msingi zaidi ya kutuletea hisia zako.
Hata ndege aliasisi Magufuli piaKama hoja yake ina mambo ambayo serikali inadhani ni upotoshaji basi kuna sheria iliasisiwa na serikali ya Magufuli kufungiafungia vitu kama hivyo
Kweli maana aliwaita wqtengenezaji ikulu na kukaa nao chumbani kuagiza ndege azitakazo bila kufuata hata sheria ya manunuzi . Wqjinga wqkishangilia kama wehu.Hata ndege aliasisi Magufuli pia
Ila si tuliambiwa nchi imefunguliwa ndio maana mnafanya hadi mikutano ya hadhara?Hiyo sheria aliitunga JPM na ndio mlikuwa mnachekelea media kuzima sauti za kina Lissu na Maalim kwenye mikutano.
Yaani ni hivi, habari ikiwa ya kichochezi au upotoshaji au misinformation basi chombo kinachosambaza kinawekwa hatiani pia.
Sasa kwa kuwa kipindi kile sukuma gang ndio mlikua mmeshikilia buyu la asali mkaona kama mnawakomoa kina Maalim na Lissu. Sasa Leo sheria Ile ile inatumika kwenu ndio mnaanza kulia Lia.
Polepole kipindi chake kilifungiwa kwa sheria Ile ile ya maudhui ya habari.... So tulieni na muonje matunda ya chuki zenu.
Mkataba wao Ndiyo unatofautisha bandari ya US na TanzaniaZipo bandari Marekani zinaendeshwa na Dubai ports...je wamarekani wamefilisika?
Lakini ndiyo kutwa unazipanda hizo ndege kumfuata mmeo DodomaKweli maana aliwaita wqtengenezaji ikulu na kukaa nao chumbani kuagiza ndege azitakazo bila kufuata hata sheria ya manunuzi . Wqjinga wqkishangilia kama wehu.
Akikujibu nitagiIla si tuliambiwa nchi imefunguliwa ndio maana mnafanya hadi mikutano ya hadhara?