Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Waongee waongeavyo EPL haitokuja kushuka ubora kwenye hii dunia kwani hamna logo kama EPL na ndio inavilabu tishio duniani Sasa hivi arsenal man city na Liverpool hamna timu inapoenda kukutana na hizi timu Sasa hivi dunianiMkuu, na wewe unaamini Halaand sio bora ni takataka kulinganisha na kina Nunez?
Kumbe unaangalia wachezaji dhaifu ndio unawashindanisha na hao mastaa wa zamani hivi nikuulize swali hiyo zamani kulikua hamna mabeki uchwara na washambuliaji uchwaraNiliwahi kuuliza kuwa, hivi kuna Striker wa sasahivi angeweza kabwa na hawa mabeki na kupita? Angalia tu aina ya mabeki...akina Paolo Maldini au Genaro Gatuso halafu eti Striker ni Ganacho au Gabriel Jesus
Hakika watu kama wewe mpo wachache sana na ndiyo mnaojua mpira halisi uliokuwepo ulaya na sasa hivi total different kabisa.Mpira uliowaruhusu watu kujieleza Wana Nini miguuni haupo Tena
Mbeki hawataki kukaba
...Ngoma Sasa ni too formulated plus mi grid system kama mbuzi kupangiwa na kamba aende wapi aishie wapi.
Wachezaji kurundikiwa maelezo mengi na kudaiwa Kuwa vigezo vingi hata kwenye namba zisizotaka Mambo mengi.
Hamna kitu hapo wote nimewashuhudia ni wachezaji wa kawaida sanaMajitu kazi ,majitu mwitu , mapafu ya mbwa mbavu kama William Gallas ,Claude Makelele ,Michael Essien
Ila aisee wachezaji wa miaka ile walikuwa wametimia , majitu yana ubavu ,kasi , unyumbufu , pumzi
Uliambiwa kiungo ni kiungo kweli kweli
Safi ssna na ule ndiyo ulikuwa mpira wa ukweli kabisa kabisa unaenjoy sanaMajitu kazi ,majitu mwitu , mapafu ya mbwa mbavu kama William Gallas ,Claude Makelele ,Michael Essien
Ila aisee wachezaji wa miaka ile walikuwa wametimia , majitu yana ubavu ,kasi , unyumbufu , pumzi
Uliambiwa kiungo ni kiungo kweli kweli
Hujui mpira bwanamdogo kizazi cha PlayStation ulishuhudia wapi wewe?Hamna kitu hapo wote nimewashuhudia ni wachezaji wa kawaida sana
Mpaka kwa namba ngumu ngumu zile kama namba sita anayecheza shimoni bado watataka magoli etiSasa hivi watu wanataka magoli
Ile anao anao tokea kati unafika golini unafinya na kipa kama enzi za kina Van Bursten hamna akina Maguire lazima wakupige kiatu
Nimegundua halaand unachukia kwakua ni kijana mdogo mwenye MAFANIKIO ikiwemo pesa akiwa na miaka 22 wewe uHakika watu kama wewe mpo wachache sana na ndiyo mnaojua mpira halisi uliokuwepo ulaya na sasa hivi total different kabisa.
Lakini walioanza kuangalia majuzi wanaona kwamba ni soka Zuri kumbe ushubwada mtupu
Kwa sasa hakuna vipaji eti Halaand ni kipaji wajameni hata kwa Samuel Etoo alipokuwa prime huyo hafiki
Hapa Sasa ndio nimeona kumbe hujui mpira eti ngumi mkononi Sasa mpira na ngumi wapi na wapi si wakawe mabondia aisee kumbe kunawatu akili hawana kabisa jitu Zima kabisa eti ngumi mkononi🤣🤣🤣🤣Safi ssna na ule ndiyo ulikuwa mpira wa ukweli kabisa kabisa unaenjoy sana
Ngumi mkononi na mpira majitu yanaujua
We ndio hujui mpira hao wachezaji ni wakawaida sana na wote nimewashuhudia hamna kitu chochote Cha ziadaHujui mpira bwanamdogo kizazi cha PlayStation ulishuhudia wapi wewe?
Hebu kalale hapa wanajadili wanaojua mpira hatukuzingatii
Walikuwepo ila sijui kama umeelewa nilichomaanisha, Wachezaji wa sshv wengi wapo kisharo zaidi na wapo soft kulinganisha na wa zamani au wa miaka michache nyumaKumbe unaangalia wachezaji dhaifu ndio unawashindanisha na hao mastaa wa zamani hivi nikuulize swali hiyo zamani kulikua hamna mabeki uchwara na washambuliaji uchwara
Kiufupi hatukuzingatii huna hoja wengine wameelewa wehye akiliNimegundua halaand unachukia kwakua ni kijana mdogo mwenye MAFANIKIO ikiwemo pesa akiwa na miaka 22 wewe u
Hapa Sasa ndio nimeona kumbe hujui mpira eti ngumi mkononi Sasa mpira na ngumi wapi na wapi si wakawe mabondia aisee kumbe kunawatu akili hawana kabisa jitu Zima kabisa eti ngumi mkononi🤣🤣🤣🤣
Mpira ume badilika una kasi watu wanataka matokeo masuala ya kupiga kanzu matobo bila uelekeo watu wamehama ukoMpaka kwa namba ngumu ngumu zile kama namba sita anayecheza shimoni bado watataka magoli eti
Kwahiyo watu wote hao wanaokwambia hawajui wewe mtoto wa "afu mbili" ndiyo unajua?We ndio hujui mpira hao wachezaji ni wakawaida sana na wote nimewashuhudia hamna kitu chochote Cha ziada
Kwamba Jude au vincus ni masharo sioWalikuwepo ila sijui kama umeelewa nilichomaanisha, Wachezaji wa sshv wengi wapo kisharo zaidi na wapo soft kulinganisha na wa zamani au wa miaka michache nyuma
Mchambuzi nguli The MoNAI salute you kinsmen.
Binafsi nimeanza kufuatilia soka la ulaya muda kidogo Liverpool die hard fans.
Lakini tuseme ukweli ligi za ulaya kwa sasa uwezo wa wachezaji umekuwa mdogo sana na hakuna vipaji kabisa asilia yaani ile pure talent hakuna kabisa.
Hasa hasa EPL nowdays huwa nafuatilia game za Liverpool basi tu sababu ya kuipenda team ila kwa sasa sioni zile pure talent kama zama zile ..
Tulikuwaga na Xabi alonso anazima pale na mascherano kati halafu Steven Gerald. Lakini leo tuna wataru Hendo,
Tukikuwaga na watu wa kazi Denis Bergkamp pale arsenal lakini leo tuna Gabriel jesus, na taka taka zingine kama Halaand pale Man City.
Hebu fikiria watu kazi kama Vidic,Rio ferdinand, Ashley Cole, patrice Evra,dirk kuyt, hawapo tena pale Qpl ya moto enzi zile yaani full kuenjoy.
Binafsi ukiniuliza nitakwambia kwa sasa CAF champions league ni bora kuliko Uefa ya sasa hivi . UEFA ya mwisho kuwa nzuri zaidi ni ile 2015/2016! Baada ya hapo ni maigizo matupu na ujinga ujinga.
Wachezaji nowdays wamekariri mifumo kutoka kwa makocha kama maroboti yaani hatuoni zile extra talent kutoka kwao .
Sikuhizi mchezaji kufunga goli la uwezo binafsi ni ngumu sana sana zaidi ya kufuata mfumo kama robot..
Naamini Newmarket ndiyo talent ya mwisho ambayo ilibaki na ilitegemewa kufanya makubwa lakini ndio vile mnamuona tena mwenyewe kijana umri umesogea..
Nadhani ligi ya EPL ndiyo imeshakuwa ya kidwanzi sana kufuatilia hakuna tena soka la burudani kama zamani zaidi mifumo mipya ya hovyo wachezaji waifuate kama robot.
No wonder wachezaji kama Halaand wanacheza na wanaonekana bora sana, na wanafikia mpka kugombania tuzo kubwa kubwa ni ujinga.
Marefa wa epl ndio kituko kabisa hawana tofauti na huku Bongo wana VAR lakini bado maamuzi ni kichekesho.
Angalau Spain bado wana mpira wao asili kidogo unafurahia kuenjoy.
Afadhali hata ligi ya Tanzania kuna magoli yanafungwa unaona kabisa huu ni uwezo binafsi kabisa kuliko EPL ya sasa aseeh