Mpira wa "Anao anao" wa Fiston Mayele unamkosesha soko

Mpira wa "Anao anao" wa Fiston Mayele unamkosesha soko

Unaijua kilomita au unajitoa ufahamu...kutoka goli mpaka goli ni umbali gani .... Uwana Gani huo wenye hata MITA 500!!?? Ficha ujinga wako
Na wewe mtoto wa nzi kwa akili zako za ki inzi inzi unadhani nilimaanisha kilomita moja kweli?
 
Kuna siku isiyo na jina mtakuja kuleta hii mada nyie wenyewe na mimi nitakachofanya nitalink tu uzi huu.

Juzi niliwaambia ile Marumo ni timu changa na haina mashabiki kabisa, kuna watu wakaleta ubishi na walitegemea eti uwanja ungekuwa full house kisa kiingilio ni bure, wote tuliona jinsi juzi Marumo haikuwa na mshabiki hata mmoja wa kusakizia pale uwanjani.

Siku hizi situmii nguvu kutoa hoja, naongea halafu nakaa pembeni.
Unajua huu uzi wako nilikua naupita kila siku ila nikaamua leo niupitie pengine kuna jambo la maana umeadress. Nasikitika kusema nimepoteza muda wangu. Mkuu huwezi kutumia nguvu kujibu hoja kwa sababu sio hoja ni pointless.

Kuhusu mahusiano ya Mayele na Musonda uwanjani kiukweli nimewafuatilia kwa pamoja toka Musonda kafika kwakweli sijaona tofauti yoyote mpaka sasa. Hocho unachokisema ni hisia zako Mayele hana shida Musonda akifunga na mara zote huwa wanashangilia pamoja vizuri. Labda huko mbeleni waje watofautiane lakini sio sasa hivi hiyo habari ni hisia zako zimekudanganya mkuu.

Kuhusu mpira unaouongelea jamaa sijui kama ulishawahi kucheza mpira au unajua chochote kuhusu mpira. Kwa sababu kwa kilichotokea Mayele kaona space na amebaki na beki akisema aanze kudrible itakua rahisi kuwavuta mabeki waje kufanya kucover space so alichoamua ni kuutangaliza mpira halafu waka sprint na beki hiyo ikasaidia hiyo ikasaidia kuwa na mabeki wachache wanaoweza kuziba nafasi mwisho anatoa pass huku Musonda akifunga goli la wazi hiyo ni kwa sababu ya maamuzi sahihi ya Mayele.
 
Unajua huu uzi wako nilikua naupita kila siku ila nikaamua leo niupitie pengine kuna jambo la maana umeadress. Nasikitika kusema nimepoteza muda wangu. Mkuu huwezi kutumia nguvu kujibu hoja kwa sababu sio hoja ni pointless.

Kuhusu mahusiano ya Mayele na Musonda uwanjani kiukweli nimewafuatilia kwa pamoja toka Musonda kafika kwakweli sijaona tofauti yoyote mpaka sasa. Hocho unachokisema ni hisia zako Mayele hana shida Musonda akifunga na mara zote huwa wanashangilia pamoja vizuri. Labda huko mbeleni waje watofautiane lakini sio sasa hivi hiyo habari ni hisia zako zimekudanganya mkuu.

Kuhusu mpira unaouongelea jamaa sijui kama ulishawahi kucheza mpira au unajua chochote kuhusu mpira. Kwa sababu kwa kilichotokea Mayele kaona space na amebaki na beki akisema aanze kudrible itakua rahisi kuwavuta mabeki waje kufanya kucover space so alichoamua ni kuutangaliza mpira halafu waka sprint na beki hiyo ikasaidia hiyo ikasaidia kuwa na mabeki wachache wanaoweza kuziba nafasi mwisho anatoa pass huku Musonda akifunga goli la wazi hiyo ni kwa sababu ya maamuzi sahihi ya Mayele.
Ukimchukia Mayele ni kujitafutia Sonoma tu, maana huyu jamaa goli likimuona linamuita.
 
Msimu ujao siyo mbali. Najua kwa upande wenu mtakuwa busy kwa mara nyingine tena kukifumua kikosi chenu, na hivyo kukisuka upya.
Mimi naombea tupangwe kwenye kundi moja kwenye CAF CL baada ya kufuzu mechi za mtoano.
 
O

South Afrika wana mzuka wa kutosha kwenye mpira ni kwamba Marumo ndiyo haina mashabiki.

Derby ya Kaizer Chiefs na Orlando Pirates inajaza uwanja wa 70,000, Simba alipocheza na Chiefs, tuliona mashabiki wao wa kutosha, Simba vs Pirates, tuliona mashabiki wa kutosha wa Pirates, ila juzi hatukuona hata mashabiki 5 wa kusingizia wa Marumo kwenye mechi ya nusu fainali na kiingilio ni bure.

Acha kukaza fuvu hilo bwashee.
Mechi ya Simba na Kaizer kulikua na mashabiki? kua na aibu hata kidogo basi
 
Kwanza niwapongeze Yanga kwa kufika Fainali. Huyo mganga wenu msimuache na akifa endeleeni na atakayemrithisha matunguli yake.

Leo nazungumzia goli la pili alilofunga Mayele. Nimpongeze kwa kuwa mshambuliaji mwenye kasi ya ajabu. Ananikumbusha wachezaji wa zamani kina Lunyamila na hata Ronaldo de Lima. Kilichonishangaza katika goli lile ni alivyouvuta ule mpira, dah kweli kasi anayo ila style hii ya kucheza hapana aisee, ule ni mpira wa kizamani sana.

Pia kwa nini toka Kennedy Musonda amekuja pale Yanga, Mayele anaonekana kama hajamkubali? Mara nyingi Musonda akifunga, Mayele huwa hamfuati kushangilia naye, najua mashabiki wa utopolo wanaliona ila wanakausha kwa kuwa timu inashinda. Kuna wakati Musonda anafunga goli anaenda kushangilia anajikuta yuko mwenyewe, hii haijakaa poa wanangu.

Namalizia kwa kuwapongeza tena kwa kuwa timu ya pili ya Tanzania kufika fainali za mashindano ya CAF.
Niko bize na maandaliazi ya fainali; nitajibu maoni yako baada ya fainali.
 
Elewa nimachosema, siongelei kukimbia tu na mpira maana washambuliaji wengi wanafanya pale inapobidi na nimewahi kusema moja ya mapungufu ya Baleke ni kutokuwa na uwezo wa kukimbia na mpira. Hapa naongelea kitendo cha Mayele kuupiga mpira kilomita moja mbele na kuanza kuukimbilia. Usijifanye hamnazo.
Lini ulipima ukapata hiyo 1km?
 
Back
Top Bottom