Kila kitu marehem anasingiziwaSasa Samia si mwema sana?
Kwanini sasa hatengui hiyo sheria?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila kitu marehem anasingiziwaSasa Samia si mwema sana?
Kwanini sasa hatengui hiyo sheria?
Dola zimeenda wapi? Kwa nini hamlipi mishahara ya wafanya kazi?Aache kulisha watu matangopori serikali iliyokuwa imefirisika ni serikali ya Magufuli!!!
Sio Sasa huo ujinga haupo
Kuna uhuru wa kujieleza kweli kama tunavyoaminishwa na awamu hii?
Waziri Mwigulu unaogopa nini kuelezwa ukweli, mbona kila mtu anajua sasa hivi dola imeisha na wafanyabiashara wanapata taabu sana kuagiza bidhaa nje ya nchi?
Nchi yetu imefilisika kipesa inapangisha aka kuwekeza mpaka Bandari?
Ninamuunga Mkono Mpina maneno yake anayo zungumza yana point kubwa.
Uwekezaji wa bandari ni mbovu sana Serikali iangalie sana kukodisha bandari za nchi yetu miaka 10 ijayo Serikali yetu tutakuwa kama Zimbambwe tutafilisika kwa kila kitu na umasikini utazidi kiasi ambacho. Tutakuwa tunaomba omba misaada kwa wafidhili wetu kila siku Mungu asijaalie tusifike huko amin.
Kumbe mweupe dolar na mishahara wapi na wapi?Dola zimeenda wapi? Kwa nini hamlipi mishahara ya wafanya kazi?
Kuna uhuru wa kujieleza kweli kama tunavyoaminishwa na awamu hii?
Waziri Mwigulu unaogopa nini kuelezwa ukweli, mbona kila mtu anajua sasa hivi dola imeisha na wafanyabiashara wanapata taabu sana kuagiza bidhaa nje ya nchi?
Nchi yetu imefilisika kipesa inapangisha aka kuwekeza mpaka Bandari?
Ninamuunga Mkono Mpina maneno yake anayo zungumza yana point kubwa.
Uwekezaji wa bandari ni mbovu sana Serikali iangalie sana kukodisha bandari za nchi yetu miaka 10 ijayo Serikali yetu tutakuwa kama Zimbambwe tutafilisika kwa kila kitu na umasikini utazidi kiasi ambacho. Tutakuwa tunaomba omba misaada kwa wafidhili wetu kila siku Mungu asijaalie tusifike huko amin.
Magufuli nae alikuwa anachelewesha kulipa mishahara?Mbona alikuwa hamwambii Magufuli hizi hadithi??
Hauwezi kusema dola zilikoenda?Kumbe mweupe dolar na mishahara wapi na wapi?
Serikali iliyofilisika imetangaza ajira zaidi ya elf 35 pumbavu zenu manadhani hii serikali inaweza filisika
Kuna uhuru wa kujieleza kweli kama tunavyoaminishwa na awamu hii?
Waziri Mwigulu unaogopa nini kuelezwa ukweli, mbona kila mtu anajua sasa hivi dola imeisha na wafanyabiashara wanapata taabu sana kuagiza bidhaa nje ya nchi?
Nchi yetu imefilisika kipesa inapangisha aka kuwekeza mpaka Bandari?
Ninamuunga Mkono Mpina maneno yake anayo zungumza yana point kubwa.
Uwekezaji wa bandari ni mbovu sana Serikali iangalie sana kukodisha bandari za nchi yetu miaka 10 ijayo Serikali yetu tutakuwa kama Zimbambwe tutafilisika kwa kila kitu na umasikini utazidi kiasi ambacho. Tutakuwa tunaomba omba misaada kwa wafidhili wetu kila siku Mungu asijaalie tusifike huko amin.
Baki na upumbavu wako huku wenzio wanatafuna nchiMpumbavu wewe usiyeelewa. Hoja wanayolalamikia ni ukodishwaji wa bandari kwa kampuni ya kigeni kwa miaka 10, nimemueleza siyo jambo jipya TICKS walikuwepo kwa zaidi ya miaka 20. Tatizo liko wapi?
Kama huelewi basi utakuwa pumbavu
mninga mmoja wewe kwa taarifa yako watu mshahara tayari na madaraja tumepanda .mjinga mmoja wewe. Huyu mama apewe mau yake kwakweliSerikali kweli haina pesa. Imagine Hadi leo watumishi hawajalipwa.
Madelu anaendelea kusaini mikataba itakayo endelea kutuumiza.
Mpumbavu ni wewe unayeparamia wanaume bila hoja za msingi. Kakaange vitunguuBaki na upumbavu wako huku wenzio wanatafuna nchi
ona jinga hili. nyie sukuma gang mungu awalaaan mlitutesa sana wafanyakazi. dah huyu mama Samia Mungu Ampe umri na afya njema. Yule mjinga wa chato alibadilisha kupanda madaraja kutoka miaka mitatu mpaka minne. ila Mama karudisha miaka 3 na tumepanda na mabadiliko ya mshahara yameonekana mwezi huu.Hauwezi kusema dola zilikoenda?
Waliopo unashindwa kuwalipa mshahara, hao elfu 35 utawalipa na nini?
we mwalimu kilaza labda wenzio tayar na madaraja juuMimi Ni mwalimu mkoa huu huu wa Pwani, hakuna hata mwalimu mmoja aliyepata msg ya kuingiziwa mshahara.
Wewe uliona walimu wa shule ya binafsi.
Hiyo sheria aliitunga JPM na ndio mlikuwa mnachekelea media kuzima sauti za kina Lissu na Maalim kwenye mikutano.
Yaani ni hivi, habari ikiwa ya kichochezi au upotoshaji au misinformation basi chombo kinachosambaza kinawekwa hatiani pia.
Sasa kwa kuwa kipindi kile sukuma gang ndio mlikua mmeshikilia buyu la asali mkaona kama mnawakomoa kina Maalim na Lissu. Sasa Leo sheria Ile ile inatumika kwenu ndio mnaanza kulia Lia.
Polepole kipindi chake kilifungiwa kwa sheria Ile ile ya maudhui ya habari.... So tulieni na muonje matunda ya chuki zenu.
Mkuu c kweli had leo watumishi mshahara bila bila pengine uliwaona walimu wa baobab au Marian ambazo ni shule za privateJuzi nimeona Walimu wanachukua Mishahara NMB Bagamoyo
Yaani kukodisha kagati kamoja kwa miaka kumi tu mpina anaita press conference? Mbona yule bilioneya wa marekani tumemkodishia hekta 25,000,000 kwa miaka 100 hampigi kelele. Ni wakati wetu huu sasa tuacheni tulambe asaliMpumbavu wewe usiyeelewa. Hoja wanayolalamikia ni ukodishwaji wa bandari kwa kampuni ya kigeni kwa miaka 10, nimemueleza siyo jambo jipya TICKS walikuwepo kwa zaidi ya miaka 20. Tatizo liko wapi?
Kama huelewi basi utakuwa pumbavu
Kuna uhuru wa kujieleza kweli kama tunavyoaminishwa na awamu hii?
Waziri Mwigulu unaogopa nini kuelezwa ukweli, mbona kila mtu anajua sasa hivi dola imeisha na wafanyabiashara wanapata taabu sana kuagiza bidhaa nje ya nchi?
Nchi yetu imefilisika kipesa inapangisha aka kuwekeza mpaka Bandari?
Ninamuunga Mkono Mpina maneno yake anayo zungumza yana point kubwa.
Uwekezaji wa bandari ni mbovu sana Serikali iangalie sana kukodisha bandari za nchi yetu miaka 10 ijayo Serikali yetu tutakuwa kama Zimbambwe tutafilisika kwa kila kitu na umasikini utazidi kiasi ambacho. Tutakuwa tunaomba omba misaada kwa wafidhili wetu kila siku Mungu asijaalie tusifike huko amin.
Wewe kila siku unaandika mada za kuisifia serikali kwa ukitumia hisia zaidi pasipo akili sasa naona kuna mahali umeumizwa ndio akili inatumika ila bado pia.Ilileta tija gani hiyo TICTS
Ngosha ana nongwa na urais wa SSH kama vile anaumia kila yanapofanywa maamuzi anayodhani yanakwenda kinyume na misingi ya hayati JPM.Zipo bandari Marekani zinaendeshwa na Dubai ports...je wamarekani wamefilisika?