Mpira wa "Anao anao" wa Fiston Mayele unamkosesha soko

Mpira wa "Anao anao" wa Fiston Mayele unamkosesha soko

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Kwanza niwapongeze Yanga kwa kufika Fainali. Huyo mganga wenu msimuache na akifa endeleeni na atakayemrithisha matunguli yake.

Leo nazungumzia goli la pili alilofunga Mayele. Nimpongeze kwa kuwa mshambuliaji mwenye kasi ya ajabu. Ananikumbusha wachezaji wa zamani kina Lunyamila na hata Ronaldo de Lima. Kilichonishangaza katika goli lile ni alivyouvuta ule mpira, dah kweli kasi anayo ila style hii ya kucheza hapana aisee, ule ni mpira wa kizamani sana.

Pia kwa nini toka Kennedy Musonda amekuja pale Yanga, Mayele anaonekana kama hajamkubali? Mara nyingi Musonda akifunga, Mayele huwa hamfuati kushangilia naye, najua mashabiki wa utopolo wanaliona ila wanakausha kwa kuwa timu inashinda. Kuna wakati Musonda anafunga goli anaenda kushangilia anajikuta yuko mwenyewe, hii haijakaa poa wanangu.

Namalizia kwa kuwapongeza tena kwa kuwa timu ya pili ya Tanzania kufika fainali za mashindano ya CAF.
 
Kwanza niwapongeze utopolo kwa kufika fainali. Huyo mganga wenu msimuache na akifa endeleeni na atakayemrithisha matunguli yake.

Leo nazungumzia goli la pili alilofunga Mayele. Nimpongeze kwa kuwa mshambuliaji mwenye kasi ya ajabu. Ananikumbusha wachezaji wa zamani kina Lunyamila na hata Ronaldo de Lima. Kilichonishangaza katika goli lile ni alivyouvuta ule mpira, dah kweli kasi anayo ila style hii ya kucheza hapana aisee, ule ni mpira wa kizamani sana.

Pia kwa nini toka Kennedy Musonda amekuja pale Yanga, Mayele anaonekana kama hajamkubali? Mara nyingi Musonda akifunga, Mayele huwa hamfuati kushangilia naye, najua mashabiki wa utopolo wanaliona ila wanakausha kwa kuwa timu inashinda. Kuna wakati Musonda anafunga goli anaenda kushangilia anajikuta yuko mwenyewe, hii haijakaa poa wanangu.

Namalizia kwa kuwapongeza tena kwa kuwa timu ya pili ya Tanzania kufika fainali za mashindano ya CAF.
We. Ni tahira mwanangu tena mwehu kabisa kwahiyo ulitaka Mayele achezeje sasa? Apige Pasi Kwa beki wakati kuna big chansi ya kufunga??

Pale EPL Mo Salah anaweza kutoka na mpira Kwa Alison Beka akakimbia kama pajero kwenda kufunga waulize man u! Vipi kbd magoli yake au benardo silver?? We ni chizi
 
Kwa lile goli pale star ni Mayele na sio Musonda, ipo moja sikumbuki Simba walicheza na nani kwa Mkapa mvua ilikuwa inanyesha Morrison alipiga chenga kijiji, Kagere akamalizia tu kila mtu akamfata Morrison kushangilia nae.
 
Kwanza niwapongeze utopolo kwa kufika fainali. Huyo mganga wenu msimuache na akifa endeleeni na atakayemrithisha matunguli yake.

Leo nazungumzia goli la pili alilofunga Mayele. Nimpongeze kwa kuwa mshambuliaji mwenye kasi ya ajabu. Ananikumbusha wachezaji wa zamani kina Lunyamila na hata Ronaldo de Lima. Kilichonishangaza katika goli lile ni alivyouvuta ule mpira, dah kweli kasi anayo ila style hii ya kucheza hapana aisee, ule ni mpira wa kizamani sana.

Pia kwa nini toka Kennedy Musonda amekuja pale Yanga, Mayele anaonekana kama hajamkubali? Mara nyingi Musonda akifunga, Mayele huwa hamfuati kushangilia naye, najua mashabiki wa utopolo wanaliona ila wanakausha kwa kuwa timu inashinda. Kuna wakati Musonda anafunga goli anaenda kushangilia anajikuta yuko mwenyewe, hii haijakaa poa wanangu.

Namalizia kwa kuwapongeza tena kwa kuwa timu ya pili ya Tanzania kufika fainali za mashindano ya CAF.
Enhe ikawaje?
 
[emoji848]
1572408892.jpg
 
Kwanza niwapongeze utopolo kwa kufika fainali. Huyo mganga wenu msimuache na akifa endeleeni na atakayemrithisha matunguli yake.

Leo nazungumzia goli la pili alilofunga Mayele. Nimpongeze kwa kuwa mshambuliaji mwenye kasi ya ajabu. Ananikumbusha wachezaji wa zamani kina Lunyamila na hata Ronaldo de Lima. Kilichonishangaza katika goli lile ni alivyouvuta ule mpira, dah kweli kasi anayo ila style hii ya kucheza hapana aisee, ule ni mpira wa kizamani sana.

Pia kwa nini toka Kennedy Musonda amekuja pale Yanga, Mayele anaonekana kama hajamkubali? Mara nyingi Musonda akifunga, Mayele huwa hamfuati kushangilia naye, najua mashabiki wa utopolo wanaliona ila wanakausha kwa kuwa timu inashinda. Kuna wakati Musonda anafunga goli anaenda kushangilia anajikuta yuko mwenyewe, hii haijakaa poa wanangu.

Namalizia kwa kuwapongeza tena kwa kuwa timu ya pili ya Tanzania kufika fainali za mashindano ya CAF.
Nimefatila kuhusu hili unalosema na halina ukweli wowote. Una hisia na mawazo ya hovyo kijana.

Mechi ya Yanga vs Monastir kwa Mkapa, Musonda anaitanguliza Yanga. Mayele na Djuma Shaban wanamfuata Musonda kumpongeza.

Mechi ya Yanga vs Tp Mazembe Musonda anaitanguliza Yanga Mayele tena kamfuata Musonda kumpongeza akiwa na wachezaji wenzake wa Yanga.

Goli la jana la Musonda, Mayele ndiye aliyefanya kazi kubwa, na wote walishaangilia na Musonda ndiye aliyeenda kutoa shukrani za pongezi kwa Mayele.
 
We. Ni tahira mwanangu tena mwehu kabisa kwahiyo ulitaka Mayele achezeje sasa? Apige Pasi Kwa beki wakati kuna big chansi ya kufunga??
Pale EPL mo Salah anaweza kutoka na mpira Kwa Alison Beka akakimbia kama pajero kwenda kufunga waulize man u! Vp kbd magoli yake au benardo silver?? We ni chizi
Elewa nimachosema, siongelei kukimbia tu na mpira maana washambuliaji wengi wanafanya pale inapobidi na nimewahi kusema moja ya mapungufu ya Baleke ni kutokuwa na uwezo wa kukimbia na mpira. Hapa naongelea kitendo cha Mayele kuupiga mpira kilomita moja mbele na kuanza kuukimbilia. Usijifanye hamnazo.
 
Kwa lile goli pale star ni mayele na sio musonda, ipo moja sikumbuki simba walicheza na nani kwa mkapa mvua ilikuwa inanyesha morrison alipiga chenga kijiji, kagere akamalizia tu kila mtu akamfata morrison kushangilia nae.
We. Ni tahira mwanangu tena mwehu kabisa kwahiyo ulitaka Mayele achezeje sasa? Apige Pasi Kwa beki wakati kuna big chansi ya kufunga??
Pale EPL mo Salah anaweza kutoka na mpira Kwa Alison Beka akakimbia kama pajero kwenda kufunga waulize man u! Vp kbd magoli yake au benardo silver?? We ni chizi
Mkuu ingia YouTube tafuta goli la adebayor alipewa assist na Lennon, Lennon alichenga 'kijiji' kizima akampa adebayor akamalizia, adebayor akakimbia kushangilia, kilichotokea wachezaji wote wa spurs walimfata Lennon kushangilia nae, nadhani utapata jibu hapo
Hayo magoli ya namna hiyo nayajua, sijagusia tukio la jana ila kwa kuwa wote mnaligusia nasema ni muendelezo wa matukio kadhaa ya nyuma ambayo Mayele tofauti na lile la jana hakuwa na mchango mkubwa katika magoli hayo.

Mayele ameota mapembe ila utopolo wanamvumilia kwa kuwa timu inashinda.
 
Uzi wako umenifanya ni fatili kuhusu hili unalosema kama lina ukweli wowote, hisia na mawazo yako ni ya hovyo kijana.

Mechi ya Yanga vs Monastir kwa Mkapa, Musonda anaitanguliza Yanga. Mayele na Djuma Shaban wanamfuata Musonda kumpongeza.
Mechi ya Yanga vs Tp Mazembe Musonda anaitanguliza Yanga Mayele tena kamfuata Musonda kumpongeza akiwa na wachezaji wenzake wa Yanga.
Goli la jana la Musonda, Mayele ndiye aliyefanya kazi kubwa, na wote walishaangilia na Musonda ndiye aliyeenda kutoa shukrani za pongezi kwa Mayele.
Kwa kuongeza Musonda alienda upande usio na mashabiki wa Yanga ambao Mayele aliwafata
 
Uzi wako umenifanya ni fatili kuhusu hili unalosema kama lina ukweli wowote, hisia na mawazo yako ni ya hovyo kijana.

Mechi ya Yanga vs Monastir kwa Mkapa, Musonda anaitanguliza Yanga. Mayele na Djuma Shaban wanamfuata Musonda kumpongeza.
Mechi ya Yanga vs Tp Mazembe Musonda anaitanguliza Yanga Mayele tena kamfuata Musonda kumpongeza akiwa na wachezaji wenzake wa Yanga.
Goli la jana la Musonda, Mayele ndiye aliyefanya kazi kubwa, na wote walishaangilia na Musonda ndiye aliyeenda kutoa shukrani za pongezi kwa Mayele.
Najua ninachokiongea na naamini wengi mmeshakiona. Hii ilianza toka goli la kwanza Musonda amefunga kwa Yanga pale kwa Mkapa. Alienda akalala chini, nakumbuka alivyonyanyuka akageuka akakuta mchezaji mmoja tu amemfuata. Kuna magoli kadhaa hilo lilitokea na sijasema magoli yote Musonda aliyofunga Mayele alikausha ila ni idadi ya kutosha kuona kuna jambo ukizingatia ni partner wake pale mbele.
 
Lile tukio nililiangalia kwa makini sana. Hata Musonda alivyomfikia Mayele, reaction ya Mayele ilikuwa ya kujitutumua zaidi.
Kwa kuongeza Musonda alienda upande usio na mashabiki wa Yanga ambao Mayele aliwafata
 
Najua ninachokiongea na naamini wengi mmeshakiona. Hii ilianza toka goli la kwanza Musonda amefunga kwa Yanga pale kwa Mkapa. Alienda akalala chini, nakumbuka alivyonyanyuka akageuka akakuta mchezaji mmoja tu amemfuata. Kuna magoli kadhaa hilo lilitokea na sijasema magoli yote Musonda aliyofunga Mayele alikausha ila ni idadi ya kutosha kuona kuna jambo.
Niambie kwenye mechi ya Yanga dhidi ya timu ipi? Twende kwa uhalisia sio hisia. Taja mechi
 
Back
Top Bottom