Mpina: Nchi yetu imefilisika hadi inapangisha Bandari? Tusikubali hili

Mpina: Nchi yetu imefilisika hadi inapangisha Bandari? Tusikubali hili

MPINA AILIPUA VIKALI SERIKALI, "NI HATARI SANA KWA TAIFA, NAWASHINIKIZA TUSIKUBALI HII"​




Nchi yetu imefilisika kipesa inapangisha aka kuwekeza mpaka Bandari?

Ninamuunga Mkono Mpina maneno yake anayo zungumza yana point kubwa.

Uwekezaji wa bandari ni mbovu sana Serikali iangalie sana kukodisha bandari za nchi yetu miaka 10 ijayo Serikali yetu tutakuwa kama Zimbambwe tutafilisika kwa kila kitu na umasikini utazidi kiasi ambacho. Tutakuwa tunaomba omba misaada kwa wafidhili wetu kila siku Mungu asijaalie tusifike huko amin.

Habari ya mpina haiko balanced. Alipaswa atuambie huo uwekezaji utakavyonufaisha taifa kwa kuwa kila kitu kina pande mbili. Hafai kuigwa wala kusikilizwa. Sukuma gang mkubwa!!!
 
Kimeumana
Hahahahaha huko CCM Sasa muda huu
20230522_162913.jpg
 
Kwenye ishu ya bandari mpina ana hoja dhaifu.

Anapoleta habari za Wahisani wanaotupa misaada wanaweza wasifurahishwe na deal hili la bandari hiyo ni hoja dhaifu, kitakachotufaa sisi ni partnership ya win-win na siyo kutembeza bakuli.

Hoja ya Usalama, Kuwa eti Dubai ikiwekewa vikwazo na sisi tutaumia. Hiyo ni fear mongering, Huwezi , What if asipowekewa?

Kama Dubai atatoa mpunga ili.kujenga hiyo bandari kwa nini asipewe priority kwenye uwekezaji?

Naona nguvu za kambi ya mwendazake kupinga ujenzi wa bandari kwa mlango wa nyuma zinaendelea.
 
Kwenye ishu ya bandari mpina ana hoja dhaifu.

Anapoleta habari za Wahisani wanaotupa misaada wanaweza wasifurahishwe na deal hili la bandari hiyo ni hoja dhaifu, kitakachotufaa sisi ni partnership ya win-win na siyo kutembeza bakuli.

Hoja ya Usalama, Kuwa eti Dubai ikiwekewa vikwazo na sisi tutaumia. Hiyo ni fear mongering, Huwezi , What if asipowekewa?

Kama Dubai atatoa mpunga ili.kujenga hiyo bandari kwa nini asipewe priority kwenye uwekezaji?

Naona nguvu za kambi ya mwendazake kupinga ujenzi wa bandari kwa mlango wa nyuma zinaendelea.
Hoja dhaifu uifungie?,waiche ili wananchi tuone huo udhaifu wa Mpina, otherwise hoja yake ni murua na ina mashiko
 
CCM Mungu awalaani muendelee kuparurana hivyohivyo mpaka mtoane damu
 
Hoja dhaifu uifungie?,waiche ili wananchi tuone huo udhaifu wa Mpina, otherwise hoja yake ni murua na ina mashiko
Kama hoja yake ina mambo ambayo serikali inadhani ni upotoshaji basi kuna sheria iliasisiwa na serikali ya Magufuli kufungiafungia vitu kama hivyo
 
Hiyo sheria aliitunga JPM na ndio mlikuwa mnachekelea media kuzima sauti za kina Lissu na Maalim kwenye mikutano.

Yaani ni hivi, habari ikiwa ya kichochezi au upotoshaji au misinformation basi chombo kinachosambaza kinawekwa hatiani pia.

Sasa kwa kuwa kipindi kile sukuma gang ndio mlikua mmeshikilia buyu la asali mkaona kama mnawakomoa kina Maalim na Lissu. Sasa Leo sheria Ile ile inatumika kwenu ndio mnaanza kulia Lia.

Polepole kipindi chake kilifungiwa kwa sheria Ile ile ya maudhui ya habari.... So tulieni na muonje matunda ya chuki zenu.
Ila si tuliambiwa nchi imefunguliwa ndio maana mnafanya hadi mikutano ya hadhara?
 
Kweli maana aliwaita wqtengenezaji ikulu na kukaa nao chumbani kuagiza ndege azitakazo bila kufuata hata sheria ya manunuzi . Wqjinga wqkishangilia kama wehu.
Lakini ndiyo kutwa unazipanda hizo ndege kumfuata mmeo Dodoma
 
Back
Top Bottom