Mpina: Nchi yetu imefilisika hadi inapangisha Bandari? Tusikubali hili

Mpina: Nchi yetu imefilisika hadi inapangisha Bandari? Tusikubali hili

Aache kulisha watu matangopori serikali iliyokuwa imefirisika ni serikali ya Magufuli!!!

Sio Sasa huo ujinga haupo
 
Kuna uhuru wa kujieleza kweli kama tunavyoaminishwa na awamu hii?
Waziri Mwigulu unaogopa nini kuelezwa ukweli, mbona kila mtu anajua sasa hivi dola imeisha na wafanyabiashara wanapata taabu sana kuagiza bidhaa nje ya nchi?


Nchi yetu imefilisika kipesa inapangisha aka kuwekeza mpaka Bandari?

Ninamuunga Mkono Mpina maneno yake anayo zungumza yana point kubwa.

Uwekezaji wa bandari ni mbovu sana Serikali iangalie sana kukodisha bandari za nchi yetu miaka 10 ijayo Serikali yetu tutakuwa kama Zimbambwe tutafilisika kwa kila kitu na umasikini utazidi kiasi ambacho. Tutakuwa tunaomba omba misaada kwa wafidhili wetu kila siku Mungu asijaalie tusifike huko amin.


Mbona alikuwa hamwambii Magufuli hizi hadithi??
 
Kuna uhuru wa kujieleza kweli kama tunavyoaminishwa na awamu hii?
Waziri Mwigulu unaogopa nini kuelezwa ukweli, mbona kila mtu anajua sasa hivi dola imeisha na wafanyabiashara wanapata taabu sana kuagiza bidhaa nje ya nchi?


Nchi yetu imefilisika kipesa inapangisha aka kuwekeza mpaka Bandari?

Ninamuunga Mkono Mpina maneno yake anayo zungumza yana point kubwa.

Uwekezaji wa bandari ni mbovu sana Serikali iangalie sana kukodisha bandari za nchi yetu miaka 10 ijayo Serikali yetu tutakuwa kama Zimbambwe tutafilisika kwa kila kitu na umasikini utazidi kiasi ambacho. Tutakuwa tunaomba omba misaada kwa wafidhili wetu kila siku Mungu asijaalie tusifike huko amin.


Let the Jini come out of the bottle.
 
Kuna uhuru wa kujieleza kweli kama tunavyoaminishwa na awamu hii?
Waziri Mwigulu unaogopa nini kuelezwa ukweli, mbona kila mtu anajua sasa hivi dola imeisha na wafanyabiashara wanapata taabu sana kuagiza bidhaa nje ya nchi?


Nchi yetu imefilisika kipesa inapangisha aka kuwekeza mpaka Bandari?

Ninamuunga Mkono Mpina maneno yake anayo zungumza yana point kubwa.

Uwekezaji wa bandari ni mbovu sana Serikali iangalie sana kukodisha bandari za nchi yetu miaka 10 ijayo Serikali yetu tutakuwa kama Zimbambwe tutafilisika kwa kila kitu na umasikini utazidi kiasi ambacho. Tutakuwa tunaomba omba misaada kwa wafidhili wetu kila siku Mungu asijaalie tusifike huko amin.


Hata mishahara serikali inashindwa kuwalipa watumishi wafke
 
Mpumbavu wewe usiyeelewa. Hoja wanayolalamikia ni ukodishwaji wa bandari kwa kampuni ya kigeni kwa miaka 10, nimemueleza siyo jambo jipya TICKS walikuwepo kwa zaidi ya miaka 20. Tatizo liko wapi?

Kama huelewi basi utakuwa pumbavu
Baki na upumbavu wako huku wenzio wanatafuna nchi
 
Hauwezi kusema dola zilikoenda?

Waliopo unashindwa kuwalipa mshahara, hao elfu 35 utawalipa na nini?
ona jinga hili. nyie sukuma gang mungu awalaaan mlitutesa sana wafanyakazi. dah huyu mama Samia Mungu Ampe umri na afya njema. Yule mjinga wa chato alibadilisha kupanda madaraja kutoka miaka mitatu mpaka minne. ila Mama karudisha miaka 3 na tumepanda na mabadiliko ya mshahara yameonekana mwezi huu.
 
Wakishakula hayo matunda hatima yake ni nini?

Siasa zenye visasi ni kansa ya taifa
Hiyo sheria aliitunga JPM na ndio mlikuwa mnachekelea media kuzima sauti za kina Lissu na Maalim kwenye mikutano.

Yaani ni hivi, habari ikiwa ya kichochezi au upotoshaji au misinformation basi chombo kinachosambaza kinawekwa hatiani pia.

Sasa kwa kuwa kipindi kile sukuma gang ndio mlikua mmeshikilia buyu la asali mkaona kama mnawakomoa kina Maalim na Lissu. Sasa Leo sheria Ile ile inatumika kwenu ndio mnaanza kulia Lia.

Polepole kipindi chake kilifungiwa kwa sheria Ile ile ya maudhui ya habari.... So tulieni na muonje matunda ya chuki zenu.
 
Mpumbavu wewe usiyeelewa. Hoja wanayolalamikia ni ukodishwaji wa bandari kwa kampuni ya kigeni kwa miaka 10, nimemueleza siyo jambo jipya TICKS walikuwepo kwa zaidi ya miaka 20. Tatizo liko wapi?

Kama huelewi basi utakuwa pumbavu
Yaani kukodisha kagati kamoja kwa miaka kumi tu mpina anaita press conference? Mbona yule bilioneya wa marekani tumemkodishia hekta 25,000,000 kwa miaka 100 hampigi kelele. Ni wakati wetu huu sasa tuacheni tulambe asali
 
Kuna uhuru wa kujieleza kweli kama tunavyoaminishwa na awamu hii?
Waziri Mwigulu unaogopa nini kuelezwa ukweli, mbona kila mtu anajua sasa hivi dola imeisha na wafanyabiashara wanapata taabu sana kuagiza bidhaa nje ya nchi?


Nchi yetu imefilisika kipesa inapangisha aka kuwekeza mpaka Bandari?

Ninamuunga Mkono Mpina maneno yake anayo zungumza yana point kubwa.

Uwekezaji wa bandari ni mbovu sana Serikali iangalie sana kukodisha bandari za nchi yetu miaka 10 ijayo Serikali yetu tutakuwa kama Zimbambwe tutafilisika kwa kila kitu na umasikini utazidi kiasi ambacho. Tutakuwa tunaomba omba misaada kwa wafidhili wetu kila siku Mungu asijaalie tusifike huko amin.


Mkuu wewe nakujua ni Cuf na japo ulijibanza chama dola kinafiki ili kutimiza azma yako ya mashambulizi dhidi ya Chadema na viongozi wake sasa unaipinga serikali ya Rais Samia unaunga na Sukuma Gang.
 
Zipo bandari Marekani zinaendeshwa na Dubai ports...je wamarekani wamefilisika?
Ngosha ana nongwa na urais wa SSH kama vile anaumia kila yanapofanywa maamuzi anayodhani yanakwenda kinyume na misingi ya hayati JPM.

Ni maisha ya chuki wanazoamua kuwa nazo baadhi yetu, walisema kuwa watu wa karibu wa SSH ndio walimmaliza JPM mpaka leo hawawezi kuweka ushahidi hadharani wanaishia kuumia tu mioyoni wakikosa jibu.
 
Back
Top Bottom